Serikali Ijenge Daraja Kuunganisha Tanzania na DRC Kupitia Ziwa Tanganyika (Karema-Moba Au Lagosa-Kalemie)

Kamba Hilo daraja hapa lenye km 163 kina chake hakijafikia hiyo 1.4km?

View: https://youtu.be/Ey6qfDTloLw?si=Fio3Q8867KcynYb1

Matetemeko yamekaa huko Japan na China Kila mwaka na hawajaacha kujenga miundombinu mikali sembuse Tzn ambayo Kuna dead tectonic lines?

Sijafuatilia kina cha nguzo za hilo daraja.
Ila tambua unaizungumzia nchi ambayo haina teknolojia hiyo bro.
Hao ulioleta daraja lao hao wanaweza ku minimize cost kwa kutumia wahandisi wa ndani.
Mathalan China wao hutumia wahandisi wa ndani,bila shaka hilo daraja uloleta lipo China maana sijafungua video.
Ila mkuu unazo pesa za kulipia hiyo teknolojia!?
Tuache utani hapo itatumika pesa ndeeefuuuuu saaaanaaaaaaa.
Je tunao huo ubavu!?
 
Njia zote zitatumika,China wamejenga hivyo wameanza na poles then sehemu yenye kina kirefu wakaweka tunnel maana kina Cha Ziwa sio kwamba ni uniform.

Pili umbali wa kutoa upande mmja Hadi mwingine sio zaidi ya km 35 wakati China hapo daraja lao linafiki km 165.

Daraja halijengwi Kwa mwaka mmja Bali miaka takribani 7,ukihusisha na miundombinu mingine ya kufungua upande wa DRC na Tzn inaweza chukua takribani miaka 15 ambapo tayari mahitaji ya uchumi yatakuwa makubwa so the time mradi wote unakamilika utaanza Kuzalisha immediately.

Mwisho tunaangalia faida ya miaka Mingi ijayo na sio gharama za Sasa
Hii mipango unayoleta kwa taifa hili ni sawa kubebesha canter mzigo wa scania.
Ku recruit hiyo teknolojia mfuko uchanike haswa.
Pia nasikia japo sina uhakika DRC kwenyewe ndani hakujaimarika kimiundombinu.
Pia hata usimamiaji wa miundombinu hauko vizuri.
 
Hii mipango unayoleta kwa taifa hili ni sawa kubebesha canter mzigo wa scania.
Ku recruit hiyo teknolojia mfuko uchanike haswa.
Pia nasikia japo sina uhakika DRC kwenyewe ndani hakujaimarika kimiundombinu.
Pia hata usimamiaji wa miundombinu hauko vizuri.
Mwendazake angekuwa na hayo mawazo hakuna Cha SGR,bwawa la Nyerere Wala ndege mngeziona.

Nchi hii uchumi haujasimama unakua Kila kukicha na miradi kama hiyo ndio itakuza zaid uchumi.

Lazima yutumie jiografia yetu ku tape full potential ya uchumi wa DRC
 
Wakati umefika Sasa wa Serikali Kufanya maamuzi magumu Kwa kushirikiana na DRC na kuanza Ujenzi wa Daraja litakalokatisha Kwenye Ziwa Tanganyika.

Daraja Hilo kinaweza kujengwa kati ya Bandari ya Lagosa(Tzn)-Kalenie(DRC) au kati ya Bandari ya Karema(Tzn)-Moba(DRC).

Uwekezaji wa daraja ingawa utakuwa wa gharama kiasi ila ndio njia ya uhakika ya kufungua na Kuunganisha Uchumi wa Tanzania na DRC badala ya kutegemea meli za kuunga unga.

Umbali uliopo baina ya Miji hiyo hauzidi km 35 hivyo gharama za Daraja haziwezi kuzidi Trilioni 30.Kwa Uchumi wa Congo,hiyo pesa itarudi haraka sana.

Hii itakuwa ni njia fupi zaidi ya kuifikia Congo Mashariki bila kulazimika Kupitia Nchi zingine jirani au kukumbana na kikwazo Cha Ziwa.

View attachment 2971088

Aidha ujenzi huo wa daraja uende sambamba na ujenzi wa njia ya reli ya Sgr kutoka Lagosa &Karema ports-Mpanda-Inyonga-Rungwa-Kilosa Ili ikakutane na Sgr ya Morogoro -Makutopora,kama inavyoonekana hapa chini kwenye mistari ya bluu.👇👇
View attachment 2971698
My Take

Tunataka maamuzi magumu kama haya ambayo yatakuwa na faidia vizazi na vizazi kwani daraja Hilo kinaweza kuishi Kwa miaka zaidi ya 100 ambapo pesa zote zitakuwa zimerudi,na faidia Juu.

