Ndugu wanasheria, rafiki yangu anaomba msaada wa kisheria ili apate haki yake.
Alichukua mkopo bank na kuweka gari yake kama dhamana, ila kwa bahati mbaya akachelewesha marejesho mpaka dhamana yake ikakamatwa na madalali.
Hiyo gari yake imeuzwa bila yeye kupewa taarifa ya mnada, anakuja kushtuka baada ya kutumiwa ujumbe na bank kwamba gari yake tiyari imeuzwa kwenye mnada uliofanyika wiki moja nyuma.
Je kisheria hii imekaaje?,
na kama anataka kudai haki yake aanzie wapi?
Alichukua mkopo bank na kuweka gari yake kama dhamana, ila kwa bahati mbaya akachelewesha marejesho mpaka dhamana yake ikakamatwa na madalali.
Hiyo gari yake imeuzwa bila yeye kupewa taarifa ya mnada, anakuja kushtuka baada ya kutumiwa ujumbe na bank kwamba gari yake tiyari imeuzwa kwenye mnada uliofanyika wiki moja nyuma.
Je kisheria hii imekaaje?,
na kama anataka kudai haki yake aanzie wapi?