Umenikumbusha mbali sana mwana kitambo enzi za kitaa nilikuwa na mwanangu mmoja tulimpaga jina Mzee wa kunusa huyo alikuwa noma yan popote penye mpunga uwe wa harusi au msiba lazima atajua akisha jua bas anatushitua wana kisha tunaibuka mambo ya uswahilini hayo ushuani uwezi kuta hayo mamboAkili mtu wangu ebu mtag rafiki mwenye timing kama hizi🤣🤣View attachment 2953856hapo kaskilizia View attachment 2953857mara kashasogea mdogomdogoView attachment 2953861huyo nae anajisevia msosi, ni akili tu mtu wangu