Waziri Bashe ni tishio kwa wasaka Urais 2030

Tao

Member
Nov 10, 2018
97
162
Waziri Bashe anachapa kazi kwelikweli pale Wizara ya Kilimo kiasi cha kuwa tishio Kwa kundi la wasaka urais ndani ya CCM wanapoona anawaovershine

Kwa sasa moja ya mbinu wanazotumia ni kumchafua kwenye mitandao ya kijamii.

Unapoona Kigogo anamchafua Bashe ujue ni sehemu ya mkakati huo.

Huwezi kusema Bashe anaua zao la korosho kule kwenye mikoa ya kusini badala yake ni huyu Bashe ndiye anayewalinda wazalishaji wa zao huku akiwashughulikia kwa vitendo wafanyabiashara wanaowanyonya wakulima.

Maadui wa Bashe hawana hoja na ndio maana wanatumia ubaguzi kumchafua.

Bashe ni Mtanzania mzalendo,ni mwana CCM mahiri,Mbunge wa Nzenga mjini na ni msomi mzuri.

Kukesha mitandaoni kujadili asili ya Bashe ni upuuzi uliopindukia.

Kwasisi tuliosoma anthropology na tunajua vyema historia ya Tanzania na Afrika kwa ujumla tunashangazwa kuona bado kuna watu wana elements za ubaguzi.ukijua haya huwezi kuwa mbaguzi.

Mfano hata hawa wanaomchafua Bashe ni wabantu-Hivi hawajui kuwa hata wabantu ni wahamiaji hapa Tanzania?

Hivi ni nani anaweza kuhoji uzalendo wa Profesa Issa Shivji? je tusema Shivji ni Mhindi? uhindi wake unatusaidia nini?

Shivji ni Mtanzania mzalendo.Period.

Acheni Bashe afanye kazi.anatutoa kimasomaso kutokana na anavyosimamia vyema sekta ya kilimo na program ya BBT

Threat kubwa
1. Biashara ya sukari kuitaka iwe liberal
2. ⁠kudhibiti minada ya mazao Kwa kuweka sheria inayozuia directo mmoja kuleta kampuni 10 kwenye dhabuni
3. ⁠kudhibiti biashara ya mbolea na viwatilifu
4. ⁠minada kuendeshwa kidigitali
5. ⁠mtetezi wa falsafa ya local content n.k
 
Waziri Bashe anachapa kazi kwelikweli pale wizara ya Kilimo kiasi cha kuwa tishio Kwa kundi la wasaka urais ndani ya CCM wanapoona anawaovershine

Kwa sasa moja ya mbinu wanazotumia ni kumchafua kwenye mitandao ya kijamii.

Unapoona Kigogo anamchafua Bashe ujue ni sehemu ya mkakati huo.

Huwezi kusema Bashe anaua zao la korosho kule kwenye mikoa ya kusini badala yake ni huyu Bashe ndiye anayewalinda wazalishaji wa zao huku akiwashughulikia kwa vitendo wafanyabiashara wanaowanyonya wakulima.

Maadui wa Bashe hawana hoja na ndio maana wanatumia ubaguzi kumchafua.

Bashe ni Mtanzania mzalendo,ni mwana CCM mahiri,Mbunge wa Nzenga mjini na ni msomi mzuri.

Kukesha mitandaoni kujadili asili ya Bashe ni upuuzi uliopindukia.

Kwasisi tuliosoma anthropology na tunajua vyema historia ya Tanzania na Afrika kwa ujumla tunashangazwa kuona bado kuna watu wana elements za ubaguzi.ukijua haya huwezi kuwa mbaguzi.

Mfano hata hawa wanaomchafua Bashe ni wabantu-Hivi hawajui kuwa hata wabantu ni wahamiaji hapa Tanzania?

Hivi ni nani anaweza kuhoji uzalendo wa Profesa Issa Shivji? je tusema Shivji ni Mhindi? uhindi wake unatusaidia nini?

Shivji ni Mtanzania mzalendo.Period.

Acheni Bashe afanye kazi.anatutoa kimasomaso kutokana na anavyosimamia vyema sekta ya kilimo na program ya BBT

Threat kubwa
1. Biashara ya sukari kuitaka iwe liberal
2. ⁠kudhibiti minada ya mazao Kwa kuweka sheria inayozuia directo mmoja kuleta kampuni 10 kwenye dhabuni
3. ⁠kudhibiti biashara ya mbolea na viwatilifu
4. ⁠minada kuendeshwa kidigitali
5. ⁠mtetezi wa falsafa ya local content n.k
Yaani MSOMALI awe threat kweli? You could be sick!
 
