Habari jamani naomba msaada.
Mimi ni msichana nasumbuliwa na matatizo ya uzazi nimetumia Dawa nyingi za hospital lakini bila mafanikio na zamitishamba pia hakuna matokeo ila yanakujaga kidogo lakini tatizo linarudi pale pale.
Kiufupi sijawahi pata hamu ya tendo sijui inaradha gani, pia sijawahi pata ute nateseka sana hata nishikwe wapi, naombeni msaada anayejua Dawa ya uhakika nikapona jamani.
Mimi ni msichana nasumbuliwa na matatizo ya uzazi nimetumia Dawa nyingi za hospital lakini bila mafanikio na zamitishamba pia hakuna matokeo ila yanakujaga kidogo lakini tatizo linarudi pale pale.
Kiufupi sijawahi pata hamu ya tendo sijui inaradha gani, pia sijawahi pata ute nateseka sana hata nishikwe wapi, naombeni msaada anayejua Dawa ya uhakika nikapona jamani.