Lissu apunguze hasira na malipizi, atapendwa na wengi

tripof

JF-Expert Member
Apr 2, 2024
248
331
Nimekuwa nikifuatilia hotuba za Lissu kwenye ziara zake. Kwanza nilichobaini ni uwepo wa siasa za kukigawa chama na nchi kwa ujumla. Lakini pia hasira na mihemko kwenye kauli zake apunguze na atangulize uzalendo, hekima na busara. Siyo kila kitu ni cha kuwajibu CCM hata kunyamaza ni hekima na busara. Usipende mno sifa za kwako pekee jenga team work na Mwenyekiti wako na uongozi kwa ujumla.

Upinzani umeshindwa kuing'oa CCM kwa sababu ya ulegevu wenu wa ndani na tamaa za madaraka na fedha na kutoaminiana.

Kaeni chini mtafakari kwa kina na tumieni watafiti kama ilivyokuwa kipindi cha Dkt. Slaa kujua nani apeperushe bendera vinginevyo mmekwisha, mtasambratika kama CUF, NCCR Mageuzi nk.

ACT itawapiku sasa hivi wanaonesha wako well organized na wanaonesha ukomavu wa kisiasa siyo ubabe wa akina Lissu anayekipasua chama.
 
Nimekuwa nikifuatilia hotuba za Lissu kwenye ziara zake. Kwanza nilichobaini ni uwepo wa siasa za kukigawa chama na nchi kwa ujumla. Lakini pia hasira na mihemko kwenye kauli zake apunguze na atangulize uzalendo, hekima na busara. Siyo kila kitu ni cha kuwajibu CCM hata kunyamaza ni hekima na busara. Usipende mno sifa za kwako pekee jenga team work na Mwenyekiti wako na uongozi kwa ujumla.

Upinzani umeshindwa kuing'oa CCM kwa sababu ya ulegevu wenu wa ndani na tamaa za madaraka na fedha na kutoaminiana.

Kaeni chini mtafakari kwa kina na tumieni watafiti kama ilivyokuwa kipindi cha Dkt. Slaa kujua nani apeperushe bendera vinginevyo mmekwisha, mtasambratika kama CUF, NCCR Mageuzi nk.

ACT itawapiku sasa hivi wanaonesha wako well organized na wanaonesha ukomavu wa kisiasa siyo ubabe wa akina Lissu anayekipasua chama.
Mkuu @tripod, kwanza hongera sana kwako binafsi, jf kuwa na mtu mwenye akili, busara za vision kama wewe ni baraka sana kwa jf, kwasababu busara za kiwango hiki ni za kutafuta kwa tochi humu jukwaani.

TL ni mdogo wangu pale Ilboru, nimeingia Ilboru A level, TL akiwa O level.
Nimemshauri sana humu, hadi nikauliza Msikie Tundu Lissu Hapa, Anauliza Kama Wenzake Wana Akili Kweli! Maridhiano Ayaita Ujinga. Je, Lissu Bado ni Asset or Sasa ni A Liability?

P
 
Nimekuwa nikifuatilia hotuba za Lissu kwenye ziara zake. Kwanza nilichobaini ni uwepo wa siasa za kukigawa chama na nchi kwa ujumla. Lakini pia hasira na mihemko kwenye kauli zake apunguze na atangulize uzalendo, hekima na busara. Siyo kila kitu ni cha kuwajibu CCM hata kunyamaza ni hekima na busara. Usipende mno sifa za kwako pekee jenga team work na Mwenyekiti wako na uongozi kwa ujumla.

Upinzani umeshindwa kuing'oa CCM kwa sababu ya ulegevu wenu wa ndani na tamaa za madaraka na fedha na kutoaminiana.

Kaeni chini mtafakari kwa kina na tumieni watafiti kama ilivyokuwa kipindi cha Dkt. Slaa kujua nani apeperushe bendera vinginevyo mmekwisha, mtasambratika kama CUF, NCCR Mageuzi nk.

