Mpunga kule mzur wa kununua Kwa watu ...kilo 50 bei 25000Mkuu hongera kwa mrejesho, nauliza vipi kuhusu kilimo cha mpunga?
Mpunga kule mzur wa kununua Kwa watu ...kilo 50 bei 25000Mkuu hongera kwa mrejesho, nauliza vipi kuhusu kilimo cha mpunga?
Mwez mei narud huko mkuu mavuno maharage muda umewadiaMkuu mtaji kuanzia kukodi shamba mpaka kuvuna ni wastani wa shingapi na mavuno yapoje?
Mapanda njia unakufahamu mkuuSaf sana mzee yule dada mtu poa sana mkarimu sana na mfahamu ........ nilikuwa na waza kimasihara watuhumiwa kuwepo msala sana kwao rooms ziko karibu sana nilskia Yuko huku kijiji Cha mbele kama unaenda bulombola na kajeje
Napajua mkuuu hukoMapanda njia unakufahamu mkuu
Hapa fremu namba karb na namba nne wanauza sana maparachichiView attachment 2854052
View attachment 2854053Nilifika mwese mwezi wa tatu mwaka huu, hakika niliona fursa huenda siku moja nikarudi
View attachment 2854054
Wapi huko mkuuSSa
Sahii kama huku nilipo..vijijiji ukienda unakuta hekari inauzwa elfu 70 mpaka laki,..ukijiwekeza mbona kutoboa nirahisi
Songea + madaba -RuvumaWapi huko mkuu
Duuh mapanda njia unapajua? Mimi naenda huko J 3Mapanda njia unakufahamu mkuu
Daah nyumbani kabisa kwa mzee wangu huko, huko kuna mazao hatari, naenda J.3 kuvuna mahindiNapajua mkuuu huko
Safi mkuu nakuja huko mwese Kwa mbele mwez kesho kuvuna maharage yame kubali Yako good Busta imepigwa juziDaah nyumbani kabisa kwa mzee wangu huko, huko kuna mazao hatari, naenda J.3 kuvuna mahindi
Mkuu habar yako? Ushafika mapanda njia? Vp harakat za mavunoDaah nyumbani kabisa kwa mzee wangu huko, huko kuna mazao hatari, naenda J.3 kuvuna mahindi