Ukichelewa kulipa kodi, mwenye nyumba anatakiwa kukupa muda gani ili uondoke?

MKuu acha tu mm mwenye nyumba nilimuomba anivumilie Kuna dili nasikilizia any time linatiki,Asubuhi naamka nakuta paa la chumba changu halipo,sijui alitoa sangapi yule Mzee,ilibidi niuze bufa nimalize msala.
Wapangaji msipange nyumba za watu wanaozitegemea wanadai balaa.
Mimi nna bahati nyumba zote nilizowahi kupanga wenye nazo hawana hata time na kodi kwanza hata kuwaona inaweza pita hata miaka hajawahi hata kuja kuangalia nyumba yake. Nyumba ya mwisho huyo sasa hata hajui kodi inaisha lini mimi ndiye nafanya kumwekea pesa na kumwambia kodi inaisha tarehe fulani. Mdada wa watu hana muda kabisa.
 
Ukiona huwezi lipa kodi kakae msituni sheria za bongo usizitegemee kwenye kodi kukutetea. Alafu jambo la kodi sio kitu cha kusema umekosa mipango yote. Unayofanya nikwaajili ya food shelter clothes sasa shelter inapiga chenga haukai chini ukajitathmini.

Mimi nilikua na kibubu nishapiga hesabu zangu kwa siku nyumba ninayokaa ni kiasi gani basi lile dau natia kwenye kibubu changu miezi 6 ikiisha navunja napeleka machenchi kama yalivyo. Hii ilinisaidia kutowaza maswala ya kodi
 
Sheria inamtambua mpangaji kama mvamizi mara tu kodi yake inapoisha.

Hivyo mwenye nyumba anao uhalali wa kukutoa mje ya nyumba yake,ila tu kwa kufata kanuni,mashahidi na mjumbe wa makazi mtaa huo.
Kosa analoweza kulifanya mwenye nyumba ni kuingiza hisia za"hii ni nyumba yangu"akatumia hasira kuvunja na kuingia kutoa vitu mwenyewe,hapo atakuwa kaharibu.


Kinachofanyika huwa ni ubinaadam tu wa kawaida,mtu aliyekulipa kwa wakati kipindi kilichopita anaweza pia kukosa kwa wakati kodi yako.hivyo ukamvumilia hata miezi 2 kama huna njaa za jua kali.
 
Mpangaji wangu ana miezi 8 hajanipa kodi kafukuzwa kazi na mkewe kajifungua juzi tu hapa,kodi namdai lakini nimejikuta natoa hela yangu kuwapa watoto wake chakula na hata mke aliposhikwa uchungu akanikopa tena pesa ya upasuaji wa mkewe.
Yaani hapa sioni dalili yoyote ya kulipwa na hapa nafikiria nikimfukuza ataenda wapi!
 
Mpangaji wangu ana miezi 8 hajanipa kodi kafukuzwa kazi na mkewe kajifungua juzi tu hapa,kodi namdai lakini nimejikuta natoa hela yangu kuwapa watoto wake chakula na hata mke aliposhikwa uchungu akanikopa tena pesa ya upasuaji wa mkewe.
Yaani hapa sioni dalili yoyote ya kulipwa na hapa nafikiria nikimfukuza ataenda wapi!

Mimi imeshawai kunitokea. Kuna mpanganji wangu alikaa mwaka mzima bure sababu ya case kama yako.

Alifukuzwa kazi. Akiwa na mama yake mgonjwa wa stroke..plus mke wake kajifungua.

Ilikuwa nikienda kumdai nanywea mwenyewe
 
Mpangaji wangu ana miezi 8 hajanipa kodi kafukuzwa kazi na mkewe kajifungua juzi tu hapa,kodi namdai lakini nimejikuta natoa hela yangu kuwapa watoto wake chakula na hata mke aliposhikwa uchungu akanikopa tena pesa ya upasuaji wa mkewe.
Yaani hapa sioni dalili yoyote ya kulipwa na hapa nafikiria nikimfukuza ataenda wapi!
pole na hongera kwa ujasiri wako 💪💪
 
Mm nyumba zangu kwa mujibu wa mkataba ni immediately baada ya kodi yake kuisha hana uhalali wa kuendelea kubaki kwenye nyumba yangu bila kulipa.
Na pia mpangaji au mm nilitaka kusitisha mkataba lazima nitoe/atoe taarifa na ndani ya huo mwezi lazima mpangaji awe ndani ya kodi yake.
Kujenga nyumba ni gharama kubwa halafu mpangaji aje kuleta ujinga wake wa kindezi??
Muwage na ubinadamu nyie wenye nyumba, kuna matatizo na masaibu.
Kumbukeni hilo pia.
 
MKuu acha tu mm mwenye nyumba nilimuomba anivumilie Kuna dili nasikilizia any time linatiki,Asubuhi naamka nakuta paa la chumba changu halipo,sijui alitoa sangapi yule Mzee,ilibidi niuze bufa nimalize msala.

pole Sana kaka ni changamoto.
 
Sheria inamtambua mpangaji kama mvamizi mara tu kodi yake inapoisha.

Hivyo mwenye nyumba anao uhalali wa kukutoa mje ya nyumba yake,ila tu kwa kufata kanuni,mashahidi na mjumbe wa makazi mtaa huo.
Kosa analoweza kulifanya mwenye nyumba ni kuingiza hisia za"hii ni nyumba yangu"akatumia hasira kuvunja na kuingia kutoa vitu mwenyewe,hapo atakuwa kaharibu.


Kinachofanyika huwa ni ubinaadam tu wa kawaida,mtu aliyekulipa kwa wakati kipindi kilichopita anaweza pia kukosa kwa wakati kodi yako.hivyo ukamvumilia hata miezi 2 kama huna njaa za jua kali.
Naomba wenye nyumba wote wasome hapa na waelewe.
Una busara na hekima sana mkuu. Ubarikiwe.
 
Sheria inamtambua mpangaji kama mvamizi mara tu kodi yake inapoisha.

Hivyo mwenye nyumba anao uhalali wa kukutoa mje ya nyumba yake,ila tu kwa kufata kanuni,mashahidi na mjumbe wa makazi mtaa huo.
Kosa analoweza kulifanya mwenye nyumba ni kuingiza hisia za"hii ni nyumba yangu"akatumia hasira kuvunja na kuingia kutoa vitu mwenyewe,hapo atakuwa kaharibu.


Kinachofanyika huwa ni ubinaadam tu wa kawaida,mtu aliyekulipa kwa wakati kipindi kilichopita anaweza pia kukosa kwa wakati kodi yako.hivyo ukamvumilia hata miezi 2 kama huna njaa za jua kali.

That’s true.
 
Mm nyumba zangu kwa mujibu wa mkataba ni immediately baada ya kodi yake kuisha hana uhalali wa kuendelea kubaki kwenye nyumba yangu bila kulipa.
Na pia mpangaji au mm nilitaka kusitisha mkataba lazima nitoe/atoe taarifa na ndani ya huo mwezi lazima mpangaji awe ndani ya kodi yake.
Kujenga nyumba ni gharama kubwa halafu mpangaji aje kuleta ujinga wake wa kindezi??
Umeulizwa kwa mujibu wqko au kwq mujibu wa sheria za Tz?
 
Back
Top Bottom