Hii ndio sababu ya kutokuwa na hisia kwa mpenzi wako

Hauna hisia nae kwasababu una tamaa na una hulka ya kimalaya.

Jitu lenye tamaa ambalo lishakutana na wanawake wengi au wanaume wengi haliwezi kuwa na hisia kamwe zaidi ya kutamani na kutamani tena.

UZI TAYARI.
Uko sahihi kbsa na ndo kitu kinachonitesa mpaka sasa nisiwe na demu manake huko nyuma nimekula mbususu za wanawake +malaya si chini ya 150 so now kila demu namuona simple tu na kumkinai mapema
 
Uko sahihi kbsa na ndo kitu kinachonitesa mpaka sasa nisiwe na demu manake huko nyuma nimekula mbususu za wanawake +malaya si chini ya 150 so now kila demu namuona simple tu na kumkinai mapema
But nahisi ukianza kuoa, Kisha ukawa na mademu ni ngumu kumchoka mke wako, shida n kuanza mademu afu ujaoa. Hapo kuoa n ngumu sana
 
Hauna hisia nae kwasababu una tamaa na una hulka ya kimalaya.

Jitu lenye tamaa ambalo lishakutana na wanawake wengi au wanaume wengi haliwezi kuwa na hisia kamwe zaidi ya kutamani na kutamani tena.

UZI TAYARI.
Umeandika kishabiki, huenda amekuambia hana hisia na wewe ndio unakuja kumalizia hasira zako humu.

Sababu kubwa bi

1. Mfumo wa maisha ya wapenzi ndio huo unaondoa hisia

Unaishi na mtu Kila siku vurugu, visirani,chuki, hayupo romantic, hisia zinakujaje?

2. Pia kuna baadhi ya watu hawana hisia kwa sababu ya magonjwa mbalimbali pamoja

3. Umaskini/stress
Mtu kula yako, lala yako, vaa yako ni papatupapatu, Sasa hisia hizo zinatokea wapi?
 
Umeandika kishabiki, huenda amekuambia hana hisia na wewe ndio unakuja kumalizia hasira zako humu.

Sababu kubwa bi

1. Mfumo wa maisha ya wapenzi ndio huo unaondoa hisia

Unaishi na mtu Kila siku vurugu, visirani,chuki, hayupo romantic, hisia zinakujaje?

2. Pia kuna baadhi ya watu hawana hisia kwa sababu ya magonjwa mbalimbali pamoja

3. Umaskini/stress
Mtu kula yako, lala yako, vaa yako ni papatupapatu, Sasa hisia hizo zinatokea wapi?
Nakazia....
Jamaa kajisikia tu kuropoka, na kuna muda hisia zinaisha tu bila sababu ya msingi na ukilitambua hilo mnaweka effort kidogo tu kurekindle maisha yanaendelea.


Vijana wa siku hizi hawajui jinsi ya kuwa unhappy and stay married then look to rekindle happiness again, mahusiano sio maigizo, raha za 24/7 utazipata kwenye movie za kikorea tu
 
Back
Top Bottom