ACT itawapiku sasa hivi wanaonesha wako well organized na wanaonesha ukomavu wa kisiasa siyo ubabe wa akina Lissu anayekipasua chama.
Umenena. Niliwahi kushauri chama kama Chadema kinahitaji kuwa na "jopo elekezi" lenye waelewa wazuri. Hawa ndo wawe moderators wa siasa na mwenendo wa chama na viongozi wao. Lilikuwepo kundi la kina Mzee Mtei,
Bob Nyanga Makani nk,sasa hawapo.
 
Upinzani umeshindwa kuing'oa CCM kwa sababu ya ulegevu wenu wa ndani na tamaa za madaraka na fedha na kutoaminiana.
Huu ni UONGO mkubwa sana hapa duniani.
CCM kuendelea kubaki madarakani haitegemei kupigiwa Kura na mtu yoyote yule ktk Uchaguzi wa Siasa hapa Tanzania. Katiba mbaya iliyopo hapa Tanzania peke yake inatosha kwa 100% kuibakisha CCM madarakani milele.
 
Nimekuwa nikifuatilia hotuba za Lissu kwenye ziara zake. Kwanza nilichobaini ni uwepo wa siasa za kukigawa chama na nchi kwa ujumla. Lakini pia hasira na mihemko kwenye kauli zake apunguze na atangulize uzalendo, hekima na busara. Siyo kila kitu ni cha kuwajibu CCM hata kunyamaza ni hekima na busara. Usipende mno sifa za kwako pekee jenga team work na Mwenyekiti wako na uongozi kwa ujumla.

Upinzani umeshindwa kuing'oa CCM kwa sababu ya ulegevu wenu wa ndani na tamaa za madaraka na fedha na kutoaminiana.

Kaeni chini mtafakari kwa kina na tumieni watafiti kama ilivyokuwa kipindi cha Dkt. Slaa kujua nani apeperushe bendera vinginevyo mmekwisha, mtasambratika kama CUF, NCCR Mageuzi nk.

ACT itawapiku sasa hivi wanaonesha wako well organized na wanaonesha ukomavu wa kisiasa siyo ubabe wa akina Lissu anayekipasua chama.
Siasa za kinafiki na uoga zimekuathiri, hivyo usipooana siasa hizo unaona ni tatizo. Wapinzani wameshindwa kuing'oa ccm kwakuwa Bado wanapoteza muda kushiriki chaguzi zisizoheshimika, machafuko ama mapinduzi ya kijeshi ndio yataing'oa ccm. Ni suala la muda tu.
 
Mkuu @tripod, kwanza hongera sana kwako binafsi, jf kuwa na mtu mwenye akili, busara za vision kama wewe ni baraka sana kwa jf, kwasababu busara za kiwango hiki ni za kutafuta kwa tochi humu jukwaani.

TL ni mdogo wangu pale Ilboru, nimeingia Ilboru A level, TL akiwa O level.
Nimemshauri sana humu, hadi nikauliza Msikie Tundu Lissu Hapa, Anauliza Kama Wenzake Wana Akili Kweli! Maridhiano Ayaita Ujinga. Je, Lissu Bado ni Asset or Sasa ni A Liability?

P
Ile ni liability lakini ni kutokana na trauma alizopitia
 
Siasa za kinafiki na uoga zimekuathiri, hivyo usipooana siasa hizo unaona ni tatizo. Wapinzani wameshindwa kuing'oa ccm kwakuwa Bado wanapoteza muda kushiriki chaguzi zisizoheshimika, machafuko ama mapinduzi ya kijeshi ndio yataing'oa ccm. Ni suala la muda tu.
"Njia pekee ambayo wananchi wataitumia katika kuzungumza au kujadiliana na watawala wao ambao ni madikteta ili kuifikia muafaka wenye maslahi kwa pande zote mbili ni kwa kupitia mtutu wa bunduki."

Jeff's O'Brien.
 
Mkuu @tripod, kwanza hongera sana kwako binafsi, jf kuwa na mtu mwenye akili, busara za vision kama wewe ni baraka sana kwa jf, kwasababu busara za kiwango hiki ni za kutafuta kwa tochi humu jukwaani.

