Joseph Musukuma: Wazungu wanatuwekea ushoga kwenye chanjo; haiwezekani binti wa miaka 10 avae sidiria

Huyu msukuma sifa zimezidi sasa anaongea pumba.
Miili inatofautiana sana. Hapo ukiweka watoto wenye miaka 10 nchi nzima kuna ambao vifua vipo flat, kuna ambao tunaanza kuchomoza na kuna ambao wana matiti makubwa. Ni maumbile tu.

Hata yeye atafute age mate wake atakuta kuna wengine wazee zaidi yake na wengine vijana zaidi yake.
 
Elimu elimu elimu... angekua na shule angejua namna ya kupangilia hoja zake bila kuonekana zero brain
Kwani Dr Msukuma (PhD) hana elimu mkuu. Sasa mtu anakuwaje na PhD halafu akose elimu?
 
Mamdenyi you are right.I am a scientist and a researcher.Sometimes we develop research proposals out of heresay.You here people saying something causes illness in people or disease in a certain crop,you take up the idea and do research on it. We have developed technologies through such research.So you don't scorn off and ignore an observation outight,it is wrong and unscientific.Technologies are developed out of "hypotheses." What Msukuma put forward is a hypothesis,it has to be proved or disproved by Scientific Research.
Here we are not talking about what people say (hearsay), we are talking about what Msukuma says that he has conducted research and his findings show that girls who have enlarged breasts have been immunised by vaccines from the West. If you join the debate and support this claim, my request to you is, please, attach a copy of this research if it is available online to this post. Otherwise, my stand is that Msukuma hasn't conducted any research in this area. Just claiming that he has conducted research is not the same as conducting research. Research is more than a claim a person can make. This is my position.
 
Here we are not talking about what people say (hearsay), we are talking about what Msukuma says that he has conducted research and his findings show that girls who have enlarged breasts have been immunised by vaccines from the West. If you join the debate and support this claim, my request to you is, please, attach a copy of this research if it is available online to this post. Otherwise, my stand is that Msukuma hasn't conducted any research in this area. Just claiming that he has conducted research is not the same as conducting research. Research is more than a claim a person can make. This is my position.
You are a laymen,kwaheri.
 
Mamdenyi you are right.I am a scientist and a researcher.Sometimes we develop research proposals out of heresay.You here people saying something causes illness in people or disease in a certain crop,you take up the idea and do research on it. We have developed technologies through such research.So you don't scorn off and ignore an observation outight,it is wrong and unscientific.Technologies are developed out of "hypotheses." What Msukuma put forward is a hypothesis,it has to be proved or disproved by Scientific Research.
Ndugu, don't commit this fallacy. You, by being scientist and researcher doesn't make Musukuma conduct research! Unless you say that you were his supervisor for the research he conducted.
 
Kwa hiyo amekubali kuwa chanjo zina viashiria vya ushoga ...what if wananchi wakikataa chanjo.....
Ni vizuri hoja za wabunge kabla ya kuwasilishwa bungeni zikachujwa ili kuepuka maoni binafsi yasiyo na utafiti wa kutosha.
 
Kwa hiyo amekubali kuwa chanjo zina viashiria vya ushoga ...what if wananchi wakikataa chanjo.....
Ni vizuri hoja za wabunge kabla ya kuwasilishwa bungeni zikachujwa ili kuepuka maoni binafsi yasiyo na utafiti wa kutosha.
Tena huyu ambaye huwa anawadharau wasomi, eti leo ndiye anataka tumuone kama yeye ndiye msomi pekee (nadhani). Mimi simo kabisa!
 
Kuna uwezekano mkubwa wazungu wanatuwekea homoni za ushoga kwenye chanjo. Hili suala liangaliwe kwa undani kwani sio mara ya kwanza kusikia ushuhuda huu hapa nchini. Tusibeze wala kudharau kwani mdharau mwiba mguu huota tende. Waziri Ummy Mwalimu tunakuomba uzifanyie utafiti hizi chanjo za bure za wazungu zisije zikatuletea shida hapo baadaye.
Teh teh teh 😃 😃 😃 noma Sana hii...
 
Hahahaaaa, aliwashirikisha akina nani kwenye utafiti wake? Au aliwachungulia yeye mwenyewe?

Ila kiukweli vitoto vya siku hizi vina maumbile ya kipekee sana bado vidogooo!
Chakula wanachokula, lifestyle yao na kila kitu vinachangia. Watoto wa vijijini wengine wanafikisha miaka 13 hawajavunja ungo lakini wa mijini hasa wale wanaotoka kwenye familia za kati na juu, miaka 10 tayari.
 
Back
Top Bottom