bigmen
Senior Member
- Jul 3, 2020
- 147
- 318
Wana JF, Leo nachokileta mbele yenu kilianzia kwenye thread yangu iliyo pita baada ya jamaa mumoja kwa jina la hah kukoment Mambo ambayo ukitazama vizuri ni kuwa jamaa huyo anasapoti ushoga. Na leo nataka nielezee kwa uchache sababu za ushoga na namna ambayo tunatakiwa kufanya kuepuka swala zima la ushoga.
UZEMBE WA WAZAZI KWA MALEZI YA WATOTO,
Kiukwel kabisa ili maisha yasonge inabidi kujishughulisha na harakati mbali mbali, Lakini sasa harakati hizo zinatufanya wazazi tunashindwa kufatilia maendeleo ya ukuwaji wa watoto, mtoto anapokuwa mtaani kuchezea na wenzie Kuna mambo mengi anapitia nikisema hivyo kila mtu kasha pitia utoto nadhan anaelewa nachonmaanisha hapa,(mfano mchezo wa kibaba na mama) mtoto anaweza ingiliwa kinyume na usijuwe maana unarud usiku unakuta kasha lala na unaondoka mapema sana ikitokea anafanyiwa mara mbili maratatu mwisho wa siku ananogewa na anakuwa muhanga wa hilo swala na end of the day anakuwa kashakuwa shoga.
BOARDING SCHOOL(SHULE ZA BODING)
Unakuta mtu anajisifia sana mwanae yupo boarding bila kujuwa changamoto za boarding schools hasa hasa Government school, kule uonevu ni mwingi na kulawitiana kupo hata Kama ni kwa asilimia ndogo lkn inakuwa kadri siku zinavyozidi kwenda. Mfano nina mwanangu nilisoma nae nilimaliza nae kidato cha nne alikuwa ni mtumishi kabisa na ukimcheki ndotozake ninkuja kuwa pastor ila sasa ndoto za upastor zimeyeyuka, pia amebadilika hata story anazopenda kupiga ni story za same sex tuu.
PICHA ZA NGONO KWA WASIO NA WAPENZI,
Hii unakuta vijana wawili wakiume au wakike wanatazama pornography kwa simu, tv, laptop au jarida la ngono, alafu hapo wako pekeyao wawili tuu ndani jinsia moja ke au me unadhani kinachotokea hapo ni nini,
Zipo sababu nyingi ambazo husababisha ushoga kuzidi kuenea ambazo hutokea kila siku Kama movies zenye maudhui ya ushoga ndani yake Kama vile #All American's, #The chi, #Banshee nk.
Hiyvo ili kuudhibiti ushoga inahitajika kuanzia kwenye shina ambapo ni Kama nilivyo eleza hapo juu, tunatakiwa kuanzia kwa watoto kupewa elimu juu ya madhara ya ushoga, maana tukiwatengenezea watoto wetu Hali ya kuukataa tangu utotoni tunakuwa tumeng'oa mizizi ya ushoga kabisa.
=> Ikiwa wewe ni mTanzania na unafanya huo ufuska kwanza kabisa nafsi inabidi ikusute unatakiwa uone aibu, pambana na hiyo hali achana nayo.
UZEMBE WA WAZAZI KWA MALEZI YA WATOTO,
Kiukwel kabisa ili maisha yasonge inabidi kujishughulisha na harakati mbali mbali, Lakini sasa harakati hizo zinatufanya wazazi tunashindwa kufatilia maendeleo ya ukuwaji wa watoto, mtoto anapokuwa mtaani kuchezea na wenzie Kuna mambo mengi anapitia nikisema hivyo kila mtu kasha pitia utoto nadhan anaelewa nachonmaanisha hapa,(mfano mchezo wa kibaba na mama) mtoto anaweza ingiliwa kinyume na usijuwe maana unarud usiku unakuta kasha lala na unaondoka mapema sana ikitokea anafanyiwa mara mbili maratatu mwisho wa siku ananogewa na anakuwa muhanga wa hilo swala na end of the day anakuwa kashakuwa shoga.
BOARDING SCHOOL(SHULE ZA BODING)
Unakuta mtu anajisifia sana mwanae yupo boarding bila kujuwa changamoto za boarding schools hasa hasa Government school, kule uonevu ni mwingi na kulawitiana kupo hata Kama ni kwa asilimia ndogo lkn inakuwa kadri siku zinavyozidi kwenda. Mfano nina mwanangu nilisoma nae nilimaliza nae kidato cha nne alikuwa ni mtumishi kabisa na ukimcheki ndotozake ninkuja kuwa pastor ila sasa ndoto za upastor zimeyeyuka, pia amebadilika hata story anazopenda kupiga ni story za same sex tuu.
PICHA ZA NGONO KWA WASIO NA WAPENZI,
Hii unakuta vijana wawili wakiume au wakike wanatazama pornography kwa simu, tv, laptop au jarida la ngono, alafu hapo wako pekeyao wawili tuu ndani jinsia moja ke au me unadhani kinachotokea hapo ni nini,
Zipo sababu nyingi ambazo husababisha ushoga kuzidi kuenea ambazo hutokea kila siku Kama movies zenye maudhui ya ushoga ndani yake Kama vile #All American's, #The chi, #Banshee nk.
Hiyvo ili kuudhibiti ushoga inahitajika kuanzia kwenye shina ambapo ni Kama nilivyo eleza hapo juu, tunatakiwa kuanzia kwa watoto kupewa elimu juu ya madhara ya ushoga, maana tukiwatengenezea watoto wetu Hali ya kuukataa tangu utotoni tunakuwa tumeng'oa mizizi ya ushoga kabisa.
=> Ikiwa wewe ni mTanzania na unafanya huo ufuska kwanza kabisa nafsi inabidi ikusute unatakiwa uone aibu, pambana na hiyo hali achana nayo.