Dkt. Kigwangala: Ningekuwa kwenye Research au Chuo Kikuu ningeshakuwa Professor sasa lakini hapa nilipo natukanwa tu na Vijana

Mbunge wa Nzega vijijjini mh Dr Kigwangala amesema angekuwa kwenye research au Chuo kikuu angeshakuwa Professor Lakini sasa alipo anaishia kutukanwa tu na Vijana wadogo

Dr Kigwangala amelalama ukurasani X


Mlale Unono 😄😄
Kwa mara ya kwanza Kigwangala fahamu zimemrudia !
Ni kweli kabisa kabisa ukienda sehemu ile ya kupata pesa za bure bure tu kwa kuwadanganya watu na maneno ya uongo uongo tu ni lazima you will pay the price !
Ndivyo inavyowatokea wengi tu waliomo humo kwenye game yetu !
Na ubaya wa pesa ni kwamba aijawahi kumtosha mtu !
Au kwa lugha nyepesi ni kwamba Tamaa huwa haina mwisho mpaka dakika ile chungu ya mwisho wa safari inapomfika mtu ndipo huwa anataka kushituka lakini anakuta it’s already too late ⏰ !
Nimeshawasikia watoto wengi wa wenye pesa nyingi wakilalamika baada ya mzazi kutangulia mbele za haki kwamba Baba yetu hakuwahi kustarehe !!
Unamuangalia kisha unabaki kusema Hiiii ! 🙏🙏
 
Wanyamwezi ni Masnitch sana ndio maana wengi wapo tiss kuendeleza unoko 🤔
Mnyamwezi gani kwa mfano yuko TISS? Kwa mtazamo wangu TISS huajiriwi kwa kuwa wewe ni SNITCH bali unaajiriwa na kufundishwa ku-snitch. After all makabila yote yapo TISS siyo wanyamwezi tu
 
Namfahamu vizuri sana, asingeweza kuwa Profesa huyu. Profesa ni mtu mwenye akili, mchapa kazi, ana mawazo yake yasiyotegemezi na ana maadili.

Huyu Kigwangalla hana feature hata moja kati ya hizo. Kwanza jina lake ni Said Bagaile. Angekuwaje Profesa na jina la mtu mwingine
Mkuu,
Zaman watu walifaulu kwenda secondary na wakakosa kuchaguliwa kuendelea na masomo maana shule za secondary zilikua chache.....

Zamani watu walinunua majina na wakayasomea ama ku repeat standard 7 the case kwa kigwa 1

Ok! Inaonyesha unamfahamu Sana said bagaile (hamis kigwangala)
 
Mbunge wa Nzega vijijjini mh Dr Kigwangala amesema angekuwa kwenye research au Chuo kikuu angeshakuwa Professor Lakini sasa alipo anaishia kutukanwa tu na Vijana wadogo

Dr Kigwangala amelalama ukurasani X


Mlale Unono
Hata ukiwa professor kama hujiheshimu utatukanwa tu.heshima ya mtu haitokani na elimu tu la hasha bali kuna vigezo vya nyongeza.
 
Mbunge wa Nzega vijijjini mh Dr Kigwangala amesema angekuwa kwenye research au Chuo kikuu angeshakuwa Professor Lakini sasa alipo anaishia kutukanwa tu na Vijana wadogo

Dr Kigwangala amelalama ukurasani X


Mlale Unono
Tatizo lako Kingwangala, you are too opportunist. Una hakika gani ungekuwa professor? Kila ukipewa Wizara kazi yako ni kukwaruzana na watendaji pamoja na viongozi wenzako, na huku uraiani ndo usiseme, wewe kila siku ndiye unaeonewa.
 
Kama angekuwa chuoni asingeweza kupata Uprofesa kwa vile ana matatizo yafuatayo:-
1. Ni mtu wa ku- snitch sana wenzie na kujipendekeza kwa wakubwa
2. Ni mtu wa plagiarism sana, asingeweza kuandika machapisho yakapita
3. Ni mtu mpenda ngono ambaye angetumia nafasi kuuza mitihani kwa wadada in exchange of ngono
4. Mwongo mwongo na mshirikina sana
Hiyo Point No. 2 ni muhimu sana...Ingemuondoa kabisa kwenye kupata U-Professor...
 
Usimchukulie poa jamaa ni dollar millionaire. Ila nachompendea dk licha ya mapungufu yake ni a no nonsense person na authoritative. He can lead and command and that's where people respect you.
Kila sehemu aliyopita Kingwangala lazima moshi wa kutokuelewana na wenzake au watendaji ulifuka. Hana karama ya uongozi. Ni mtu wa kupenda kulalamika
 
Usimchukulie poa jamaa ni dollar millionaire. Ila nachompendea dk licha ya mapungufu yake ni a no nonsense person na authoritative. He can lead and command and that's where people respect you.
DK ana mapungufu ikiwemo kutokupendwa na watu ila kuna Mambo mengi sana ya kujifunza kutoka kwake.
 
Ni jamii za Warundi waliokuja Nzega halafu waka naturalize. Hakuna Mnyamwezi mwenye tabia za KISNITCH kama Kigwangala
Hii tabia ya ukiona hupendezwi na mtu kumzingizia kuwa ni wa nchi jirani ni tabia ya kipuuzi sana,
Kwamba kuna majina hutakiwi kuitwa bongo ?
 
Back
Top Bottom