Mambo matano ya kuyafanya
1. Kuweka mkazo katika sera zake za uendeshaji wa mashirika binafsi kuzalisha malighafi za viwandani kama alizeti, miwa pamoja na mazao ya chakula.
2. Kupunguza ushuru katika vifaa vya kilimo kama uagizaji wa trekta za kulimia ili kuweka usawa na watu binafsi waweze kuagiza vifaa hivyo.
3. Kuwapa mkopo kwa kutumia halimashauri wale wenye ndoto ya kwenda katika sekta ya kilimo.
4. Kupokea hoja na kuzitatua kwa wale wanaohitaji kujikita katika sekta zinazozalisha.
5. Kuongeza watalaam katika sekta kuhudumia wahitaji katika sekta zinazozalisha kama Kilimo.
Hayo ni mambo muhimu matano ya kufanya ili kupunguza mfumuko wa bei nchini
1. Kuweka mkazo katika sera zake za uendeshaji wa mashirika binafsi kuzalisha malighafi za viwandani kama alizeti, miwa pamoja na mazao ya chakula.
2. Kupunguza ushuru katika vifaa vya kilimo kama uagizaji wa trekta za kulimia ili kuweka usawa na watu binafsi waweze kuagiza vifaa hivyo.
3. Kuwapa mkopo kwa kutumia halimashauri wale wenye ndoto ya kwenda katika sekta ya kilimo.
4. Kupokea hoja na kuzitatua kwa wale wanaohitaji kujikita katika sekta zinazozalisha.
5. Kuongeza watalaam katika sekta kuhudumia wahitaji katika sekta zinazozalisha kama Kilimo.
Hayo ni mambo muhimu matano ya kufanya ili kupunguza mfumuko wa bei nchini