Huenda Ijumaa ijayo k Usiku Afrika ikasimama kwa Mshangao mkubwa na Wanaochekwa Kuzimia kwa Furaha ya Kihistoria kutoka kwa Ardhi ya Farao

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Jul 13, 2013
57,115
110,509
Huenda Ijumaa ijayo kuelekea Jumamosi Usiku Afrika ikasimama kwa Mshangao mkubwa na Wanaochekwa Kuzimia kwa Furaha ya Kihistoria kutoka kwa Ardhi ya Farao ( Pharao )

Kati ya wale 48 wanaoenda Kuzuru Kaburi la Nelson Madiba Mandela nchini Afrika Kusini 30 ni Waganga wa Kienyeji na 18 ni Vibaka maarufu Manzese, Mwananyamala na Tondale hivyo GENTAMYCINE nawaonea mno Huruma Waafrika kwani Wataibiwa na hakuna Rangi wataacha Kuiona.
 
IMG-20240318-WA0190(1).jpg
 
Huenda Ijumaa ijayo kuelekea Jumamosi Usiku Afrika ikasimama kwa Mshangao mkubwa na Wanaochekwa Kuzimia kwa Furaha ya Kihistoria kutoka kwa Ardhi ya Farao ( Pharao )

Kati ya wale 48 wanaoenda Kuzuru Kaburi la Nelson Madiba Mandela nchini Afrika Kusini 30 ni Waganga wa Kienyeji na 18 ni Vibaka maarufu Manzese, Mwananyamala na Tondale hivyo GENTAMYCINE nawaonea mno Huruma Waafrika kwani Wataibiwa na hakuna Rangi wataacha Kuiona.
Hii ya kutuhumu wenzio na kuwadhalilisha Kwa vitu ambavyo ni vya kujitungia si uungwana. Bàadhi ya waliosafiri wanajulikana na majirani zào, wewe unawasambazia sifa mbovu kujifurahisha? No braza, hili si Sawa.
 
Huenda Ijumaa ijayo kuelekea Jumamosi Usiku Afrika ikasimama kwa Mshangao mkubwa na Wanaochekwa Kuzimia kwa Furaha ya Kihistoria kutoka kwa Ardhi ya Farao ( Pharao )

Kati ya wale 48 wanaoenda Kuzuru Kaburi la Nelson Madiba Mandela nchini Afrika Kusini 30 ni Waganga wa Kienyeji na 18 ni Vibaka maarufu Manzese, Mwananyamala na Tondale hivyo GENTAMYCINE nawaonea mno Huruma Waafrika kwani Wataibiwa na hakuna Rangi wataacha Kuiona.
Ukiwa period akili zinakuhama
 
Hii ya kutuhumu wenzio na kuwadhalilisha Kwa vitu ambavyo ni vya kujitungia si uungwana. Bàadhi ya waliosafiri wanajulikana na majirani zào, wewe unawasambazia sifa mbovu kujifurahisha? No braza, hili si Sawa.
Rafiki yangu sikujua kama Utani wangu huu juu ya hao Wasafiri 48 Wewe kama mwana Yanga SC ungeupokea kwa Machungu na Hisia Kali hivi.

Nichukue nafasi hii Kukuomba Radhi na pia kuwaomba Radhi na wana Yanga SC Wengine hapa kama nao Wamekwazika ila kiukweli huwa napenda mno Utani na Kuchangamshana hapa.

GENTAMYCINE leo kuwatania hivi Yanga SC mmeonyesha Kuchukia hadi kusema kuwa Nadhalilisha Watu ila wana Yanga SC hapa JamiiForums Kutwa wakiwa Wanatudhalilisha wana Simba SC ( GENTAMYCINE nikiwemo ) huwa hamuoni na haliwaumi tena huenda pia huwa Mnafurahi sana.

Kunya anye Kuku ila akinya Bata basi jua Kaharisha. Hakuna Kitu nakichukia kama UNAFIKI, UBINAFSI na UPUMBAVU uliotukuka.
 
Huenda Ijumaa ijayo kuelekea Jumamosi Usiku Afrika ikasimama kwa Mshangao mkubwa na Wanaochekwa Kuzimia kwa Furaha ya Kihistoria kutoka kwa Ardhi ya Farao ( Pharao )

Kati ya wale 48 wanaoenda Kuzuru Kaburi la Nelson Madiba Mandela nchini Afrika Kusini 30 ni Waganga wa Kienyeji na 18 ni Vibaka maarufu Manzese, Mwananyamala na Tondale hivyo GENTAMYCINE nawaonea mno Huruma Waafrika kwani Wataibiwa na hakuna Rangi wataacha Kuiona.
GENTAMYCINE, Simba wazee wa Papatupapatu wameumaliza mwendo salama
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom