Stimu zilikata baada ya kuyavua makalio

Mi nataka demu OG,kama ni English figure awe hivohivo asivae hayo madodoki, kama analo liwe ni OG, kama ni black awe black kama ni white awe white sio miguu Pepsi uso Mirinda.
 
Wanawake wanapoteza hela kijinga sana, kwanini ununue tako la silicone kwa laki 3 wakati halikusaidii chochote. Ukilivua tu wakati upo na bwana mpya basi anajua kabisa wewe ni mental case na harudi tena .
 
aisee,,, kuna haja ya kuacha kushobokea mademu wenye matyaco makubwa sasa.
 
  • Thanks
Reactions: G4N
Wanawake wengi hata rangi ya mwili sio rangi yao ya asili...

Wanatumia makorokoro kibao kujibadilisha badilisha...
 
  • Thanks
Reactions: G4N
Mzuka, mashamsham na tamaa vyote viliyeyuka, baada ya kuona makalio yanaondolewa na kutundikwa juu kama inavyoonekana hapa chini.

Nimejiuliza maswali mengi sana. Hivi ananionaje huyu dada mpk akaamua kunidanganya kizembe namna hii? Ili siku nyingine nisiibiwe natakiwa kuyakagua vipi haya makalio? Maana ukiyatomasa yanatomasika kama makalio halisi.

Hebu watoto wa mjini mnisaidie. Ninyi mshawahi kupigwa kizembe hivi? Kama hamjawahi, huwa mnayagundua vipi makalio feki?


Makalio yenyewe haya hapa:

View attachment 2975562
Hivi haya si yale anayovaaga Zuchu?
 
Back
Top Bottom