DOKEZO Maji ya bomba ya mamlaka ya maji Songea (SOUWASA) yanatoka machafu

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
A

Anonymous

Guest
Kwa wananchi wanaotumia maji kutoka mamlaka hii (SOUWASA)tumekuwa tukisumbuliwaa sana kutokana na maji machafu mekundu ambayo siyo salama kwa matumizi ya nyumbani.

Hii ni changamoto ya miaka na miaka, ukiwapa taarifa wanakwambia yafungulie mpaka yatakapoanza kutoka masafi na ilhali maji hayo yote yanaingia katika mita na inabid uyalipie.

Unaweza ukakuta unamwaga takriban ndoo za lita 10 kumi au zaid za maji machafu, mwsho wa siku unakuta bili kubwa.

Pia huwa wanasingizia kiwa wamesafisha matenki yao ndo maana maji yanatoka machafu.
 
Back
Top Bottom