Benbulugu
JF-Expert Member
- Sep 14, 2016
- 801
- 1,169
Nimeanza kuamini aisée,wanawake wakiwa maarufu ,pesa au mamlaka wana raise ego juu nakutaka kumzidi hata aliyewapa nafasi ya kuchanua.kuna maelezo ya kimantic katika maandiko kwann walizuia akina mama zetu wasiwe hata viongozi au kua nafasi za juukatika jamii.kwa upande wangu walikua sahihi sana.ningumu kwa mwanamke kua na either umaarufu,pesa au hata cheo akabaki kua calm and positive.lazima ataleta taharuki tu katika jamii.