kula godoroHii leo imenikumba pia.Nna njaa had usingiz sipati
hata wewe ni night shift
Nachungulia tuuhata wewe ni night shift
Nimefungua uzi huu kutokana na kuwa na janga la kukata usingizi usiku. Kama na wewe ni mmoja wapo naomba tuungane pamoja hapa kwa kuandika ulipo na unafanya nn kwa wakati huo baada ya kukosa usingizi.Muda wa jukwaa ni kuanzia saa 6 usiku mpaka 11Asbh. Mimi hapa leo tangu nimeamka nimeamua nakunywa maji na kwenda kukojoa tu mpaka kukuche!
Haya Wale wa swalaa swalaaNimefungua uzi huu kutokana na kuwa na janga la kukata usingizi usiku. Kama na wewe ni mmoja wapo naomba tuungane pamoja hapa kwa kuandika ulipo na unafanya nn kwa wakati huo baada ya kukosa usingizi.Muda wa jukwaa ni kuanzia saa 6 usiku mpaka 11Asbh. Mimi hapa leo tangu nimeamka nimeamua nakunywa maji na kwenda kukojoa tu mpaka kukuche!
Mtoa post naona umeanzisha Uzi kwa kuvizia muda wa kifurushi cha Tigo (500) mia tank 35GB kuanzia saa 6 usiku hadi saa 12 asubuhi. Mtakeaha bure ndugu!