Maghayo
JF-Expert Member
- Oct 5, 2014
- 14,309
- 30,929
Mzuka wanajamvi.
Nigeria is a divided nation. Yani hawa wa Igbo wanashabikia Bafanabafana dhidi ya timu yao ya taifa super Eagle.
Na wameshangilia kwa jazba south Africa waliposawazisha.
Mechi sasa hivi imeenda mda wa ziada baada ya kumalizika 1-1.
Kabila la Igbo wenyewe wanajiita Biafra hawapendi kujiita wanigeria.
Nigeria is a divided nation. Yani hawa wa Igbo wanashabikia Bafanabafana dhidi ya timu yao ya taifa super Eagle.
Na wameshangilia kwa jazba south Africa waliposawazisha.
Mechi sasa hivi imeenda mda wa ziada baada ya kumalizika 1-1.
Kabila la Igbo wenyewe wanajiita Biafra hawapendi kujiita wanigeria.