Mtukutu wa Nyaigela
JF-Expert Member
- Sep 4, 2018
- 6,658
- 11,326
- Thread starter
- #221
yana uzuri gani mkuu ,hayo maelezo ya jamaaUmeweka maelezo mazuri sana
kama Yesu alikufa Alhamis na kuzikwa jioni yake, kwahiyo siku ya kwanza inaisha ijumaa jioni, ya pili inaisha jumamosi jioni na ya tatu inaisha jumaipili jioni
Kumbuka watu walienda kaburini jumapili asubuhi wakakuta ameishafufuka.
ambapo sasa three nights and three days hazijatimia