NCCR-Mageuzi Taifa yamteua Elisante Ngoma kuwa Mwenezi

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Apr 18, 2017
2,925
12,208
GIaZZtsWsAAlMsd.jpeg
Aliekuwa Katibu wa Vijana wa Chama cha NCCR-Mageuzi Taifa na Makamu Mwenyekiti wa Jukwaa la Vijana TCD Kitaifa, Elisante Ngoma ameteuliwa na Kamati Kuu ya Chama hicho kuwa Mkuu wa Idara ya Uenezi Na mahusiano ya Umma Taifa.
NCCR_page-0001.jpg

TAARIFA KWA UMΜΑ
Kamati kuu ya Chama cha NCCR Mageuzi Taifa iliyokutana katika kikao chake cha kikatiba tarehe 23 Machi 2024 Makao Makuu ya Chama Ilala Jijini Dar es Salaam.

Kamati Kuu iliadhimia na kufanya uteuzi wa Wakuu wa Idara mbalimbali za Sekretarieti ya Chama Taifa kama ifuatavyo:-

i) Ndugu Elisante Ngoma kuwa Mkuu wa Idara ya Uenezi na mahusiano ya Umma.
ii) Ndugu Penina Tenga kuwa Mkuu wa Idara ya mambo ya nje ya Chama
iii) Ndugu Faustin Sungura kuwa Mkuu wa Idara ya Taasisi za Dola na vyombo vya uwakilishi.
iv) Ndugu Martin Mng'ong'o kuwa Mkuu wa Idara ya kampeni na Uchaguzi.

Pia kamati kuu ya Chama imeielekeza Secretarieti ya Chama Taifa kufanya majukumu yake ya kila siku na kuandaa ratiba ya uchaguzi wa ndani ya chama unotarajiwa kufanyika mwaka huu wa 2024.

PAMOJA NA SALAAM ZA CHAMA, UTU ITIKADI YETU

Elisante M. Ngoma
Mkuuu wa Idara ya Uenezi na mahusiano ya Umma
10 Aprili 2024
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom