Janeth Thomson Mwambije
Member
- Apr 11, 2024
- 21
- 52
09/Mei/2024
Nilifanikiwa Kushiriki Katika Uzinduzi wa Kiwanda cha Malori Na Tipa, Kinachoitwa, "Saturn Corporation Limited", Kilichopo Wilaya Ya Kigamboni.
Mgeni Rasmi Katika Uzinduzi Huo wa Kiwanda, Alikuwa, Mheshimiwa Rais. Dkt. Samia Suluhu Hassan. Ambaye Aliwaelekeza Wenye Kiwanda Kukitumia Kiwanda Hicho Kuwa Na Masilahi Kwa Tanzania, Na Watanzania, Mfano; Upatikanaji wa Ajira Kwa Vijana, Na Ununuzi wa Baadhi Ya Malighafi za Uzalishaji wa Magari Kwenye Kiwanda Hiko, Kutoka Hapa Nchini. Pia, Alisema Kuhusu Utayari wa Serikali Juu Ya Kuweka Mazingira Rafiki Ya Uwekezaji Kwa Wawekezaji. Lakini Pia, Alikemea Suala la Ukiritimba.
Ulikuwa Wakati Mzuri ✍️.
NB : Natoa PONGEZI Kwa Ndugu Zangu Wote wa Wilaya Ya Ilala, Mlioupokea Mwenge, Tukakesha Nao Mnazi Mmoja, Na Bado Mkaukabidhi, Na Kuelekea Kigamboni Kuzindua Kiwanda Pamoja na Mheshimiwa Rais.... Hakika Ninyi Ni Wazalendo... Hata Kama Mlisinzia Kwenye Uzinduzi 🙌 Bado Mmeupiga Mwingi 👏
Naomba Kuwasilisha. ✍️
#KaziIendelee
Nilifanikiwa Kushiriki Katika Uzinduzi wa Kiwanda cha Malori Na Tipa, Kinachoitwa, "Saturn Corporation Limited", Kilichopo Wilaya Ya Kigamboni.
Mgeni Rasmi Katika Uzinduzi Huo wa Kiwanda, Alikuwa, Mheshimiwa Rais. Dkt. Samia Suluhu Hassan. Ambaye Aliwaelekeza Wenye Kiwanda Kukitumia Kiwanda Hicho Kuwa Na Masilahi Kwa Tanzania, Na Watanzania, Mfano; Upatikanaji wa Ajira Kwa Vijana, Na Ununuzi wa Baadhi Ya Malighafi za Uzalishaji wa Magari Kwenye Kiwanda Hiko, Kutoka Hapa Nchini. Pia, Alisema Kuhusu Utayari wa Serikali Juu Ya Kuweka Mazingira Rafiki Ya Uwekezaji Kwa Wawekezaji. Lakini Pia, Alikemea Suala la Ukiritimba.
Ulikuwa Wakati Mzuri ✍️.
NB : Natoa PONGEZI Kwa Ndugu Zangu Wote wa Wilaya Ya Ilala, Mlioupokea Mwenge, Tukakesha Nao Mnazi Mmoja, Na Bado Mkaukabidhi, Na Kuelekea Kigamboni Kuzindua Kiwanda Pamoja na Mheshimiwa Rais.... Hakika Ninyi Ni Wazalendo... Hata Kama Mlisinzia Kwenye Uzinduzi 🙌 Bado Mmeupiga Mwingi 👏
Naomba Kuwasilisha. ✍️
#KaziIendelee