Chanzo cha habari kilichiripoti tukio hilo sikuu hii ya leo kabisa tena siku tukufu ni gazeti la mwananchi, watu wamesikiliza kwa makini waraka huo na kuelewa nini kinaendelea nchiniView attachment 2722571
The Catholic church is the biggest financial power, wealth accumulator and property owner in existence. She is a greater possessor of material riches than any other single institution, corporation, bank, giant trust, government or state of the whole globe.Chanzo cha habari kilichiripoti tukio hilo sikuu hii ya leo kabisa tena siku tukufu ni gazeti la mwananchi, watu wamesikiliza kwa makini waraka huo na kuelewa nini kinaendelea nchiniView attachment 2722571
Nape kichwani ni mtupu wangeacha tu utoke kama mkataba una maslahi kwa taifa wanaogopa nini?Nape ameishauri serikali na CCM kinyume.
Kuzuia magazeti imekuwa faida kusomwa kwenye misa ambapo kila muumini ameeleweshwa na waumini walikuwa hawana uwezo wa kuyagikia au kununua magazeti.
Na wananchi wengi wala hawasomi magazeti au kufuatilia mitandao hivyo ni kazi bure, majority wanapata habari live kanisani. Tena ndio wataelewa kwa uzuri zaidi.Wamegoma kutoa magazetini jamaa wameamua kusoma kanisani
Mtaani utapelekwa kwenye jumuiya. Itakuwa kazi ya kamati tendaji ya jumuiya kuusoma kwenye jumuiya siku ya kusali au kwenye kanda/mtaa kwenye kusali pamoja jumuiya zinazoundakanda/mtaa huo zitasomewa na kamati tendaji za kanda/mtaa.!!Mkitoka kuusoma kanisani uleteni na mtaani maana waumini wenu wengi hawaji kanisani kutokana na michango mingi.
Padri akitaka gari mnawachangisha waumini zenu.
Muumini akitaka gari mnamuombea.
Chululu zenu.
Mkitoka kuusoma kanisani uleteni na mtaani maana waumini wenu wengi hawaji kanisani kutokana na michango mingi.
Padri akitaka gari mnawachangisha waumini zenu.
Muumini akitaka gari mnamuombea.
Chululu zenu.
Tulia na yeye alikuwepo
Kanisa la Roma!!
EboooTulia na yeye alikuwepo
🤣Mkitoka kuusoma kanisani uleteni na mtaani maana waumini wenu wengi hawaji kanisani kutokana na michango mingi.
Padri akitaka gari mnawachangisha waumini zenu.
Muumini akitaka gari mnamuombea.
Chululu zenu.