Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 118,531
- 220,243
Taarifa yao iliyosambazwa na Mkurugenzi wa Itifaki, John Mrema hii hapa.
Chadema haijawahi kuifanya Rushwa kuwa siri, Nadhani umepotea chamaHakikishen Lisu anafukuzwa Chamani kwa sbb amekichafua chama changu kwa kuweka siri zetu za Rushwa hadharani
Lucifer anamshauri Jibril namna ya kutenda kazi zake!Hakikishen Lisu anafukuzwa Chamani kwa sbb amekichafua chama changu kwa kuweka siri zetu za Rushwa hadharani
Kwa uongo duni kama huu ndio ukaitwa State Propaganda !Chadema ina MPASUKO mkubwa.
Chama kisipokuwa makini kitakatika vipinde vipande.
Dogo, usidandie mambo usiyoyajua.Hakikishen Lisu anafukuzwa Chamani kwa sbb amekichafua chama changu kwa kuweka siri zetu za Rushwa hadharani
Tulionya mapema....Kimbunga KIKOKOTOO kinakuja
Kiongozi wao ni shetani hao siyo mungu. Rushwa mbaya sana. Unapokuwa na mwenyekiti mla rushwa halafu anajifanya kutumia chama kuhalarisha rushwa hapo ndiyo anaharibuMkamtangulize Mungu katika vikao vyenu ili awapatie maarifa ,hekima na busara katika kila jambo litakalo kuwa mezani penu. Watanzania tunahitaji siasa safi,siasa za hoja ,ajenda ,sera na zenye kuliacha Taifa likiwa moja na siyo siasa za kutugawa watanzania. Au kuchochea machafuko na ubaguzi au kubaguana. Lazima tuhakikishe Bendera ya Taifa letu inapepea katika vifua vyetu mtanzania.
Tulia wewe MamlukiKiongozi wao ni shetani hao siyo mungu. Rushwa mbaya sana. Unapokuwa na mwenyekiti mla rushwa halafu anajifanya kutumia chama kuhalarisha rushwa hapo ndiyo anaharibu
Unasubiria papai chini ya mchongoma.Chadema ina MPASUKO mkubwa.
Chama kisipokuwa makini kitakatika vipinde vipande.
Hahaha...
Kulikuwa na mabango 15 yaliyobebwa na Polisi mbalimbali, hii tumetoa picha moja tu kwa sababu za kimaadiliHahaha...
Afadhali askari ameziba uso kwa BANGO, wakimgundua wanamla kichwa chap..
Cc: Lucas Mwashambwa
Hahaha acha ushamba. Hicho chama mfu wanaongozwa na shetani. Wewe ona wanavyogombania hela za rushwa kwasababu wamezoea, safari hii lisu hajapata mgaoTulia wewe Mamluki
Dah..Kulikuwa na mabango 15 yaliyobebwa na Polisi mbalimbali, hii tumetoa picha moja tu kwa sababu za kimaadili
Hahaha acha ushamba. Hicho chama mfu wanaongozwa na shetani. Wewe ona wanavyogombania hela za rushwa kwasababu wamezoea, safari hii lisu hajapata mgao