Waziri Bashe anachapa kazi kwelikweli pale wizara ya Kilimo kiasi cha kuwa tishio Kwa kundi la wasaka urais ndani ya CCM wanapoona anawaovershine

Kwa sasa moja ya mbinu wanazotumia ni kumchafua kwenye mitandao ya kijamii.

Unapoona Kigogo anamchafua Bashe ujue ni sehemu ya mkakati huo.

Huwezi kusema Bashe anaua zao la korosho kule kwenye mikoa ya kusini badala yake ni huyu Bashe ndiye anayewalinda wazalishaji wa zao huku akiwashughulikia kwa vitendo wafanyabiashara wanaowanyonya wakulima.

Maadui wa Bashe hawana hoja na ndio maana wanatumia ubaguzi kumchafua.

Bashe ni Mtanzania mzalendo,ni mwana CCM mahiri,Mbunge wa Nzenga mjini na ni msomi mzuri.

Kukesha mitandaoni kujadili asili ya Bashe ni upuuzi uliopindukia.

Kwasisi tuliosoma anthropology na tunajua vyema historia ya Tanzania na Afrika kwa ujumla tunashangazwa kuona bado kuna watu wana elements za ubaguzi.ukijua haya huwezi kuwa mbaguzi.

Mfano hata hawa wanaomchafua Bashe ni wabantu-Hivi hawajui kuwa hata wabantu ni wahamiaji hapa Tanzania?

Hivi ni nani anaweza kuhoji uzalendo wa Profesa Issa Shivji? je tusema Shivji ni Mhindi? uhindi wake unatusaidia nini?

Shivji ni Mtanzania mzalendo.Period.

Acheni Bashe afanye kazi.anatutoa kimasomaso kutokana na anavyosimamia vyema sekta ya kilimo na program ya BBT

Threat kubwa
1. Biashara ya sukari kuitaka iwe liberal
2. ⁠kudhibiti minada ya mazao Kwa kuweka sheria inayozuia directo mmoja kuleta kampuni 10 kwenye dhabuni
3. ⁠kudhibiti biashara ya mbolea na viwatilifu
4. ⁠minada kuendeshwa kidigitali
5. ⁠mtetezi wa falsafa ya local content n.k
sio threat at all but,
he is among potential politician who need to be very careful currently, as he seems to be a real revolutionist in agricultural industry :NoGodNo:
 
Mkwawa Leaf kampuni ya tumbaku inayimiliki kiwanda kikubwa cha kichakata tumbaku Morogoro inamilikiwa na nani?
 
Waziri Bashe anachapa kazi kwelikweli pale wizara ya Kilimo kiasi cha kuwa tishio Kwa kundi la wasaka urais ndani ya CCM wanapoona anawaovershine

Kwa sasa moja ya mbinu wanazotumia ni kumchafua kwenye mitandao ya kijamii.

Unapoona Kigogo anamchafua Bashe ujue ni sehemu ya mkakati huo.

Huwezi kusema Bashe anaua zao la korosho kule kwenye mikoa ya kusini badala yake ni huyu Bashe ndiye anayewalinda wazalishaji wa zao huku akiwashughulikia kwa vitendo wafanyabiashara wanaowanyonya wakulima.

Maadui wa Bashe hawana hoja na ndio maana wanatumia ubaguzi kumchafua.

Bashe ni Mtanzania mzalendo,ni mwana CCM mahiri,Mbunge wa Nzenga mjini na ni msomi mzuri.

Kukesha mitandaoni kujadili asili ya Bashe ni upuuzi uliopindukia.

Kwasisi tuliosoma anthropology na tunajua vyema historia ya Tanzania na Afrika kwa ujumla tunashangazwa kuona bado kuna watu wana elements za ubaguzi.ukijua haya huwezi kuwa mbaguzi.

Mfano hata hawa wanaomchafua Bashe ni wabantu-Hivi hawajui kuwa hata wabantu ni wahamiaji hapa Tanzania?

Hivi ni nani anaweza kuhoji uzalendo wa Profesa Issa Shivji? je tusema Shivji ni Mhindi? uhindi wake unatusaidia nini?

Shivji ni Mtanzania mzalendo.Period.

