Musukuma, Saasisha: Watanzania tusitishike na Janabi

DALALI MKUU

JF-Expert Member
May 7, 2022
1,557
2,867
Ndugu Janabi amekua akitoa ushauri Tata kuhusu lishe,Hali iliyowafanya watanzania wengi kubaki njia panda.

Nataka niwaambie ndugu zangu watanzania Huyu Janabi sio wa kwanza, miaka ya nyuma Kuna mtu alijiita DR NDODI Huyu ndio alikuwa balaa alitoa vitisho vyake na kila Aina ya vyakula na vinywaji alisema vina sumu.

Huyu mwamba alitrend Sana wakati huo wapo radio walimpa airtime ya kutosha kumbe zilikua njaa zake akawapata wajinga akavuta mkwanja sahv anatibu matatizo ya nguvu za kiume.

Watanzania wengi maisha yetu ni mazoezi tosha huo ushauri akautoe kwa watumishi wanaoshinda kwenye kiyoyoz siku nzima na kuzungushwa na V8.

Sisi wengine tukipata muda wa kula, kula Komba kila kitu usichague chakula .

Ni hayo tu

UPADATE

Mbunge wa Geita Vijijini, Joseph Kasheku Musukuma na mbunge wa Hai, Saashisha Mafue wamesema hawana shaka na uwezo na ushauri unaotolewa na Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, Profesa Mohamed Janabi kuhusu mambo ya lishe.

Wakizungumza kwa nyakati tofauti wabunge hao, wamesema hofu yao ushauri unaotolewa na Janabi si wa kila Mtanzania, kwa kuwa inategemea mtu anafanya shughuli gani.

Wamesema kama kila mtu akiufuata ushauri huo wanaweza poteza nguvu kazi pamoja na kuwa na watu wenye utapiamlo.


View: https://www.instagram.com/reel/C68TPc2t3P1/
 
Dokta anasema kweli, punguzeni Kula Kula....mnafuga mitambi mwisho inawaharibia mnaanza kutafuta msaada wa vumbi la Kongo.

Wengine wanakuwa Kama vichaa, kutwa kufoka foka....kumbe shida inaanzia kwenye diet.

Lazima kuwe na nidhamu ya ulaji, na ndo maana Adam na mwenzie walipokosa nidhamu ya ulaji waliadhibiwa Kwa kutolewa nje ya bustani.
 
Ndugu Janabi amekua akitoa ushauri Tata kuhusu lishe,Hali iliyowafanya watanzania wengi kubaki njia panda.

Nataka niwaambie ndugu zangu watanzania Huyu Janabi sio wa kwanza, miaka ya nyuma Kuna mtu alijiita DR NDODI Huyu ndio alikuwa balaa alitoa vitisho vyake na kila Aina ya vyakula na vinywaji alisema vina sumu.

Huyu mwamba alitrend Sana wakati huo wapo radio walimpa airtime ya kutosha kumbe zilikua njaa zake akawapata wajinga akavuta mkwanja sahv anatibu matatizo ya nguvu za kiume.

Watanzania wengi maisha yetu ni mazoezi tosha huo ushauri akautoe kwa watumishi wanaoshinda kwenye kiyoyoz siku nzima na kuzungushwa na V8.

Sisi wengine tukipata muda wa kula, kula Komba kila kitu usichague chakula .

Ni hayo tu
kwahiyo tufuate ushauri wako tuache wa janabi?
 
Masomo yake ni mazuri na kuna watu yanawahusu kwa asilimia 100
Kuna kitu kinaitwa target audience.. Si Wote ni target audience ya masomo yake
target ni vigogo wenzake ambao wana uhakika wa kula mila ya aina yoyote iliyopo duniani muda na wakati wowote. Mlala hoi hana uhakika wa kulakula atakavyo, kazi zake tu ni mazoezi tosha hahitaji kwenda jimu. Hao vigogo wenye matumbo makubwa na vibonge ya janabi yanawahusu
 
Dokta anasema kweli, punguzeni Kula Kula....mnafuga mitambi mwisho inawaharibia mnaanza kutafuta msaada wa vumbi la Kongo.

