Mwanaume kwa asili ni polygamy. Ndiyo maana hata kwenye zizi huwezi kukuta majike mawili halafu mabeberu 20. Au majogoo 10 halafu mtetea mmoja.
Kwahiyo ndiyo maana ktk jamii zetu mwanaume anayechepuka anaitwa kidume, lkn mwanamke anayechepuka anaitwa malaya.
Ktk amri 10 za Mungu, mojawapo...
Lanlady kuwa mkweli ktk hoja zako. Kuna pahala unatuingiza chaka. Wasichana wanaolala na wanaume wengi (waliotolewa bikra) kabla ya ndoa ndiyo wanaochota mikosi . Waliojitunza huwa wanagombaniwa na waoaji
Kuna viwanja vunakuwa vimepimwa na Halmashauri halafu vinatangazwa kwa wananchi ili wavinunue. Changamoto ni kwamba mwananchi analipia lkn siku ya kukabidhiwa unakuta ni eneo ambalo linajaa maji.
Swali. Je, hakuna fursa ya kujiridhisha kabla ya kulipia ?
Si unaonaga Kuna wanawake wanahongwa majumba, magari ya kifahari na wanafunguliwa mabiashara makubwa? Hawa Wana thamani .
Halafu Kuna akina nyie mnahongwa buku, chips, bando, Kodi ya chumba, ama hata mnatoa k kwa mkopo. Hawa hawana thamani
Kwani wewe ulizaliwa bila bikra mkuu? Kama bado unayo, kaa na mamako umuulize atakupa maelezo. Au kama hauna mama basi kaa na dadako au shangazi yako au rafiki yako atakuepeza faida za bikra.
Lkn kama huna bikra maana yake malezi yako hayakuwa mazuri, na wewe mwenyewe utakuwa si mwanamke...
Tuzo hii itakuwa kivutio kwa mabinti na itakuwa chachu ya mabinti kutunza usichana wao mpk siku ya ndoa.
Tunzo hii iendeshwe nchi nzima kila ngazi "ngazi msingi" i.e kila kitongoji/mtaa. Vyeti vitolewe ili wavitumie kutafuta waume bora .
Kamati kuu ccm inakutana Zanzibar kujadili mapendekezo ya kamati ya maadili iliyomhoji na kumsikiliza Makonda kufuatia kauli yake kuwa kuna mawaziri wanamtukana rais Samia .
Nipo hapa kwenye kikao, nitaendelea kuwajuza
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.