hah
JF-Expert Member
- Jan 28, 2024
- 434
- 870
Kumbe bado HT,,unapataje nguvu ya kuwatusi The BluesHT Av 2-0 Chelsea. Ni halali kufananishwa na kalio
Kumbe bado HT,,unapataje nguvu ya kuwatusi The BluesHT Av 2-0 Chelsea. Ni halali kufananishwa na kalio
😂😂😂😂😂😂Makalio ya bluu kama jezi ya chelsea
Yatalegea bro hayapigwi pasi... Yani nna mtoko muhimu wowowo lipo juu ya kamba sijui nfanyeje 🥹Yapige pasi yanyauke 😄
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Unamkaribisha mtu kwenye kiti cha plastiki unashangaa anakaa maji yanamwagika waaaaa, kumbe alivaa kigodoro kibichi.
😆😆😆Mvua ziishe jamani, tunapata tabu makalio yanakaa kwenye kamba wiki hayakauki.....tunashindwa kutoka 🥹🥹
Au nasema uongo ndugu zangu😂😂😂😂😂😂
Chelsea wameingiaje tena hapa jamaniiiiiii,,,,,,aaarrgg...mtupumzishe kidogo bhanaMakalio ya bluu kama jezi ya chelsea
Ni mfano tu mkuuChelsea wameingiaje tena hapa jamaniiiiiii,,,,,,aaarrgg...mtupumzishe kidogo bhana
Ha ha haUnamkaribisha mtu kwenye kiti cha plastiki unashangaa anakaa maji yanamwagika waaaaa, kumbe alivaa kigodoro kibichi.
TokaapaNi mfano tu mkuu
Wewe uko kama mimi. Kwanza mwanamke akiwa na mkalio mkubwa huwa nakata stimu zote. Nataka wale wenye vidogo vya kishkaji tu. Isiwe flat screen sana lakini.Mm sio MTU wa haya mambo Ila baadhi ya watu ambao wamwekeza Sana katika huo mradi Wa kuendesha vogue na scania huwa nawasikia Sana wakingia king
Sio bluu ni buluuUchumi wa bluu
Hivi haya si yale anayovaaga Zuchu?Mzuka, mashamsham na tamaa vyote viliyeyuka, baada ya kuona makalio yanaondolewa na kutundikwa juu kama inavyoonekana hapa chini.
Nimejiuliza maswali mengi sana. Hivi ananionaje huyu dada mpk akaamua kunidanganya kizembe namna hii? Ili siku nyingine nisiibiwe natakiwa kuyakagua vipi haya makalio? Maana ukiyatomasa yanatomasika kama makalio halisi.
Hebu watoto wa mjini mnisaidie. Ninyi mshawahi kupigwa kizembe hivi? Kama hamjawahi, huwa mnayagundua vipi makalio feki?
Makalio yenyewe haya hapa:
View attachment 2975562