karonga
JF-Expert Member
- Mar 19, 2017
- 638
- 1,037
Uhakikaunasema kwel
Uhakikaunasema kwel
Ila umemaliza ki vayolensi mkuu 😂😂 hujui hao ndo majority voters humu?Usie na ndoa, si utulie tu ujifuze na kuchota uzoefu utakaokusaidia kuamua 🐒
Kuna mtu alisema watapita kimya kimya kama wanaaga mwili wa marehemuKataa ndoa wanavyopita hii Thread kama hawaioni yani shwaaaaa
😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣 Masikio tena
Ntajibu nini mbona unanioneaJibu swali huko
matatizo wanayohisi tunayo wangegeuza fursa kwao idiotic
Nashangaa sana hawajui tumatatizo wanayohisi tunayo wangegeuza fursa kwao idiotic
😄Wapare walikutenda nini mkuu?Alivyoniambia tu yeye siyo mpare hapohapo akafaa kuolewa
Mwambie 🤓
Siwapendi😄Wapare walikutenda nini mkuu?