Mzee makoti
JF-Expert Member
- Jul 27, 2016
- 2,675
- 3,188
As/aleikum wakuu
Dunia ina mambo sana, kuna jamaa ametangaza kuuza nyumba yake kikawaida uku akimtegemea Mungu, imepita miaka ajaiuza, na nyumba ipo sehemu nzuri tu, akaona bora amtafuta mtaalamu anaemjua yeye, akaja akamfanyia ya uongo na kweli, akamuambia haidhidi wiki au mwez utaiuza, kwel bwana akauza kabla ya mwezi.
Na kuna mwingine alikuwa na hela mtaji karibia milioni mia na akafirisika kimaajabu, na haikutosha akapata na mtoto ambae ni mlemavu kusikia na kuongea na wengineo ambao wapo sawa, sasa umasikini unamkabili haswa, wale wenzie ambao wanafanya biashara na kutegemea waganga, mambo yao yamenyooka haswaa, hii dunia ni mtihan na haieleweki, kwann wanaomtegemea Mungu hawafanikiwi eti?
Matajiri wanafanya shiriki wakuu,msiwaone hivyo,wote hao mnaowajua ni washirikina hasa.
Sipo vizuri kwenye kuandika mniwie radhi
Dunia ina mambo sana, kuna jamaa ametangaza kuuza nyumba yake kikawaida uku akimtegemea Mungu, imepita miaka ajaiuza, na nyumba ipo sehemu nzuri tu, akaona bora amtafuta mtaalamu anaemjua yeye, akaja akamfanyia ya uongo na kweli, akamuambia haidhidi wiki au mwez utaiuza, kwel bwana akauza kabla ya mwezi.
Na kuna mwingine alikuwa na hela mtaji karibia milioni mia na akafirisika kimaajabu, na haikutosha akapata na mtoto ambae ni mlemavu kusikia na kuongea na wengineo ambao wapo sawa, sasa umasikini unamkabili haswa, wale wenzie ambao wanafanya biashara na kutegemea waganga, mambo yao yamenyooka haswaa, hii dunia ni mtihan na haieleweki, kwann wanaomtegemea Mungu hawafanikiwi eti?
Matajiri wanafanya shiriki wakuu,msiwaone hivyo,wote hao mnaowajua ni washirikina hasa.
Sipo vizuri kwenye kuandika mniwie radhi