Kwanini ukiwanyamazia Maadui zako kwa Kunuachia Mwenyezi Mungu, baadae yakiwakuta Mabalaa Maishani wanaanza kusema Wewe ni Mchawi na Umewaroga?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Jul 13, 2013
57,115
110,509
Asante sana Mwenyezi Mungu kwa kuendelea Kutujibia Sisi tusio na lolote, uwezo wowote na tusio na baya kwa Mtu huku Wema wetu na Roho Nzuri zetu zikiwa ndizo Fimbo za Kutuchapia, Kutunyanyasa, Kututesea na Kutusimangia hapa duniani.

Kama kuna Mtu yoyote unajua fika kuwa kwa Makusudi au kwa Bahati Mbaya ulimkosea au Kumuumiza kwa namna yoyote ile Maishani mwake ( huku Yeye akiwa hana baya nawe, alikupenda, alikuheshimu na alikuamini ) basi Nabii na Mtume wa Mungu JamiiForums GENTAMYCINE nakuomba omba Kuonana nae na Mshike Mikono yake huku Ukimuangalia Machoni mwake na mwambie SAMAHANI KWA YOTE kisha muage kwa UNYEYEKEVU MKUBWA na ondoka zako.

Chezeni na Wote ila siyo Mungu Oky?
 
Poti, sijasalimia ndiomaana nimeacha nafasi kwaajili ya salam hapo juu.
I'm totally agree with you...🤗
 
Ujumbe mzuri tu.

Angekuwa ameandika mwingine nisingekosoa, ila kwa kuwa umeandika mhitimu wa SAUTI, lazima nikosoe kwa sababu iweje mhitimu wa SAUTI afanye makosa madogo madogo katika uandishi!

Jaribu kujifunza upya matumizi ya herufi kubwa. Hapo chini hayo maneno yaliyoanza kwa herufi kubwa yanapaswa yaandikwe kwa herufi ndogo isipokuwa neno la mwanzoni mwa aya tu.

"Kama kuna Mtu yoyote unajua fika kuwa kwa Makusudi au kwa Bahati Mbaya ulimkosea au Kumuumiza kwa namna yoyote ile Maishani"


Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
 
Umetoa somo zuri sana mkuu.
Asante Mkuu. Nilitabiriwa huko nyuma nikiwa Mtoto kuwa nitakuja kuwa Mhubiri mkubwa wa Imani ( Dini ) na wa Maisha na Mwalimu wa Maisha na Faraja kwa Walioumizwa Kimaisha na taratibu sasa huo Utabiri niliopewa naanza Kuona hivyo ndiyo nimeshauanza kupitia huu Uzi wangu Ulioukongole ( Uliousifu ) hivi
 
Ujumbe mzuri tu.

Angekuwa ameandika mwingine nisingekosoa, ila kwa kuwa umeandika mhitimu wa SAUTI, lazima nikosoe kwa sababu iweje mhitimu wa SAUTI afanye makosa madogo madogo katika uandishi!

Jaribu kujifunza upya matumizi ya herufi kubwa. Hapo chini hayo maneno yaliyoanza kwa herufi kubwa yanapaswa yaandikwe kwa herufi ndogo isipokuwa neno la mwanzoni mwa aya tu.

"Kama kuna Mtu yoyote unajua fika kuwa kwa Makusudi au kwa Bahati Mbaya ulimkosea au Kumuumiza kwa namna yoyote ile Maishani"


Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
Kwakuwa siku hizi Roho Mtakatifu kaanza Kuutawala Moyo wangu na Roho yangu niseme tu kwa Jina la Bwana ( Baba Mungu ) kuwa nimekubaliana na Ushauri wako, nitafanyia Kazi na Ubarikiwe kwa Jina la Baba ( Mungu wa Ibrahim, Isaka na Yakobo ) sawa Mkuu?
 
Kuna ka ukweli
Kuna jamaa alinitaperi 500k kwa mgongo wa kunipatia mchongo mgodi x, nilidai kwa miaka mi2, bila kilipwa,nikamwachia MUNGU, mwenyezi akaingilia kati jamaa akatimuliwa kazi
Akaanza nitafuta ye na familia yake nzima.wakiniomba msamaha
nikawaona mabwege tu
 
Back
Top Bottom