Watanzania wanahitaji kujua ukweli kuhusu NHIF

Immortal Techniques

Senior Member
Aug 9, 2023
168
311
Ni vyema Serikali ije na ukweli kuhusu NHIF na siyo maneno tu Shirika limezidiwa,

1. Wanachama mpka sasa ni wangapi?

2. Michango ya NHIF inayokatwa Kwa waajiriawa na waajiri inapelekwa Kila mwezi bila kukosa? Hii ni Kwa Government/Private sectors.

3. Ni kiasi Gani Kwa Mwezi NHIF inakusanya? Hapa tunaongelae mapato na matumizi.

Key points:
Watu Hawa ugui Kwa pamoja tunaomba kujua ni Kwa kiasi Gani shirika la NHIF linazidiwa kiasi Kwamba kutishia uhai wake na Afya za wachangiaji?

Isije kuwa pesa za makusanyo Kila mwezi zinafanya shughuli nyingine watu wanateseka, Tunahoji hili with reference na mifuko ya Pension pesa Serikali inazikopa domestic debt ni pesa za mifuko ya Pension mfano mpaka Dec 23 -2023, Mifuko ya Pension inadia Serikali Tzsh Tirilion 8. 5 SAWA na 27% mkaja na kikokotoo mifuko ya Pension Iko kwenye risk ni Unsustainable mkabadirisha Sheria lakini ukweli ni Serikali mnachota pesa Kila kukicha na ulipaji mdogo,

Sitaki kuamini mfuko wa NHIF Umezidiwa iwapo Kila mwezi makusanyo yanafanyika ipasavyo ni vigumu sana other wise mwenyewe details ukweli prove me wrong.

# Tunasema haya Kwa uchungu sana Leo mtu anadai Nssf mfano 2,000,000 mkataba wake umeisha anasumbuliwa ila Wanasiasa wapo tena ambao hawachangiii Nssf walikopa pesa za mifuko mnaumiza watu sana tujitathimi.
 
Nchi ishakua ngumu sana hii.....
Kuna waziri alisikika akisema watu wanalalamika wakati magari namba E yametamalaki, mabenki hayaishi foleni na harusi zinajaa sana skuizi...🤣
 
Ni vyema Serikali ije na ukweli kuhusu NHIF na siyo maneno tu Shirika limezidiwa,

1. Wanachama mpka sasa ni wangapi?

2. Michango ya NHIF inayokatwa Kwa waajiriawa na waajiri inapelekwa Kila mwezi bila kukosa? Hii ni Kwa Government/Private sectors.

3. Ni kiasi Gani Kwa Mwezi NHIF inakusanya? Hapa tunaongelae mapato na matumizi.

Key points:
Watu Hawa ugui Kwa pamoja tunaomba kujua ni Kwa kiasi Gani shirika la NHIF linazidiwa kiasi Kwamba kutishia uhai wake na Afya za wachangiaji?

Isije kuwa pesa za makusanyo Kila mwezi zinafanya shughuli nyingine watu wanateseka, Tunahoji hili with reference na mifuko ya Pension pesa Serikali inazikopa domestic debt ni pesa za mifuko ya Pension mfano mpaka Dec 23 -2023, Mifuko ya Pension inadia Serikali Tzsh Tirilion 8. 5 SAWA na 27% mkaja na kikokotoo mifuko ya Pension Iko kwenye risk ni Unsustainable mkabadirisha Sheria lakini ukweli ni Serikali mnachota pesa Kila kukicha na ulipaji mdogo,

Sitaki kuamini mfuko wa NHIF Umezidiwa iwapo Kila mwezi makusanyo yanafanyika ipasavyo ni vigumu sana other wise mwenyewe details ukweli prove me wrong.

# Tunasema haya Kwa uchungu sana Leo mtu anadai Nssf mfano 2,000,000 mkataba wake umeisha anasumbuliwa ila Wanasiasa wapo tena ambao hawachangiii Nssf walikopa pesa za mifuko mnaumiza watu sana tujitathimi.
Sababu kubwa na ya msingi, kwenye sector ya umma wanaajiriwa university na college wasio cream, ndio maana wanalipwa less na wapo ready, cream yote ya vyuo ipo sector binafsi kwa kuzingatia mishahara na delivery, huwezi tegemea ubunifu public zaidi ya wizi na kuforce increments na posho bila uzalishaji.

Unaona wakistaafu wanakufa mapema hata maprofesa wa ujasiliamali hawana biashara bunifu zaidi ya kufuga nguruwe na guest houses. Matokeo ya haraka ndio hayo walikoajiriwa
 
Back
Top Bottom