Rais Samia chukua hii itakuwa Moja ya alama kubwa ya Utawala wako ni daraja la muhimu na la kimkakati kuliko Hilo la Dar-Zanzibar
View attachment 2971911


Mimi nafikiri badala ya kuwekeza kwenye miundombinu ya Barabara which is very expensive in terms of building and maintaining the roads and that multi trillion bridge pia usafiri wa Barabara ni ghali kuliko wa maji. Tukijumlisha na hao M23

Mimi naona kwamba, tujenge bandari ya kisasa ziwa Tanganyika halafu tuwekeze kwenye SGR na Meli za kisasa za mizigo kwenye hilo ziwa Tanganyika.
 
Kwani tunajenga Kwa Ajili ya Sasa? Kwanza elea ujenzi wake utachujua si chini ya miaka 7 hapo unazungumzia around mwaka 2035 kukamilika pamoja na miundombinu husika.

Sasa bado Uchumi wa Sasa ndio utakuwa sawa na huo wa 2035? Jifunzeni kufikiria Kwa Ajili ya kesho badala ya kuwa na akili fupi kama kuku.

View: https://youtu.be/ER2i_Ys3QfE?si=0FvKKGqRziJM9NM8

Bora niwe na akili fupi kama kuku kuliko yako ya bata!! Kama DRC bado mambo yao yatakuwa hivyi hivyi, hata iwe 2060!! Bado haliwezekani, akili zenyewe hizi za kiafrika kila kiongozi anayekuja anakuja na mipango yake!!
 
Wakati umefika Sasa wa Serikali Kufanya maamuzi magumu Kwa kushirikiana na DRC na kuanza Ujenzi wa Daraja litakalokatisha Kwenye Ziwa Tanganyika.

Daraja Hilo kinaweza kujengwa kati ya Bandari ya Lagosa(Tzn)-Kalenie(DRC) au kati ya Bandari ya Karema(Tzn)-Moba(DRC).

Uwekezaji wa daraja ingawa utakuwa wa gharama kiasi ila ndio njia ya uhakika ya kufungua na Kuunganisha Uchumi wa Tanzania na DRC badala ya kutegemea meli za kuunga unga.

Umbali uliopo baina ya Miji hiyo hauzidi km 35 hivyo gharama za Daraja haziwezi kuzidi Trilioni 30.Kwa Uchumi wa Congo,hiyo pesa itarudi haraka sana.

Hii itakuwa ni njia fupi zaidi ya kuifikia Congo Mashariki bila kulazimika Kupitia Nchi zingine jirani au kukumbana na kikwazo Cha Ziwa.

View attachment 2971088

Aidha ujenzi huo wa daraja uende sambamba na ujenzi wa njia ya reli ya Sgr kutoka Lagosa &Karema ports-Mpanda-Inyonga-Rungwa-Kilosa Ili ikakutane na Sgr ya Morogoro -Makutopora,kama inavyoonekana hapa chini kwenye mistari ya bluu.👇👇
View attachment 2971698
My Take

Tunataka maamuzi magumu kama haya ambayo yatakuwa na faidia vizazi na vizazi kwani daraja Hilo kinaweza kuishi Kwa miaka zaidi ya 100 ambapo pesa zote zitakuwa zimerudi,na faidia Juu.

Rais Samia chukua hii itakuwa Moja ya alama kubwa ya Utawala wako ni daraja la muhimu na la kimkakati kuliko Hilo la Dar-Zanzibar
View attachment 2971911


Cost benefit analysis ikoje? Unataka daraja yes but for what?
 
Bora niwe na akili fupi kama kuku kuliko yako ya bata!! Kama DRC bado mambo yao yatakuwa hivyi hivyi, hata iwe 2060!! Bado haliwezekani, akili zenyewe hizi za kiafrika kila kiongozi anayekuja anakuja na mipango yake!!
Mambo Yao yatakuwa hivyo hivyo vipi? Kwanza eneo miundombinu itakakojrngwa hakuna Cha m23 Wala nini na Kwa taarifa Yako tuu,proposal za reli na Barabara zipo tayari zinafanyiwa kazi na Serikali zote 2 ila hii ya daraja ni wazo langu jipya.
 
Ziwa Tanganyika lina kina kirefu, mita 1470 wastani wa mita 500 kwenda chini. Hii inaweza kuamsha changamoto za gharama kubwa ingawa kujenga daraja inawezekana. Suspension bridge pia inaweza kufanyika lakini tatizo ni kukosekana kwa uongozi wenye ubunifu na uthubutu wa nchi hizi mbili.
Ufumbuzi wa uhakika ni kujenga Ferry inayoweza kubeba mzigo mkubwa ikiwemo magari na abiria.
Mifano ipo mingi tu, lakini Ferry kama zile zinazounganisaha Denmark na uingereza, Sweden na Finland, Ireland na ujeremani.
 