Wengine wanakuwa Kama vichaa, kutwa kufoka foka....kumbe shida inaanzia kwenye diet.

Lazima kuwe na nidhamu ya ulaji, na ndo maana Adam na mwenzie walipokosa nidhamu ya ulaji waliadhibiwa Kwa kutolewa nje ya bustani.
good start but pathetic ending!
 
Ndugu Janabi amekua akitoa ushauri Tata kuhusu lishe,Hali iliyowafanya watanzania wengi kubaki njia panda.

Nataka niwaambie ndugu zangu watanzania Huyu Janabi sio wa kwanza, miaka ya nyuma Kuna mtu alijiita DR NDODI Huyu ndio alikuwa balaa alitoa vitisho vyake na kila Aina ya vyakula na vinywaji alisema vina sumu.

Huyu mwamba alitrend Sana wakati huo wapo radio walimpa airtime ya kutosha kumbe zilikua njaa zake akawapata wajinga akavuta mkwanja sahv anatibu matatizo ya nguvu za kiume.

Watanzania wengi maisha yetu ni mazoezi tosha huo ushauri akautoe kwa watumishi wanaoshinda kwenye kiyoyoz siku nzima na kuzungushwa na V8.

Sisi wengine tukipata muda wa kula, kula Komba kila kitu usichague chakula .

Ni hayo tu

UPADATE

Mbunge wa Geita Vijijini, Joseph Kasheku Musukuma na mbunge wa Hai, Saashisha Mafue wamesema hawana shaka na uwezo na ushauri unaotolewa na Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, Profesa Mohamed Janabi kuhusu mambo ya lishe.

Wakizungumza kwa nyakati tofauti wabunge hao, wamesema hofu yao ushauri unaotolewa na Janabi si wa kila Mtanzania, kwa kuwa inategemea mtu anafanya shughuli gani.

Wamesema kama kila mtu akiufuata ushauri huo wanaweza poteza nguvu kazi pamoja na kuwa na watu wenye utapiamlo.


View: https://www.instagram.com/reel/C68TPc2t3P1/

Mleta mada si kila jambo lisemwalo linakuhusu wewe, mengine yapishe yaende yatawafikia wahusika. Unaonekana wewe haupendi ushauri wowote ule usiokuhusu utolewe! Wewe ni mbinafsi na unakasoro kubwa sana.
Nimalizie kwa kukujulisha huku Uswazi kwetu kusiko viyoyozi kuna watu wanene sana kuliko huko kwenye viyoyozi, najua itabisha kwa ubinafsi wako kwani ulitakalo unataka nasi tulitake.
 
Janabi anatakiwa awe mfano.mwili wake uoneshe afya ndiyo tumuamini na huo ushauri wake.mwili wake umekongoloka na kubaki mifupa Sasa sisi tutamwaminije na huo ushauri wake? Au afya ni kukongoloka
 
Mleta mada si kila jambo lisemwalo linakuhusu wewe, mengine yapishe yaende yatawafikia wahusika. Unaonekana wewe haupendi ushauri wowote ule usiokuhusu utolewe! Wewe ni mbinafsi na unakasoro kubwa sana.
Nimalizie kwa kukujulisha huku Uswazi kwetu kusiko viyoyozi kuna watu wanene sana kuliko huko kwenye viyoyozi, najua itabisha kwa ubinafsi wako kwani ulitakalo unataka nasi tulitake.
Mkuu kwenye post yangu kuna sehemu nimeandika UNENE Au nimezungumzia UNENE. ni kweli kabisa kwenye suala la kula sihitaji ushauri kabisa. mkuu.
 
Back
Top Bottom