Bemendazole
JF-Expert Member
- Nov 14, 2020
- 2,385
- 5,953
Eeh. Niliikuta Bukoba huko.Hii pombe nayo?
Eeh. Niliikuta Bukoba huko.Hii pombe nayo?
Mwiriwe mwenewachu.Ndimasi, mgoligoli, wanzuki, ugwagwa
Chimpumu,kangara,mbege ya mahindi,🤪Hapa ni baadhi
1. Mbege
2. Dengerua
3. Pingu (Pombe hii mama muuza hakupi hadi ahakikishe kwanza umevaa suruali au pajama ndefu hadi chini kwenye vifundo vya miguu. Hapa mteja lazima ufungwe kamba upande wa chini wa suruali ili kila kitu kiende sawa).
4. Komoni
5. Myakaya....
Endelea
Majina yako mengi ni nick name. Jitahidi kuweka yale majina yanayojulikana rasmi.Sekenke
Chakubanga
Rusha raha
Banana
Nikomoe
Wanzuki
Nakunya leo
Ulanzi
Ndungu
Trump mtata
Mchokonoe
Zediii
Shusha mikono
Nalenga
Namanyere
Chipapa
Kanyezi
Selengoma
Msinshindwe
Ulumi
Kalepula
Legezamwendo
Chibuku
Comoriye
Gongo
Nshukaa
Kwa leo zinatosha
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
pombe nyingi ni zao la mahindiChimpumu,kangara,mbege ya mahindi,
Mwiriwe, namaki?Mwiriwe mwenewachu.
Ni meza , uraho yewe munywani wanje?Mwiriwe, namaki?
lugha gan hii wakuu?Mwiriwe, namaki?
"Bhunu mbundi" toka huko Arusha ingawa jina hilo linatoka huko "Mukoani" Mara.Sekenke
Chakubanga
Rusha raha
Banana
Nikomoe
Wanzuki
Nakunya leo
Ulanzi
Ndungu
Trump mtata
Mchokonoe
Zediii
Shusha mikono
Nalenga
Namanyere
Chipapa
Kanyezi
Selengoma
Msinshindwe
Ulumi
Kalepula
Legezamwendo
Chibuku
Comoriye
Gongo
Nshukaa
Kwa leo zinatosha
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Ikilala ni pombeetogwa ni pombe?
Ndaho munyani wanje, ulihehe mkuu?Ni meza , uraho yewe munywani wanje?
Kipalestina mkuu😂😂lugha gan hii wakuu?
Muhila bhalaho?Ni meza , uraho yewe munywani wanje?
duhhKipalestina mkuu
Kikurya bila shaka😎lugha gan hii wakuu?
ChoyaHapa ni baadhi
1. Mbege
2. Dengerua
3. Pingu (Pombe hii mama muuza hakupi hadi ahakikishe kwanza umevaa suruali au pajama ndefu hadi chini kwenye vifundo vya miguu. Hapa mteja lazima ufungwe kamba upande wa chini wa suruali ili kila kitu kiende sawa).
4. Komoni
5. Myakaya....
Endelea
Kuna siku nilikunywa hiyo kitu nikaharisha,sina hamu nayo mpaka leo.NI wakati sahihi sasa kuitangaza Mbege kuwa kinywaji/pombe ya taifa, hii ni kutokana na heshima kubwa iliyojijengea ndani na nje ya nchi, mheshimiwa spika,nawasilisha.