Ziwa Tanganyika lina kina kirefu, mita 1470 wastani wa mita 500 kwenda chini. Hii inaweza kuamsha changamoto za gharama kubwa ingawa kujenga daraja inawezekana. Suspension bridge pia inaweza kufanyika lakini tatizo ni kukosekana kwa uongozi wenye ubunifu na uthubutu wa nchi hizi mbili.
Ufumbuzi wa uhakika ni kujenga Ferry inayoweza kubeba mzigo mkubwa ikiwemo magari na abiria.
Mifano ipo mingi tu, lakini Ferry kama zile zinazounganisaha Denmark na uingereza, Sweden na Finland, Ireland na ujeremani.
Watu mna akili fupi sana,Kwa engineering imeshindwa kusolve hapo?

Gharama vs faida utachagua nini?
 
Mambo Yao yatakuwa hivyo hivyo vipi? Kwanza eneo miundombinu itakakojrngwa hakuna Cha m23 Wala nini na Kwa taarifa Yako tuu,proposal za reli na Barabara zipo tayari zinafanyiwa kazi na Serikali zote 2 ila hii ya daraja ni wazo langu jipya.
Hivi mkuu umeshawahi kuishi congo?!! Hasa mashariki mwa kongo? Unadhania kwanini kule matumizi ya ndege kwa wananchi ni kama daladala tu za buguruni kwenda bomubomu?! Na usafiri wa majini, kule ni zaidi ya M23, kuna makunfi mengi sana ya waasi.
 
Ni Suala la kufungua direct connection Kwa njia ya Barabara nao watafanya hivyo so kubadilishana kitakuwepo.

Hicho unachosema mizigo Mingi Inatoka Tzn ni Kwa sababu miundombinu ya kuunganisha hiyo Kalemie au Moba na hinterland Cities ni mibovu na chakavu so haifikiki but Kwa hii move itafungua.

DRC inabadilishana na China Kwa kujengwa miundombinu badala ya pesa na wao Wanaopewa migodi.

So engagement ingefanyika na hili lingewezekana.

Meli ni bottleneck hakuna mtu Atapenda kupakia shusha pakia shusha ila Kikiwa na direct connection mambo itakuwa 🔥🔥
Eti wachina watalipwa migodi.
Akili za ccm
Ptuuuuuuuh!
 
Wakati umefika Sasa wa Serikali Kufanya maamuzi magumu Kwa kushirikiana na DRC na kuanza Ujenzi wa Daraja litakalokatisha Kwenye Ziwa Tanganyika.

Daraja Hilo kinaweza kujengwa kati ya Bandari ya Lagosa(Tzn)-Kalenie(DRC) au kati ya Bandari ya Karema(Tzn)-Moba(DRC).

Uwekezaji wa daraja ingawa utakuwa wa gharama kiasi ila ndio njia ya uhakika ya kufungua na Kuunganisha Uchumi wa Tanzania na DRC badala ya kutegemea meli za kuunga unga.

Umbali uliopo baina ya Miji hiyo hauzidi km 35 hivyo gharama za Daraja haziwezi kuzidi Trilioni 30.Kwa Uchumi wa Congo,hiyo pesa itarudi haraka sana.

Hii itakuwa ni njia fupi zaidi ya kuifikia Congo Mashariki bila kulazimika Kupitia Nchi zingine jirani au kukumbana na kikwazo Cha Ziwa.

View attachment 2971088

Aidha ujenzi huo wa daraja uende sambamba na ujenzi wa njia ya reli ya Sgr kutoka Lagosa &Karema ports-Mpanda-Inyonga-Rungwa-Kilosa Ili ikakutane na Sgr ya Morogoro -Makutopora,kama inavyoonekana hapa chini kwenye mistari ya bluu.👇👇
View attachment 2971698
My Take

Tunataka maamuzi magumu kama haya ambayo yatakuwa na faidia vizazi na vizazi kwani daraja Hilo kinaweza kuishi Kwa miaka zaidi ya 100 ambapo pesa zote zitakuwa zimerudi,na faidia Juu.

Rais Samia chukua hii itakuwa Moja ya alama kubwa ya Utawala wako ni daraja la muhimu na la kimkakati kuliko Hilo la Dar-Zanzibar
View attachment 2971911


Mkuu una wazo zuri lakini ziwa Tanganyika ni Rift Valley lake. Maana yake bonde la ufa limepita hapo na ni moja ya mziwa yenye kina kirefu duniani (meter 1470) so hapo ni kipengele.
 
Watu mna akili fupi sana,Kwa engineering imeshindwa kusolve hapo?

Gharama vs faida utachagua nini?
Swali ni Je, tuna ubavu wa kugharamia huo mradi na kwa resources zipi? Hizi hizi? Binafsi sijasema haiwezekani wakati nimeshuhudia nchi zikijenga barabara na reli chini ya bahari. Mf. Malmo ilivyounganishwa na Copenhagen.
 
Back
Top Bottom