Pasi Milioni atishia kumpeleka mahakamani Benchika

1979Magufuli

JF-Expert Member
Feb 20, 2023
458
1,830
Nimefurahi sana leo, shabiki wa Simba Pasi Milioni ametishia kumburuza mahakamani aliyekuwa kocha wa Simba Benchika kwa madai kuwa alitaka kuua vipaji vya akina Edwin Balua, Karabaka, Duchu na Chasambi.

Pasi Milioni amedai katika hati ya madai yake mbele ya waandishi wa habari pale uwanja wa Chamazi kuwa Benchika pamoja na CV yake kubwa lakn bado alishindwa kuwaamini vijana na kung'ang'ania wachezaji waliochoka.

Pasi Milioni amedai kuwa aliingia katika mzozo na Benchika baada ya kuona haeleweki kwa misimamo yake isiyokuwa na faida kwa timu.

Pasi Milioni amedai Mgunda amewaamini vijana na wamempa matokeo jambo ambalo Benchika na elimu yake ameshindwa.

Pasi Milioni amedai Simba imefeli kwa sababu ya Benchika na kama tungekuwa na Juma Mgunda leo tungecheza fainali ligi ya mabingwa.

Pasi Milioni amedai Mgunda anatupeleka nafasi ya pili katika safari ya matumaini ya kusadikika.

Kila la heri Pasi Milioni na harakati zako za kumshtaki Benchika.
 
Huyo pasi milioni ni mpumbavu, hao wachezaji wazee waliochoka ni Namungo au Majaliwa?
 
simba msimu mmoja karibia makocha wanne,huu ni upuuzi,kila kocha anayeingia anakuja na falsafa yake, Simba ipate kocha atakayeaminiwa,hata kama ni Mgunda apewe tu mda wa kutosha siyo timua timua
 
Nimefurahi sana leo, shabiki wa Simba Pasi Milioni ametishia kumburuza mahakamani aliyekuwa kocha wa Simba Benchika kwa madai kuwa alitaka kuua vipaji vya akina Edwin Balua, Karabaka, Duchu na Chasambi.

Pasi Milioni amedai katika hati ya madai yake mbele ya waandishi wa habari pale uwanja wa Chamazi kuwa Benchika pamoja na CV yake kubwa lakn bado alishindwa kuwaamini vijana na kung'ang'ania wachezaji waliochoka.

Pasi Milioni amedai kuwa aliingia katika mzozo na Benchika baada ya kuona haeleweki kwa misimamo yake isiyokuwa na faida kwa timu.

Pasi Milioni amedai Mgunda amewaamini vijana na wamempa matokeo jambo ambalo Benchika na elimu yake ameshindwa.

Pasi Milioni amedai Simba imefeli kwa sababu ya Benchika na kama tungekuwa na Juma Mgunda leo tungecheza fainali ligi ya mabingwa.

Pasi Milioni amedai Mgunda anatupeleka nafasi ya pili katika safari ya matumaini ya kusadikika.

Kila la heri Pasi Milioni na harakati zako za kumshtaki Benchika.
Chawa wa viongozi,huyo jamaa hajawahi kukubali kuwa Simba mbovu.......
Wachezaji waliochoka wamesajiliwa na nani????
Amwambie mgunda wachezaji hao aende nao kombe la shirikisho mwezi wa nane/tisa maana kupata nafasi ya kushiriki klabu bingwa Afrika ni ndoto za mchana!!
 
professional managers are never wrong. benchika is not wrong. time will tell, mtibwa sugar is the bottom team in the league. it shouldn't be used as analyst team.
Na ni 2 wameshinda ila kelele na blah blah nyingi
Hao vijana si ndio kina Kazi aliyetoa Boko la penalty
 
Nimefurahi sana leo, shabiki wa Simba Pasi Milioni ametishia kumburuza mahakamani aliyekuwa kocha wa Simba Benchika kwa madai kuwa alitaka kuua vipaji vya akina Edwin Balua, Karabaka, Duchu na Chasambi.

Pasi Milioni amedai katika hati ya madai yake mbele ya waandishi wa habari pale uwanja wa Chamazi kuwa Benchika pamoja na CV yake kubwa lakn bado alishindwa kuwaamini vijana na kung'ang'ania wachezaji waliochoka.

Pasi Milioni amedai kuwa aliingia katika mzozo na Benchika baada ya kuona haeleweki kwa misimamo yake isiyokuwa na faida kwa timu.

Pasi Milioni amedai Mgunda amewaamini vijana na wamempa matokeo jambo ambalo Benchika na elimu yake ameshindwa.

Pasi Milioni amedai Simba imefeli kwa sababu ya Benchika na kama tungekuwa na Juma Mgunda leo tungecheza fainali ligi ya mabingwa.

