Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,987
- 156,261
- Thread starter
- #281
Wivu, fitina na roho mbaya zimewajaa watu wetuNiliomba uongozi wa shule tujenge mnara wa kumbukumbu na yawekwe majina ya wanafunzi na walimu waanzilishi wa shule nikajibiwa "ili iweje na wapi umeona hicho kitu"
Nilivunjika moyo sana