Roving Journalist

JF Roving Journalist
Apr 18, 2017
2,854
12,090
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan kihutubia Taifa kuelekea Maadhimisho ya miaka 60 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar


Pamoja na mambo mengine, Rais Samia amesema mojawapo ya sababu zinazofanya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar udumu ni uwepo wa tume ya pamoja chini ya Ofisi ya Makamu wa Rais inayosikiliza na kutatua kero za Muungano kila zinazojitokeza.
Katika mwaka 2021 hadi sasa, hoja 15 kati ya 18 zimeshapatiwa ufumbuzi.

Aidha, katika diplomasia, Muungano umeiongezea Tanzania sifa ya ushawishi mkubwa kikanda na kimataifa. Wakati nchi hizi zinaungana zilikuwa kwenye kiwango duni cha maendeleo na wananchi wengi walikuwa katika hali ya kimaskini pamoja na kukuza pato la taifa kufikia trilioni 170 kwa takwimu za mwaka 2022 na pato la mtu mmoja mmoja kufikia wastani wa Milioni 2.8 na sasa Tanzania imefikia uchumi wa kati ngazi ya Chini.

Wastani wa umri wa kuishi wa Mtanzania umeongezeka kutoka miaka 45 mwaka 1964 hadi wastani wa miaka 67 mwaka 2024, sensa ya kwanza ilionesha uwepo wa watu Milioni 9 na sensa ya mwisho ya mwaka 2022 ilionesha uwepo wa watanzania 61 karibu 62.
Kabla ya muungano kulikuwa na chuo kikuu kimoja, kwa sasa kuna vyuo vikuu 49 ambapo 30 kati yake ni binafsi, 46 vipo Tanzania bara na 3 Zanzibar.
 
Tunasubiria Malumbano ya Hoja aiseee kuhusu Report ya CAG,mambo ya muungano wazanzibar hawataki.
 
Sijui mi naionaje, ni kama kadri wanavyotwambia kero za muungano zinatatuliwa ndivyo zanzibar inavyozidi kuoewa mamlaka na kuipoteza Tanganyika.
 
Haya yote anayoyafanya samia kwa kuiangamiza Tanganyika kwa kisingizio cha Muungano ni kwa ridhaa ya watanzania wanaounda CCM. Wanajali maslahi yao na kusahau Tanganyka yao.

Jana Lisu amasema wazi kuwa katiba ya Zanzibar inatambua uwepo wa Mzanzibari na rasimali zake za Zanzibar.
Katiba ya Zanzibar: Sehemu ya Pili
Watu
6.(1) Kutakuwa na Mzanzibari ambaye upatikanaji wake, upoteaji
wake na urudishwaji wake atakuwa kama alivyoainishwa katika Sheria
iliyotungwa na Baraza la Wawakilishi.

(2) Kila Mzanzibari, kwa misingi ya Katiba hii, ataweza kufaidi
haki na fursa zote anazostahiki Mzanziba
ri, na atapaswa kutekeleza
wajibu, majukumu na dhamana za Mzanzibari kama ilivyo kwenye
Katiba hii au kwenye Sheria iliyotungwa na Baraza la Wawakilishi

SWALI:
Watanganyika tujiuize ni katiba ipi inamtambua uwepo wa Mtanganyika na rasilimali zake?

Kwa kisingizio cha Muungano, Samia anaimaliza Tanganyika kwa kuiuza kwa Waarabu na majitu kama Nape yanapiga kelele za kijinga kutetea kuangamizwa kwa watangayika.

LISU IS PERFECTLY RIGHT NA WALA SI UBAGUZI. KAMA UBAGUZI, BASI KATIBA YA ZANZIBAR INDIYO YENYE MISINGI YA UBAGUZI KWA KUMTAMBUA MZANZIBARI NA KUTOMTAMBUA MTANGANYIKA


MWISHO: NAPE NA WENZAKO CCM, MNASAHAU KUWA NYINYI NI WATANGANYIKA, NA KESHO MTAJIBU KWA KUISALITIT TANGANYIKA
 
Nape hana tofauti na mafi ya punda tu.
Ukweli ni kwamba Wazanzibar hawana uchungu na Tanganyika.

