Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,381
- 33,230
Hii yako mpya,mbona sikumcheka mtu red eyes imenichapaNasikia ukiwacheka ndo unaupata😂
Nikiwaona nawacheka kimoyomoyo...
Sio kwamba ukimcheka unaipata, ila walopata ndo wanasema wewe nicheke tu na wewe utaupataHii yako mpya,mbona sikumcheka mtu red eyes imenichapa
Hujafa hujaumbika🤣🤣🤣Nasikia ukiwacheka ndo unaupata😂
Nikiwaona nawacheka kimoyomoyo...
Mkiambiwa mle mlo kamili hamtaki....
chunguza wote wenye huo ungonjwa kinga yao ya mwili ni dhaifu..... Na usafi kwao ni changamoto unaweza usinielewe ila kiufupi ni ugojwa wa uzembe.
Nina rafiki daktari kanishauri sana na akanifungua macho kwenye hilo kwahyo ndugu zangu tuwe makini na milo na mtindo wa maisha tujijali hasa kwenye ratiba ya usafi hata kama umeoga usiku piga mswaki nawa uso kwa sabuni kwa wenye ngozi kavu paka mafuta kidogo uso usipauke usiku
Elewa point kwa wale wenye ngozi kavu unapaka mafuta kidogo tena ya mgando ila ukionaje sio lazima upake nimeongelea kwa wenye ngozi zao kavu ww usipake mkuuMkuu, hapo kwenye kupaka mafuta, yaani kutwa nzima uso umelundikwa vipako na usiku pia?
Tushauri tufanye nini maana wengine tumejikuta tu tumezaliwa darDar mnawasindikiza wenzenu....ukweli mchungu mnaishi kwa taabu na shida nyingi ila kwa sa babu za kutala sifa mnavumilia.
10% ya wakazi wa dar night high class na middle class 85% ni Umasikini na malofa.
5% ni wageni wasiofahamika status zao.
Msiwacheke hao waganga waliohamia dar na kujifanya wajanja wa mji....ona sasa wamekuja na magonjwa.Tushauri tufanye nini maana wengine tumejikuta tu tumezaliwa dar
Mkuu ulitaka watu wafanyaje ? Wengine ndio wamezaliwa hapo hapo hawajui sehemu nyingine hilo nalo ni kosa lao ? Kwanini mtu aone sifa kukaa dar ? Sijakuelewa mkuuDar mnawasindikiza wenzenu....ukweli mchungu mnaishi kwa taabu na shida nyingi ila kwa sa babu za kutala sifa mnavumilia.
10% ya wakazi wa dar night high class na middle class 85% ni Umasikini na malofa.
5% ni wageni wasiofahamika status zao.