Usichokijua kuhusu Infinix Note 30 pro na maajabu yake

Teknolojia ni Yetu sote

JF-Expert Member
Apr 28, 2020
445
757
Mwaka huu Infinix wametuletea series Bora kabisa ya simu mpya infinix Note 30 series zikiwa na feature kedekede ndani yake Leo ngoja tuzungumzie kuhusu ๐—œ๐—ป๐—ณ๐—ถ๐—ป๐—ถ๐˜… ๐—ก๐—ผ๐˜๐—ฒ ๐Ÿฏ๐Ÿฌ ๐—ฝ๐—ฟ๐—ผ.

Infinix Note 30 pro specs:
Display AMOLED 6.78inches Fhd + 120Hz
Processor yake ni MediaTek Helio G99(MT6789)
Ram yake ni 8Gb + 8Gb = 16Gb
Storage 128Gb au 256Gb + sd. Card 1Tb
Main Camera yake 108Mp + 2Mp Sensor (Samsung HM6)
selfie Camera 16Mp + 2.0 (wide)
Battery 5000mah + 68W fast charging + 15W wireless reverse charging
Android version 13 + Xos 13 version
Gharama yake ni 680k
Rate yake ni 8.7/10

๐—ก๐—ฑ๐—ฎ๐—ป๐—ถ ๐˜†๐—ฎ ๐—ฏ๐—ผ๐˜…
Cha kuvutia Zaidi Infinix wameamua maana hii series Sio poa kwanza kwenye chaji usiwe na wasiwasi kabisa kuanzia kwenye kuhimili joto , kuingiza chaji ndani ya dakika 30 tu inaja.

Kioo chake sasa ni AMOLED display yenye kutizama kitu kwa Ubora tena kinalinda macho yako dhidi ya mwanga unaotoka kwenye simu pamoja na Jua usiombe utizame movies ni mashine.

Wamekuja na mfumo wa kuweza kushare chaji na jirani yako ambaye ameishiwa chaji kwa kugusanisha tu aina mambo mengi we fanya kugusanisha tu na simu nyingine unaweza kuomba kupunguziwa chaji.

Fingerprint Iko pembeni ya sehemu ya kuzima achana na fingerprint ya nyuma umekua wakala. Speaker zake hii ni moto maana Zina mfumo wa Jbl speaker unasikiliza kitu unapiga unasikia burudani.

Kwenye kupangusa usijali maana refresh rate ni kubwa Sana 120hz yenye kugusa bila shida yoyote pamoja na processor imara kabisa yani hii ni simu bhana ni moto.

Storage ni kubwa unahifadhi vitu unaweza sema hard disks kumbe simu kazi kwako. Ikiwa na android version 13 unaweza update mpaka 14ikitoka tu.

Kamera wamezidi kuwa imara sana hii inatoa picha sio picha tu ni perfect qualifications picture ni balaa.
View attachment 2647695View attachment 2647702View attachment 2647698View attachment 2647696View attachment 2647697View attachment 2647699View attachment 2647700View attachment 2647701
file%20(5).jpg
 
Infinix better performance yake ni within 6 months!! Baada ya hapo lonakua kopo! Sio refresh late, mtk processessor wale hizo camera, vyote vinakua takataka
Bro sio kila Infinix after six . month inapoteza performance yake ni simu nyingi tu hata Samsung, Huawei, inategemea na Matumizi yako
 
Mwaka huu Infinix wametuletea series Bora kabisa ya simu mpya infinix Note 30 series zikiwa na feature kedekede ndani yake Leo ngoja tuzungumzie kuhusu ๐—œ๐—ป๐—ณ๐—ถ๐—ป๐—ถ๐˜… ๐—ก๐—ผ๐˜๐—ฒ ๐Ÿฏ๐Ÿฌ ๐—ฝ๐—ฟ๐—ผ.

Infinix Note 30 pro specs:
Display AMOLED 6.78inches Fhd + 120Hz
Processor yake ni MediaTek Helio G99(MT6789)
Ram yake ni 8Gb + 8Gb = 16Gb
Storage 128Gb au 256Gb + sd. Card 1Tb
Main Camera yake 108Mp + 2Mp Sensor (Samsung HM6)
selfie Camera 16Mp + 2.0 (wide)
Battery 5000mah + 68W fast charging + 15W wireless reverse charging
Android version 13 + Xos 13 version
Gharama yake ni 680k
Rate yake ni 8.7/10

๐—ก๐—ฑ๐—ฎ๐—ป๐—ถ ๐˜†๐—ฎ ๐—ฏ๐—ผ๐˜…
Cha kuvutia Zaidi Infinix wameamua maana hii series Sio poa kwanza kwenye chaji usiwe na wasiwasi kabisa kuanzia kwenye kuhimili joto , kuingiza chaji ndani ya dakika 30 tu inaja.

Kioo chake sasa ni AMOLED display yenye kutizama kitu kwa Ubora tena kinalinda macho yako dhidi ya mwanga unaotoka kwenye simu pamoja na Jua usiombe utizame movies ni mashine.

Wamekuja na mfumo wa kuweza kushare chaji na jirani yako ambaye ameishiwa chaji kwa kugusanisha tu aina mambo mengi we fanya kugusanisha tu na simu nyingine unaweza kuomba kupunguziwa chaji.

Fingerprint Iko pembeni ya sehemu ya kuzima achana na fingerprint ya nyuma umekua wakala. Speaker zake hii ni moto maana Zina mfumo wa Jbl speaker unasikiliza kitu unapiga unasikia burudani.

Kwenye kupangusa usijali maana refresh rate ni kubwa Sana 120hz yenye kugusa bila shida yoyote pamoja na processor imara kabisa yani hii ni simu bhana ni moto.

Storage ni kubwa unahifadhi vitu unaweza sema hard disks kumbe simu kazi kwako. Ikiwa na android version 13 unaweza update mpaka 14ikitoka tu.

Kamera wamezidi kuwa imara sana hii inatoa picha sio picha tu ni perfect qualifications picture ni balaa.
View attachment 2647695View attachment 2647702View attachment 2647698View attachment 2647696View attachment 2647697View attachment 2647699View attachment 2647700View attachment 2647701View attachment 2647703
Fingerprints siku hizi zinakaa kwenye kioo
 
Hii processor Iko poa sna sina mashaka nayo kabisa MediaTek G 99 Helio Iko poa
Ila wengine wanaitumia mpaka simu za laki 3. Samsung mwenyewe ambaye simu zake Ghali hauzi simu ya Helio G99 laki 6 lakini Infinix akiuza Mapambio kibao.

G90T processor ya miaka kama 4 iliopita imekuwa rebranded kwenda G95, baadae ikaitwa G96 sasa hivi inaitwa G99. Ni processor ya zamani ambayo haina thamani ya laki 6.
 
Back
Top Bottom