Alianza Mwinyi kuuza Loliondo.
Huwezi kuamini kwenye himaya ya waarabu Loliondo Mtanganyika haruhusiwi kukanuaga
 
Nape hana tofauti na mafi ya punda tu.
Ukweli ni kwamba Wazanzibar hawana uchungu na Tanganyika.

Alianza Mwinyi kuuza Loliondo.
Huwezi kuamini kwenye himaya ya waarabu Loliondo Mtanganyika haruhusiwi kukanuaga
Ameuzaje Loliondo? Mnakosea mnapoleta ubaguzi kwenye biashara. Kwa hiyo ungeona Wazungu wemeshinda zabuni ungesikia raha?



Pesa ziko Uarabuni ndiyo maana hata Waingereza wenyewe wame surrender clubs zao za EPL kwa waarabu. Angalia Newcastle, Mancity, Arsenal etc.

Hata bandari ya Portsmouth pale Uingereza inaendeshwa na DP WORLD, wewe ni nani udharau waarabu
 
Hizo kero zimetatuliwaje?

Mbona hatuambiwi kero flani imetatuliwa hivi.

Haiwezekani kero zimekuwepo miaka 60, Samia kaingia juzi kero 15 zimetatuliwa. Isije kua zimetatuliwa kwa favor ya Zanzibar kwa sababu ya Samia.

Tunaomba kujua kero hizo ni zipi na zimetatuliwaje.
 
Ameuzaje Loliondo? Mnakosea mnapoleta ubaguzi kwenye biashara. Kwa hiyo ungeona Wazungu wemeshinda zabuni ungesikia raha?



Pesa ziko Uarabuni ndiyo maana hata Waingereza wenyewe wame surrender clubs zao za EPL kwa waarabu. Angalia Newcastle, Mancity, Arsenal etc.

Hata bandari ya Portsmouth pale Uingereza inaendeshwa na DP WORLD, wewe ni nani udharau waarabu
Usijali hata NewYork umeme hukatika
 
6.(1) Kutakuwa na Mzanzibari ambaye upatikanaji wake, upoteaji
wake na urudishwaji wake atakuwa kama alivyoainishwa katika Sheria
iliyotungwa na Baraza la Wawakilishi.
Naomba anayeijuwa sheria hii atuwekee hapa. Uzanzibari wa kupatikana na kupotea.
 
Ameuzaje Loliondo? Mnakosea mnapoleta ubaguzi kwenye biashara. Kwa hiyo ungeona Wazungu wemeshinda zabuni ungesikia raha?



Pesa ziko Uarabuni ndiyo maana hata Waingereza wenyewe wame surrender clubs zao za EPL kwa waarabu. Angalia Newcastle, Mancity, Arsenal etc.

Hata bandari ya Portsmouth pale Uingereza inaendeshwa na DP WORLD, wewe ni nani udharau waarabu
Bandari ya Portsmouth inaendeshwa kwa mkataba kama wa Bandari ya Dar-es-Salaam !.

Usijitie kutetea ujinga na upumbavu wa watu kuuza mali za Tanganyika kwa kisingizio cha ubaguzi.

Umewahi kusikia au kuona Rais mwenye asili ya Tanganyika akiuza ardhi ya Tanganyika au Zanzibar.
 
Bandari ya Portsmouth inaendeshwa kwa mkataba kama wa Bandari ya Dar-es-Salaam !.

Usijitie kutetea ujinga na upumbavu wa watu kuuza mali za Tanganyika kwa kisingizio cha ubaguzi.

Umewahi kusikia au kuona Rais mwenye asili ya Tanganyika akiuza ardhi ya Tanganyika au Zanzibar.
Jiangalie kwanza kama una akili au makamasi tu kwenye kichwa kabla ya kuandika. Ni kipande gani cha ardhi kimeuzwa? Leta risiti ya mauzo hapa. Mumekalia upotoshaji na chuki tu wakati watu tunataka maendeleo
 
Back
Top Bottom