Acheni Bashe afanye kazi.anatutoa kimasomaso kutokana na anavyosimamia vyema sekta ya kilimo na program ya BBT

Threat kubwa
1. Biashara ya sukari kuitaka iwe liberal
2. ⁠kudhibiti minada ya mazao Kwa kuweka sheria inayozuia directo mmoja kuleta kampuni 10 kwenye dhabuni
3. ⁠kudhibiti biashara ya mbolea na viwatilifu
4. ⁠minada kuendeshwa kidigitali
5. ⁠mtetezi wa falsafa ya local content n.k
Yaan msomali pia awe mgombea urais wa JMT?Kweli nchi hii , ni kichwa cha, mwenda, wazimu.
 
Bashe maua yake apewe, jamaa ni mchapakazi hasa. Ni waziri pekee nnayeshawishika kumfatilia kutokana na utendaji wake.
 
Uingereza Waziri Mkuu Kanjibai unashangaa Bashe Mmatumbi!!😁😁
Kumbe uingereza? Sio Tanzania!! Hao UK, US wamedeveloped sana na wana regulation za kutosha. Sio Sisi Tanzania ambao hata ndugu zetu wanatuibia sasa msomali???
 
Waziri Bashe anachapa kazi kwelikweli pale Wizara ya Kilimo kiasi cha kuwa tishio Kwa kundi la wasaka urais ndani ya CCM wanapoona anawaovershine

Kwa sasa moja ya mbinu wanazotumia ni kumchafua kwenye mitandao ya kijamii.

Unapoona Kigogo anamchafua Bashe ujue ni sehemu ya mkakati huo.

Huwezi kusema Bashe anaua zao la korosho kule kwenye mikoa ya kusini badala yake ni huyu Bashe ndiye anayewalinda wazalishaji wa zao huku akiwashughulikia kwa vitendo wafanyabiashara wanaowanyonya wakulima.

Maadui wa Bashe hawana hoja na ndio maana wanatumia ubaguzi kumchafua.

Bashe ni Mtanzania mzalendo,ni mwana CCM mahiri,Mbunge wa Nzenga mjini na ni msomi mzuri.

Kukesha mitandaoni kujadili asili ya Bashe ni upuuzi uliopindukia.

Kwasisi tuliosoma anthropology na tunajua vyema historia ya Tanzania na Afrika kwa ujumla tunashangazwa kuona bado kuna watu wana elements za ubaguzi.ukijua haya huwezi kuwa mbaguzi.

Mfano hata hawa wanaomchafua Bashe ni wabantu-Hivi hawajui kuwa hata wabantu ni wahamiaji hapa Tanzania?

Hivi ni nani anaweza kuhoji uzalendo wa Profesa Issa Shivji? je tusema Shivji ni Mhindi? uhindi wake unatusaidia nini?

Shivji ni Mtanzania mzalendo.Period.

Acheni Bashe afanye kazi.anatutoa kimasomaso kutokana na anavyosimamia vyema sekta ya kilimo na program ya BBT

Threat kubwa
1. Biashara ya sukari kuitaka iwe liberal
2. ⁠kudhibiti minada ya mazao Kwa kuweka sheria inayozuia directo mmoja kuleta kampuni 10 kwenye dhabuni
3. ⁠kudhibiti biashara ya mbolea na viwatilifu
4. ⁠minada kuendeshwa kidigitali
5. ⁠mtetezi wa falsafa ya local content n.k

Bashe naye ameanza kujaza chawa huku mitandaoni?!
 
Sifa ya kwanza ya Rais anayefuata ni awe MKRISTO.
Sifa nyingine ni kama vile kuwa mbantu, kuwa na elimu ya juu n.k.
 
Bashe anafaa kuwa Rais baada ya Mama. Ukisikiliza interviews anazofanya utagundua anajua nini cha kufanya kuikwamua Tanzania yenye asilimia kubwa ya wakulima wadogo wadogo.

Binafsi namuona Bashe akifika mbali kisiasa iwapo atasimama na anachokiamini.

Tanzania ni shamba la bibi hakuna kabila lenye asili ya bongo, sote wahamiaji ukisoma kitabu kinaitwa The History of East Africa, ni kitabu kizuri mno cha zamani cha kijivu kiliandikwa na wakenya. Hivyo Bashe ana haki zote kugombea nafasi yoyote anayoruhusiwa kikatiba. Ni mtu ambae hajawahi kupoa tangu akiwa mbunge tu hadi kuwa waziri kazi kazi tu!!

Mti wenye matunda daima hupigwa mawe, maua yote kwa Bashe.
 
Back
Top Bottom