Wadiz
JF-Expert Member
- Nov 10, 2022
- 5,535
- 11,398
Maisha ni pesa na pesa ni nguvu mojawapo ya ujasiri na kujiamini katika maisha ya mapenzi na mahusiano.
Binafsi nikiwa na pesa pungufu ya Laki moja siwezi thubutu kumchokoza demu, hata kama ni mkali vipi ntamsomea ramani tu kinyele bila swaga.
Nikiwa sina Laki moja na kuendelea kwenye wallet sijihangaishi na hisia za mademu kwenye anga za harakati.
Je vipi kuhusu nyie mabaharia wenzangu?
kiroho safi tupo nchi ya Lamama wetu.
Wadiz
Binafsi nikiwa na pesa pungufu ya Laki moja siwezi thubutu kumchokoza demu, hata kama ni mkali vipi ntamsomea ramani tu kinyele bila swaga.
Nikiwa sina Laki moja na kuendelea kwenye wallet sijihangaishi na hisia za mademu kwenye anga za harakati.
Je vipi kuhusu nyie mabaharia wenzangu?
kiroho safi tupo nchi ya Lamama wetu.
Wadiz