TL ni mdogo wangu pale Ilboru, nimeingia Ilboru A level, TL akiwa O level.
Nimemshauri sana humu, hadi nikauliza Msikie Tundu Lissu Hapa, Anauliza Kama Wenzake Wana Akili Kweli! Maridhiano Ayaita Ujinga. Je, Lissu Bado ni Asset or Sasa ni A Liability?

P
Boss hapo kitengo hakuna kazi za kuuza madafu?
 
Siasa za kinafiki na uoga zimekuathiri, hivyo usipooana siasa hizo unaona ni tatizo. Wapinzani wameshindwa kuing'oa ccm kwakuwa Bado wanapoteza muda kushiriki chaguzi zisizoheshimika, machafuko ama mapinduzi ya kijeshi ndio yataing'oa ccm. Ni suala la muda tu.
Hakuna machafuko yatakayotokezea.
Mungu ibariki Tanzania.
wewe utakua si mtanzania unaombea machafuko. utakua raia wa sudani au haiti
 
Nimekuwa nikifuatilia hotuba za Lissu kwenye ziara zake. Kwanza nilichobaini ni uwepo wa siasa za kukigawa chama na nchi kwa ujumla. Lakini pia hasira na mihemko kwenye kauli zake apunguze na atangulize uzalendo, hekima na busara. Siyo kila kitu ni cha kuwajibu CCM hata kunyamaza ni hekima na busara. Usipende mno sifa za kwako pekee jenga team work na Mwenyekiti wako na uongozi kwa ujumla.

Upinzani umeshindwa kuing'oa CCM kwa sababu ya ulegevu wenu wa ndani na tamaa za madaraka na fedha na kutoaminiana.

Kaeni chini mtafakari kwa kina na tumieni watafiti kama ilivyokuwa kipindi cha Dkt. Slaa kujua nani apeperushe bendera vinginevyo mmekwisha, mtasambratika kama CUF, NCCR Mageuzi nk.

ACT itawapiku sasa hivi wanaonesha wako well organized na wanaonesha ukomavu wa kisiasa siyo ubabe wa akina Lissu anayekipasua chama.
ushauri Toka ccm

Nadhani cdm wanajua vizuri mambo yao tuwaachie

Unajichanganya dogo unadai rushwa inadumaza upinzani hapohapo unamshambulia lisu anayekemea rushwa

Hizi ni akili za kiccm
 
Kila mtu yupo alivyo/na uniqueness yake.The in-born character. Kutaka kum-shape/kumbadilisha mtu ujisikiavyo,utakavyo au upendavyo ni upotofu uliopea viwango.Kwa wenye imani za dini/Mungu,huko ni kufanya usahihishaji au uumbaji upya. Let the big boy be!Kwanza ,anatuchangamsha akili kwa sababu tulizubaa mnoo.Ngoma inogile na iendelee.
 
Hakuna machafuko yatakayotokezea.
Mungu ibariki Tanzania.
wewe utakua si mtanzania unaombea machafuko. utakua raia wa sudani au haiti
Machafuko hayaepukiki mnapotawaliwa bila ridhaa yenu. Huko Sudan waliingia kwenye machafuko sio kwa kupenda, ni baada ya chaguzi zao kuwa zinachezewa na kuweka viongozi wasio na ridhaa Yao. Kwa Sasa hayo ya huko ya kutoheshimu chaguzi yameshika Kasi, hakuna jinsi lazima tupitie njia hiyo kupata mabadiliko ya kweli.
 
Mkuu @tripod, kwanza hongera sana kwako binafsi, jf kuwa na mtu mwenye akili, busara za vision kama wewe ni baraka sana kwa jf, kwasababu busara za kiwango hiki ni za kutafuta kwa tochi humu jukwaani.

TL ni mdogo wangu pale Ilboru, nimeingia Ilboru A level, TL akiwa O level.
Nimemshauri sana humu, hadi nikauliza Msikie Tundu Lissu Hapa, Anauliza Kama Wenzake Wana Akili Kweli! Maridhiano Ayaita Ujinga. Je, Lissu Bado ni Asset or Sasa ni A Liability?

P
Tatizo Lissu anaongea mambo msiyopenda ndo tatizo
 
Back
Top Bottom