Habari zenu wakuu Hope mko powa kabisa. Nimeona nipate ku share nanyi kisa hiki kilichowahi kunitokea miaka kadhaa iliyopita.
Wakati nipo O level kidato Cha nne nilikua ni mtu mcheshi Sana darasani kwetu, kitendo kilichofanya nipate kuwa na marafiki wengi pale shuleni. wengine nilikua nawajua...
Nilifanikiwa ndugu. Jaribu ku log out afu log in tena Kisha update profile picha yako itakubali. Ukiona inagoma jaribu ku clear cache "Kam unatumia simu" afu update tena itakubali.
Habari zenu wakuu Hope mko powa kabisa. Kwanza naomba ifahamike kabisa kwamba kuwa na UKIMWI sio mwisho wa maisha kwakua wapo watu wengi wanaoishi na ugonjwa huu lakini bado wanaendelea kuishi vizuri kwa kufuata ushauri wa madaktari.
Pia uzi huu haupo kwaajiri ya kuwanyanyapaa watu waishio na...
Wakuu samahani nahitaji msaada hapa kidogo. Unapo apply ajira portal baada ya kuandika barua unaandika Tena na CV ?? au CV inakua tu automatically Ile Ile ya pale uliyoitengeneza ajira portal ?? Nahitaji msaada kwa anaefaham tafadhari
Wakuu kwa aliyewahi kuomba ajira kwa kupitia Ajira portal hivi kwenye anuani ya mwandikiwa inakaa ipi ?? Ya sehem unayoombea " mfano Kama naomba nafasi ya kazi TRA naweka anuani ya TRA au naweka ipi " Msaada jamani.
Karibu nawe utusimulie mkuu naimani Kuna mengi ya kujifunza kwenye kisa chako, Maranyingi matukio Kama haya yanatokea wakati hauna kitu mfukoni au unakiasi kidogo Sana ambacho hakiwezi kukusaidia.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.