Pasi Milioni amedai Mgunda anatupeleka nafasi ya pili katika safari ya matumaini ya kusadikika.

Kila la heri Pasi Milioni na harakati zako za kumshtaki Benchika.


Elimu yake? Sioni mwanasheria mwenye akili atakayepambana na kesi isiyo mashiko.

Mtazamo wa mtu na mtu hauna standard ya kufungua kesi, mtazamo wa Benchika kuhusu wachezaji huwezi kuuchukulia kama Makosa.

Kama uwezo wa Mwalimu una determine perfomance ya mtu bila uwezo binafsi, tungepeleka watoto bila grades kwa sababu ya Walimu.

Watu wengi wenye pesa hawana Elimu.
 
Kati ya chawa wajinga waliopo pale Simba mmojawapo ni huyo anayejiita pasi milioni. Ukimwangalia kwa haraka haraka utasema jamaa ni bonge la "intelligent" kwa mwonekano wake na utulivu wake. Subiri sasa afungue mdomo wakati anahojiwa aisee lazima uzime simu au kompyuta. Nendeni mkatazame mahojiano yake mbali mbali huko "youtube" mtashangaa. Huyo na wenzake wapo kwa ajili ya kuwasifia na kuwaunga mkono viongozi na malipo yao ni kusafirishwa kila mechi kwenda mikoani kila Simba inapocheza. Wao kila siku kusifia tu viongozi na wachezaji hata wanapoboronga.

Hao chawa ikitokea Freddy au Onana kabahatisha kafunga goli moja hata baada ya mechi kumi mfulululizo utawasikia na misemo yao eti Freddy ni mali na haondoki Simba, Onana naye ni mali. Wanasahau haraka sana kuwa hao wachezaji wamefunga hayo magoli ni baada ya mechi ngapi na baada ya kupoteza nafasi ngapi za wazi. Mwisho wa siku wanaungana na viongozi na mfadhili wao Mo kujiaminisha kuwa eti Simba itacheza nusu fainali Afrika. Na hao chawa sijui kama wanajua kuwa Simba inazidi kuporomoka kwenye chati za CAF kila siku na wakifanya mizaha wanayofanya sasa wasishangae mwakani Simba ikatoka kwenye kumi bora.

Sasa hivi "project" yao ni kumuangushia jumba bovu Benchika na kuwasafisha viongozi. Kwa mwendo huu Simba wasahau kabisa ubingwa kwa miaka kadhaa ijayo. Ubaya wa chawa ni pale wanaposifia kila kitu mpaka akili zinahama kichwani zinaelekea tumboni kiasi eti anafikiria kumshtaki Benchika kwa kuchezesha wachezaji wazee wakati anasahau kuwa wakushtakiwa ni viongozi wanaliowasajili hao wachezaji wazee.

Kwa hali ilivyo pale Simba kwa sasa hata ikitokea viongozi waliopo sasa wakiondoka viongozi wapya wakitaka timu isonge mbele ni lazima watimue chawa wote vinginevyo watakwama kutoa Simba hapa ilipokwama kwenda mbele.

Ni mtizamo tu.
 
Nimefurahi sana leo, shabiki wa Simba Pasi Milioni ametishia kumburuza mahakamani aliyekuwa kocha wa Simba Benchika kwa madai kuwa alitaka kuua vipaji vya akina Edwin Balua, Karabaka, Duchu na Chasambi.

Pasi Milioni amedai katika hati ya madai yake mbele ya waandishi wa habari pale uwanja wa Chamazi kuwa Benchika pamoja na CV yake kubwa lakn bado alishindwa kuwaamini vijana na kung'ang'ania wachezaji waliochoka.

Pasi Milioni amedai kuwa aliingia katika mzozo na Benchika baada ya kuona haeleweki kwa misimamo yake isiyokuwa na faida kwa timu.

Pasi Milioni amedai Mgunda amewaamini vijana na wamempa matokeo jambo ambalo Benchika na elimu yake ameshindwa.

Pasi Milioni amedai Simba imefeli kwa sababu ya Benchika na kama tungekuwa na Juma Mgunda leo tungecheza fainali ligi ya mabingwa.

Pasi Milioni amedai Mgunda anatupeleka nafasi ya pili katika safari ya matumaini ya kusadikika.

Kila la heri Pasi Milioni na harakati zako za kumshtaki Benchika.
kilichobaki ni kujifariji fariji tu pasipo na formula...
 
Nimefurahi sana leo, shabiki wa Simba Pasi Milioni ametishia kumburuza mahakamani aliyekuwa kocha wa Simba Benchika kwa madai kuwa alitaka kuua vipaji vya akina Edwin Balua, Karabaka, Duchu na Chasambi.

Pasi Milioni amedai katika hati ya madai yake mbele ya waandishi wa habari pale uwanja wa Chamazi kuwa Benchika pamoja na CV yake kubwa lakn bado alishindwa kuwaamini vijana na kung'ang'ania wachezaji waliochoka.

