Muongozo wa bajeti kwa mtu anelipwa 150k kwa mwezi

Wakuu hili liko wazi, Mabwanyenye wengi ndicho kiwango wanacholipa baada ya kuwahenyea .

Hivi kwa hiki kiwango unatoboa vp, japo inawezekana ukipata ufahamu!

Njooni, wataalamu wa bajeti
ukipanga chumba cha elfu 15 nyuma ya ofisini unapofanyia kazi unatoboa bila wasiwasi, ukijizatiti kweli kweli huku walau ukiwa unazungusha walau karanga za kukaangaa au peremende au bigjii, humo humo ofisini zikuongezeee shilingi mbili tatu ya kula. utafanyaje sasa na walinzi wengi wanatembelea tairi hizo hizo na maisha yanasonga 🐒
 
ukipanga chumba cha elfu 15 nyuma ya ofisini unapofanyia kazi unatoboa bila wasiwasi, ukijizatiti kweli kweli huku walau ukiwa unazungusha walau karanga za kukaangaa au peremende au bigjii, humo humo ofisini zikuongezeee shilingi mbili tatu ya kula. utafanyaje sasa na walinzi wengi wanatembelea tairi hizo hizo na maisha yanasonga 🐒
Hio Pesa sio kitu kabisa haitoshi chochote wiki tu upo juu ya Mawe Gari limepaki Hoi bin taaban
 
ukipanga chumba cha elfu 15 nyuma ya ofisini unapofanyia kazi unatoboa bila wasiwasi, ukijizatiti kweli kweli huku walau ukiwa unazungusha walau karanga za kukaangaa au peremende au bigjii, humo humo ofisini zikuongezeee shilingi mbili tatu ya kula. utafanyaje sasa na walinzi wengi wanatembelea tairi hizo hizo na maisha yanasonga 🐒
Aendelee KUjITAFUTA mkuu laki na hamsini hafiki kokote. Dunia haiwez kumuhurumia kwa umaskin wake
 
Wakuu hili liko wazi, Mabwanyenye wengi ndicho kiwango wanacholipa baada ya kuwahenyea .

Hivi kwa hiki kiwango unatoboa vp, japo inawezekana ukipata ufahamu!

Njooni, wataalamu wa bajeti
Kama kula asubuh na mchana ni kwa boss hapo hakikisha jioni unakula sio zaid ya buku jero means kwa mwezi 45k, mavazi usiyawaze kabisa tumia ulizonazi mpka ziishie mwilini, usinunue bando la internet, unga sms za mwez na dakika kwa emergency.

Hakikisha matumiz mengine hayazidi 35k ili kwa mwez uwe umetumia 80k na wewe usev 70k per month kwa mwaka 840k hamna hamna 800k hapo utakuwa umepata mtaji
 
Hio Pesa sio kitu kabisa haitoshi chochote wiki tu upo juu ya Mawe Gari limepaki Hoi bin taaban
Lakini wale wa kazi ngumu, muhimu na za maana sana mathalani walinzi wa makampuni na wafagizi wa maofisi, wanapiga kazi vizuri tu na maisha yanasonga 🐒

wengine walio jiongeza wanaenda makazini kwao na maandazi, vitumbua na karanga wanawauzia wenzao angalau jioni wanarudi home na chochote kitu na maisha yanaendelea, ni mipango na uthubutu tu 🐒
 
ukipanga chumba cha elfu 15 nyuma ya ofisini unapofanyia kazi unatoboa bila wasiwasi, ukijizatiti kweli kweli huku walau ukiwa unazungusha walau karanga za kukaangaa au peremende au bigjii, humo humo ofisini zikuongezeee shilingi mbili tatu ya kula. utafanyaje sasa na walinzi wengi wanatembelea tairi hizo hizo na maisha yanasonga 🐒
wazo zuri
 
Aendelee KUjITAFUTA mkuu laki na hamsini hafiki kokote. Dunia haiwez kumuhurumia kwa umaskin wake
ndio kazi zilizopo,
walinzi wa makampuni mbalimbali, Lakini wafanya usafi wa makampuni mbalimbali maofisi wanachezea mkwanja huo huo na maisha yanasonga, maana hakuna namna nyingine sasa 🐒
 
Back
Top Bottom