Kwa nini Simba ndo wamechanganyikiwa zaidi kuliko Yanga?

hewamkaa

Member
Mar 30, 2023
47
83
Kuanzia mashabiki, uongozi na mwisho wachezaji wa Simba,utaona kuchanganyikiwa kusiko na kipimo (beyond measure). Wenzao Yanga wametulia tuli.

Simba wanafikiri kuwa na jina kubwa ni magoli tayari. Wanafikiri tambo za msemaji na mashabiki wakereketwa ndio kuongeza umahiri wa wachezaji. Wanafikiri uchambuzi wa wachambuzi wetu uchwara, unaakisi hali halisi ya timu. Kwa ufupi, Simba huwa wanaingia uwanjani wakidhani wameishashinda, kumbe mchezo bado. Kwa hiyo matokeo yakiwa tofauti na yale waliyolala nayo, wanatamani kujiyonga.

Tumeona jana wachezaji wetu walivyo wazito. Ni wazito kiasi kwamba, eti Kibu ndiye tegemeo. Na ile penati, washukuru mchongo wa MO.

Hivi tujiulize, ni mchezaji gani ambaye tumemsajili kwa kushindana na timu nyingine. Labda tu Ngoma ambaye 'tulimuiba' airport. Lakini Chama tumemrudisha baada ya kuwa zigo huko alikokuwa. Konde Boy hivyo hivyo. Matokeo tunayaona.

Hawa kina Beleke, Onana, Phiri n.k.,hatujawahi kuwasikia kokote. Wamepambwa umaarufu baada ya kuja Simba, ili kuwahalalisha. Kumbe hamna kitu. Hivi kweli hapo kuna ushindi?

Hakika Simba inahitaji mapinduzi kifikra na kimtazamo.

Mlale unono
 
Kuanzia mashabiki, uongozi na mwisho wachezaji wa Simba,utaona kuchanganyikiwa kusiko na kipimo (beyond measure). Wenzao Yanga wametulia tuli.

Simba wanafikiri kuwa na jina kubwa ni magoli tayari. Wanafikiri tambo za msemaji na mashabiki wakereketwa ndio kuongeza umahiri wa wachezaji. Wanafikiri uchambuzi wa wachambuzi wetu uchwara, unaakisi hali halisi ya timu. Kwa ufupi, Simba huwa wanaingia uwanjani wakidhani wameishashinda, kumbe mchezo bado. Kwa hiyo matokeo yakiwa tofauti na yale waliyolala nayo, wanatamani kujiyonga.

Tumeona jana wachezaji wetu walivyo wazito. Ni wazito kiasi kwamba, eti Kibu ndiye tegemeo. Na ile penati, washukuru mchongo wa MO.

Hivi tujiulize, ni mchezaji gani ambaye tumemsajili kwa kushindana na timu nyingine. Labda tu Ngoma ambaye 'tulimuiba' airport. Lakini Chama tumemrudisha baada ya kuwa zigo huko alikokuwa. Konde Boy hivyo hivyo. Matokeo tunayaona.

Hawa kina Beleke, Onana, Phiri n.k.,hatujawahi kuwasikia kokote. Wamepambwa umaarufu baada ya kuja Simba, ili kuwahalalisha. Kumbe hamna kitu. Hivi kweli hapo kuna ushindi?

Hakika Simba inahitaji mapinduzi kifikra na kimtazamo.

Mlale unono
MO alitumia mtandao gani kufanya muamala.
Acha kusamabaza ujinga, simba akishinda msiseme uongo wa miamala kwa marefa, na yanga akishinda mjue kumpogeza na sio kutafuta chaka la marefa ua bahasha.
Mpira ni zaidi ya hizo propaganda za uongo.
Nyie ndio mnafanya timu zipate viongoz wa mchongo km ....😅😅
 
Aziz K, Musonda, Djuma Shabani
Huyo Djuma na Ki hawakuwa maarufu kabla na yanga waliwaona kwenye mechi za simba. Hao umaarufu wameipatia yanga kabla hawakuwa na umaarufu wowote. Ni kama mayele tuu amekuja bongo ndio kapata umaarufu b4 hakuna aliyemjua. Yanga ilishindwa vipi kwa chivavilo?
 
Kuanzia mashabiki, uongozi na mwisho wachezaji wa Simba,utaona kuchanganyikiwa kusiko na kipimo (beyond measure). Wenzao Yanga wametulia tuli.

Simba wanafikiri kuwa na jina kubwa ni magoli tayari. Wanafikiri tambo za msemaji na mashabiki wakereketwa ndio kuongeza umahiri wa wachezaji. Wanafikiri uchambuzi wa wachambuzi wetu uchwara, unaakisi hali halisi ya timu. Kwa ufupi, Simba huwa wanaingia uwanjani wakidhani wameishashinda, kumbe mchezo bado. Kwa hiyo matokeo yakiwa tofauti na yale waliyolala nayo, wanatamani kujiyonga.

Tumeona jana wachezaji wetu walivyo wazito. Ni wazito kiasi kwamba, eti Kibu ndiye tegemeo. Na ile penati, washukuru mchongo wa MO.

Hivi tujiulize, ni mchezaji gani ambaye tumemsajili kwa kushindana na timu nyingine. Labda tu Ngoma ambaye 'tulimuiba' airport. Lakini Chama tumemrudisha baada ya kuwa zigo huko alikokuwa. Konde Boy hivyo hivyo. Matokeo tunayaona.

Hawa kina Beleke, Onana, Phiri n.k.,hatujawahi kuwasikia kokote. Wamepambwa umaarufu baada ya kuja Simba, ili kuwahalalisha. Kumbe hamna kitu. Hivi kweli hapo kuna ushindi?

Hakika Simba inahitaji mapinduzi kifikra na kimtazamo.

Mlale unono
CAF wanaitaka tuzo yao ya mashabiki bora irudi huko...
 
Nitajie mchezaji yoyote wa yanga ambae alinunuliwa kwa ushindani na timu nyingine yanga wakawini?
Mkuu hii ni shida kubwa ya washabiki wa simba. Sasa umeshahamisha idea na unataka kumkosoa mtoa uzi kwa kulinganisha na Yanga. Hebu jibu yale aliyoyaainisha achana na kujibu kwa ku compare na Yanga!

Simba mna shida sana
 
Hivi unaelewa maana ya kuchanganyikiwa? Washabiki wakitoa hisia zao ndio wamechanganyikiwa? Hivi unajua jina la utopolo asili yake? Mpira ni mchezo wa hisia Wala usifananishe mpira na taarabu.
 
Na ile penati, washukuru mchongo wa MO.
Ulivyoandika tu hivi "mchongo wa MO" umejitambulisha tayari kuwa we ni Uto lia lia 😂 😂
Hebu itahidi kusaidia Uto wahame kwenye mfumo wa NBC league yenye kuruhusu mchezaji aliye offside to go hadi kufunga, badala yake wajipange kutumia ujuzi wa kisomi kupata mabao halali kama yale ya CR walivyowalamba 3 kavu 😁😁

Hiyo ligi ya CAF hainaga magoli ya kuotea ama kununua.

Mie ni shabiki wa Simba nipo sawa kabisa, iweje wewe uwasemee mashabiki wa Simba?

Nenda tu ukadili na kuchomoa mwiko nyuma.

Simba ni ile ile nguvu moja.
 
Back
Top Bottom