Tuwekee hapa majina ya pombe za asili unazozijua

Hapa ni baadhi

1. Mbege

2. Dengerua

3. Pingu (Pombe hii mama muuza hakupi hadi ahakikishe kwanza umevaa suruali au pajama ndefu hadi chini kwenye vifundo vya miguu. Hapa mteja lazima ufungwe kamba upande wa chini wa suruali ili kila kitu kiende sawa).

4. Komoni

5. Myakaya....

Endelea
Chimpumu,kangara,mbege ya mahindi,🤪
 
Sekenke
Chakubanga
Rusha raha
Banana
Nikomoe
Wanzuki
Nakunya leo
Ulanzi
Ndungu
Trump mtata
Mchokonoe
Zediii
Shusha mikono
Nalenga
Namanyere
Chipapa
Kanyezi
Selengoma
Msinshindwe
Ulumi
Kalepula
Legezamwendo
Chibuku
Comoriye
Gongo
Nshukaa

Kwa leo zinatosha

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Majina yako mengi ni nick name. Jitahidi kuweka yale majina yanayojulikana rasmi.
 
Sekenke
Chakubanga
Rusha raha
Banana
Nikomoe
Wanzuki
Nakunya leo
Ulanzi
Ndungu
Trump mtata
Mchokonoe
Zediii
Shusha mikono
Nalenga
Namanyere
Chipapa
Kanyezi
Selengoma
Msinshindwe
Ulumi
Kalepula
Legezamwendo
Chibuku
Comoriye
Gongo
Nshukaa

Kwa leo zinatosha

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
"Bhunu mbundi" toka huko Arusha ingawa jina hilo linatoka huko "Mukoani" Mara.
 
Hapa ni baadhi

1. Mbege

2. Dengerua

3. Pingu (Pombe hii mama muuza hakupi hadi ahakikishe kwanza umevaa suruali au pajama ndefu hadi chini kwenye vifundo vya miguu. Hapa mteja lazima ufungwe kamba upande wa chini wa suruali ili kila kitu kiende sawa).

4. Komoni

5. Myakaya....

Endelea
Choya
 
NI wakati sahihi sasa kuitangaza Mbege kuwa kinywaji/pombe ya taifa, hii ni kutokana na heshima kubwa iliyojijengea ndani na nje ya nchi, mheshimiwa spika,nawasilisha.
Kuna siku nilikunywa hiyo kitu nikaharisha,sina hamu nayo mpaka leo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom