Mwangajamii Tanzania
Member
- Oct 24, 2018
- 8
- 9
Hapana Bei sio Kubwa, huwezi kulinganisha na Mita ya Tanesco. Nakufungia kwa 150,000 Pamoja na UfungiIwapo unao Wapangaji kadhaa, na Wanapitia changamoto ya umeme wa kushare nafikiri hii ni suluhisho muafaka...!
Tatizo ni bei, mbona kubwa hivyo?