Pasi Milioni amedai kuwa aliingia katika mzozo na Benchika baada ya kuona haeleweki kwa misimamo yake isiyokuwa na faida kwa timu.

Pasi Milioni amedai Mgunda amewaamini vijana na wamempa matokeo jambo ambalo Benchika na elimu yake ameshindwa.

Pasi Milioni amedai Simba imefeli kwa sababu ya Benchika na kama tungekuwa na Juma Mgunda leo tungecheza fainali ligi ya mabingwa.

Pasi Milioni amedai Mgunda anatupeleka nafasi ya pili katika safari ya matumaini ya kusadikika.

Kila la heri Pasi Milioni na harakati zako za kumshtaki Benchika.
Wewe uliyeandika huu uzi, huyo sijui pasi ngapi na hao waliomhuji wote mnamatatizo ya afya ya akili.
 
Nimefurahi sana leo, shabiki wa Simba Pasi Milioni ametishia kumburuza mahakamani aliyekuwa kocha wa Simba Benchika kwa madai kuwa alitaka kuua vipaji vya akina Edwin Balua, Karabaka, Duchu na Chasambi.

Pasi Milioni amedai katika hati ya madai yake mbele ya waandishi wa habari pale uwanja wa Chamazi kuwa Benchika pamoja na CV yake kubwa lakn bado alishindwa kuwaamini vijana na kung'ang'ania wachezaji waliochoka.

Pasi Milioni amedai kuwa aliingia katika mzozo na Benchika baada ya kuona haeleweki kwa misimamo yake isiyokuwa na faida kwa timu.

Pasi Milioni amedai Mgunda amewaamini vijana na wamempa matokeo jambo ambalo Benchika na elimu yake ameshindwa.

Pasi Milioni amedai Simba imefeli kwa sababu ya Benchika na kama tungekuwa na Juma Mgunda leo tungecheza fainali ligi ya mabingwa.

Pasi Milioni amedai Mgunda anatupeleka nafasi ya pili katika safari ya matumaini ya kusadikika.

Kila la heri Pasi Milioni na harakati zako za kumshtaki Benchika.
Simba sasa hivi imekuwa Ze komedi.
 
Kati ya chawa wajinga waliopo pale Simba mmojawapo ni huyo anayejiita pasi milioni. Ukimwangalia kwa haraka haraka utasema jamaa ni bonge la "intelligent" kwa mwonekano wake na utulivu wake. Subiri sasa afungue mdomo wakati anahojiwa aisee lazima uzime simu au kompyuta. Nendeni mkatazame mahojiano yake mbali mbali huko "youtube" mtashangaa. Huyo na wenzake wapo kwa ajili ya kuwasifia na kuwaunga mkono viongozi na malipo yao ni kusafirishwa kila mechi kwenda mikoani kila Simba inapocheza. Wao kila siku kusifia tu viongozi na wachezaji hata wanapoboronga.

Hao chawa ikitokea Freddy au Onana kabahatisha kafunga goli moja hata baada ya mechi kumi mfulululizo utawasikia na misemo yao eti Freddy ni mali na haondoki Simba, Onana naye ni mali. Wanasahau haraka sana kuwa hao wachezaji wamefunga hayo magoli ni baada ya mechi ngapi na baada ya kupoteza nafasi ngapi za wazi. Mwisho wa siku wanaungana na viongozi na mfadhili wao Mo kujiaminisha kuwa eti Simba itacheza nusu fainali Afrika. Na hao chawa sijui kama wanajua kuwa Simba inazidi kuporomoka kwenye chati za CAF kila siku na wakifanya mizaha wanayofanya sasa wasishangae mwakani Simba ikatoka kwenye kumi bora.

Sasa hivi "project" yao ni kumuangushia jumba bovu Benchika na kuwasafisha viongozi. Kwa mwendo huu Simba wasahau kabisa ubingwa kwa miaka kadhaa ijayo. Ubaya wa chawa ni pale wanaposifia kila kitu mpaka akili zinahama kichwani zinaelekea tumboni kiasi eti anafikiria kumshtaki Benchika kwa kuchezesha wachezaji wazee wakati anasahau kuwa wakushtakiwa ni viongozi wanaliowasajili hao wachezaji wazee.

Kwa hali ilivyo pale Simba kwa sasa hata ikitokea viongozi waliopo sasa wakiondoka viongozi wapya wakitaka timu isonge mbele ni lazima watimue chawa wote vinginevyo watakwama kutoa Simba hapa ilipokwama kwenda mbele.

Ni mtizamo tu.
huyo mpuuzi anamlaumu benchika kwa upuuzi wa wachezaji. mwehu kweli
 
Back
Top Bottom