Viboko havina umuhimu wa kumfanya mwanao kuwa na adabu unapoteza tu Muda wako kumchapa

DR HAYA LAND

JF-Expert Member
Dec 26, 2017
18,722
47,513
Mtoto anajifunza kwa kuona na sio hayo matusi Makubwa unayomwabia na Viboko.

Kuwa mtu smart hakikisha Mwanao unamfanya anakuwa smart kwa mjengea Huwezo wa kusoma vitabu , kuhoji na kuwa na utamaduni wa kuhakikisha unampa Muda wa meditation akae peke yake Sehemu tulivu then uone Kama ajakaa sawa.

Viboko huko mashuleni na majumbani mnapoteza Muda na hizo bullying zenu mara mnawaita Mbwa, hiyo midomo yenu michafu na tabia zenu ndo zimezaa watoto wa hovyo.
 
Junia jau sana sio kwa kupenda sifa kule
chaaaaaaaaaaa!
Juniaa
1686417600921.jpg
 
Mtoto anajifunza kwa kuona na sio hayo matusi Makubwa unayomwabia na Viboko.

Kuwa mtu smart hakikisha Mwanao unamfanya anakuwa smart kwa mjengea Huwezo wa kusoma vitabu , kuhoji na kuwa na utamaduni wa kuhakikisha unampa Muda wa meditation akae peke yake Sehemu tulivu then uone Kama ajakaa sawa.

Viboko huko mashuleni na majumbani mnapoteza Muda na hizo bullying zenu mara mnawaita Mbwa, hiyo midomo yenu michafu na tabia zenu ndo zimezaa watoto wa hovyo.
Natofautiana na wewe saana. Wanangu wote kama si viboko wasingefika hapa walipo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom