Ginner
JF-Expert Member
- May 8, 2011
- 1,460
- 1,834
Acheni fitna wakuuRafiki yake mkuu wa mkoa wa zanzbar
Acheni fitna wakuuRafiki yake mkuu wa mkoa wa zanzbar
Tatizo risk taker kwa mambo ya msingi ni almost 0.0099999.Mambo mengine ukitaka evidence utakesha kupata majibu kuna vitu viko wazi kabisa
Pole sana kijanaMi kweli nipunguze ushamba yaani nimekulia sinza sijawahi ona unga kwa macho
Kwani mimi? Ndo nimesema🏃♂️🏃♂️Acheni fitna wakuu
Wauza madawa wameibuka upyaaa kwa kasi na nguvu mpya tutarajie ONGEZEKO KUBWA la MATEJAKuna wimbi la ongezeko la biashara na matumizi ya madawa ya kulevya toka Samia angie madarakani. Wanasiasa na wafanyabiashara wanajihusisha na biashara ya madawa ya kulevya waziwazi. Vijana wanauza na kutumia madawa ya kulevya waziwazi. Miaka miwili ya Samia haina tofauti na miaka 10 ya utawala wa Kikwete. Ukosefu wa utawala wa sheria ndiyo sababu kuu iliyopelekea Magufuli kuchaguliwa kuwa Rais. Pesa haramu ndizo zinaendesha uchumi wa nchi yetu. Namba ya usajili wa mgari “D” ilikaa kwa miaka minne wakati wa Magufuli lakini namba “E” imeisha ndani yam waka mmoja wa Samia.
Kwa mfano, Bahari Beach ndiyo imekuwa makao makuu ya kuuza unga. Ukienda jengo la supermarket ya Jambo, utawakuta wasanii wote wanaoshiriki kwenye biashara za madawa ya kulevya wanacheza mziki, kuvuta madawa na bangi asubuhi mpaka alfajiri. Mwenye eneo hilo anajulikana kuwa mzungu wa unga (anaishi eneo la Kilimo Kwanza Ununio). Watu kama hawa wanalindwa na vyombo vya dola. Wanatoa michango kwa CMM kubaki salama. Mambo ya Tanzania yanakatisha tamaa.
Wasanii gani mkuu? Kwanini usiweke vitu wazi na wakati hapa ni “JF where we dare to talk openly?” Weka majina hata na huyo wa huko Ununio. Kama hauifahamu JF ni bora ufanye utafiti uone kama kuna mtu anamuacha nyani giladi salama mchana kweupe.Kuna wimbi la ongezeko la biashara na matumizi ya madawa ya kulevya toka Samia angie madarakani. Wanasiasa na wafanyabiashara wanajihusisha na biashara ya madawa ya kulevya waziwazi. Vijana wanauza na kutumia madawa ya kulevya waziwazi. Miaka miwili ya Samia haina tofauti na miaka 10 ya utawala wa Kikwete. Ukosefu wa utawala wa sheria ndiyo sababu kuu iliyopelekea Magufuli kuchaguliwa kuwa Rais. Pesa haramu ndizo zinaendesha uchumi wa nchi yetu. Namba ya usajili wa mgari “D” ilikaa kwa miaka minne wakati wa Magufuli lakini namba “E” imeisha ndani yam waka mmoja wa Samia.
Kwa mfano, Bahari Beach ndiyo imekuwa makao makuu ya kuuza unga. Ukienda jengo la supermarket ya Jambo, utawakuta wasanii wote wanaoshiriki kwenye biashara za madawa ya kulevya wanacheza mziki, kuvuta madawa na bangi asubuhi mpaka alfajiri. Mwenye eneo hilo anajulikana kuwa mzungu wa unga (anaishi eneo la Kilimo Kwanza Ununio). Watu kama hawa wanalindwa na vyombo vya dola. Wanatoa michango kwa CMM kubaki salama. Mambo ya Tanzania yanakatisha tamaa.
Hakuna Rais hapa ni bomu Tena la kienyejiKuna wimbi la ongezeko la biashara na matumizi ya madawa ya kulevya toka Samia angie madarakani. Wanasiasa na wafanyabiashara wanajihusisha na biashara ya madawa ya kulevya waziwazi. Vijana wanauza na kutumia madawa ya kulevya waziwazi. Miaka miwili ya Samia haina tofauti na miaka 10 ya utawala wa Kikwete. Ukosefu wa utawala wa sheria ndiyo sababu kuu iliyopelekea Magufuli kuchaguliwa kuwa Rais. Pesa haramu ndizo zinaendesha uchumi wa nchi yetu. Namba ya usajili wa mgari “D” ilikaa kwa miaka minne wakati wa Magufuli lakini namba “E” imeisha ndani yam waka mmoja wa Samia.
Kwa mfano, Bahari Beach ndiyo imekuwa makao makuu ya kuuza unga. Ukienda jengo la supermarket ya Jambo, utawakuta wasanii wote wanaoshiriki kwenye biashara za madawa ya kulevya wanacheza mziki, kuvuta madawa na bangi asubuhi mpaka alfajiri. Mwenye eneo hilo anajulikana kuwa mzungu wa unga (anaishi eneo la Kilimo Kwanza Ununio). Watu kama hawa wanalindwa na vyombo vya dola. Wanatoa michango kwa CMM kubaki salama. Mambo ya Tanzania yanakatisha tamaa.
Watu wake sio aggressiveSamia ni janga la taifa,ukisema watu wake utasikia amefungua nchi kumbe amefungulia wizi mtupu.Ee Mungu tusaidie.
Hii laana itawavaa wote waliokuwa wanamsema yule mzee kuwa ameibana inchi ana roho mbaya. Hii laana ni juu yao.Kuna wimbi la ongezeko la biashara na matumizi ya madawa ya kulevya toka Samia angie madarakani. Wanasiasa na wafanyabiashara wanajihusisha na biashara ya madawa ya kulevya waziwazi. Vijana wanauza na kutumia madawa ya kulevya waziwazi. Miaka miwili ya Samia haina tofauti na miaka 10 ya utawala wa Kikwete. Ukosefu wa utawala wa sheria ndiyo sababu kuu iliyopelekea Magufuli kuchaguliwa kuwa Rais. Pesa haramu ndizo zinaendesha uchumi wa nchi yetu. Namba ya usajili wa mgari “D” ilikaa kwa miaka minne wakati wa Magufuli lakini namba “E” imeisha ndani yam waka mmoja wa Samia.
Kwa mfano, Bahari Beach ndiyo imekuwa makao makuu ya kuuza unga. Ukienda jengo la supermarket ya Jambo, utawakuta wasanii wote wanaoshiriki kwenye biashara za madawa ya kulevya wanacheza mziki, kuvuta madawa na bangi asubuhi mpaka alfajiri. Mwenye eneo hilo anajulikana kuwa mzungu wa unga (anaishi eneo la Kilimo Kwanza Ununio). Watu kama hawa wanalindwa na vyombo vya dola. Wanatoa michango kwa CMM kubaki salama. Mambo ya Tanzania yanakatisha tamaa.
Hizi fikra potofu za kila kitu Rais zinalemaza jamii na taifa kwa ujumla.Kuna wimbi la ongezeko la biashara na matumizi ya madawa ya kulevya toka Samia angie madarakani. Wanasiasa na wafanyabiashara wanajihusisha na biashara ya madawa ya kulevya waziwazi. Vijana wanauza na kutumia madawa ya kulevya waziwazi. Miaka miwili ya Samia haina tofauti na miaka 10 ya utawala wa Kikwete. Ukosefu wa utawala wa sheria ndiyo sababu kuu iliyopelekea Magufuli kuchaguliwa kuwa Rais. Pesa haramu ndizo zinaendesha uchumi wa nchi yetu. Namba ya usajili wa mgari “D” ilikaa kwa miaka minne wakati wa Magufuli lakini namba “E” imeisha ndani yam waka mmoja wa Samia.
Kwa mfano, Bahari Beach ndiyo imekuwa makao makuu ya kuuza unga. Ukienda jengo la supermarket ya Jambo, utawakuta wasanii wote wanaoshiriki kwenye biashara za madawa ya kulevya wanacheza mziki, kuvuta madawa na bangi asubuhi mpaka alfajiri. Mwenye eneo hilo anajulikana kuwa mzungu wa unga (anaishi eneo la Kilimo Kwanza Ununio). Watu kama hawa wanalindwa na vyombo vya dola. Wanatoa michango kwa CMM kubaki salama. Mambo ya Tanzania yanakatisha tamaa.
Kizazi chake kimeshakuwa kikubwa ndio maana ana piga misereNext time MZUNGU WA UNGA ni namna ya Kuwaita watu wenye Moyo Safi na mikono Yao si ya bilika ndiyo maana unaona hao wasanii wanajazana hapo kwake huyo wa Ununio , Hili doa Kwa mtawala inampasa kulichukulia Kwa uzito kunusuru vizazi vya Leo na kesho(ikiwa hakuna fitna Kati ya habari hii).
Upo sahihi ila hiyo sauti ya kimamlaka ndiyo yanaleta haya matatizo yote.I think SSH is doing her absolutely best ila anakosa sauti ya ya mamlaka.
Ungeenda na gerezani,ukawaambie hata wale askari magereza wawaachie wahalifu wote,uwaambie(hao askari),kama hawa(wafungwa),walifanya uhalifu,si muwaachie tu,nyie yanawahusu nini?watu wakitumia madawa we inakuhusu nini? acha ujinga