lynch
JF-Expert Member
- Jul 30, 2015
- 293
- 247
Habar za mida wana MMU...nimekuwa msomaj mzur wa thread za watu humu na kutoa support ya ku comment nyuz zao.ss na mm yamenikuta nisiyoyatarajia
Kwa mfano ukagundua girL wako ana chepuka na njemba nyingine huwa mna soLve vp hiz ishu maana nahs najikuta nakosa jib sahihi kwa bishost@nawaza kumpiga chin nako naona haisaidiii,,,nawaza kukaa niongee nae napo naona atarudia kuLekuLe tuu.
Wana jamvi naomben mnipe njia stahik ambayo inayofaa kwa maamuz niendayo kuyachukua@@Bare on yu mind that evidenc zotee za bibie kucheat ninazo kuanzia pictr mpk convsation zao wotee
#nawasilisha
Kwa mfano ukagundua girL wako ana chepuka na njemba nyingine huwa mna soLve vp hiz ishu maana nahs najikuta nakosa jib sahihi kwa bishost@nawaza kumpiga chin nako naona haisaidiii,,,nawaza kukaa niongee nae napo naona atarudia kuLekuLe tuu.
Wana jamvi naomben mnipe njia stahik ambayo inayofaa kwa maamuz niendayo kuyachukua@@Bare on yu mind that evidenc zotee za bibie kucheat ninazo kuanzia pictr mpk convsation zao wotee
#nawasilisha