Askofu Gwajima alidhani ubunge wa Kawe ni Asset kumbe ni liability kwake! Aishia kwenye rede na jogging. Hana mikakati ya maendeleo

Resilience

JF-Expert Member
Jan 4, 2023
943
4,458
Gwajima kanisani sijui anakaa muda gani toka aombe ubunge. Kila siku unaona anaambatana na vijana wale wale waumini wake kuzunguka mtaani na jogging. Mambo yamegoma amehamia kwenye mashindano ya rede huku akiacha shangingi na kutembelea bajaji za kukodi.

Hizi siasa zilipaswa kufanywa majimbo ambayo hakuna wasomi. Leo Kawe yenye wasomi wengi vile unapelekaje mashindano ya rede? Watu wanawaza wanaongezaje mitaji yao wewe unapeleka mashindano ya rede?

Wabunge kama hawa wanatakiwa waajiri wataalam wa kuwasaidia kuandika miradi na kuisimamia . Watu wa kawe siyo jobless ni watu wanahitaji miundombinu bora na huduma bora za kijamii.

Its like Mungu amemgeuzia kibao.
 
Gwajima kanisani sijui anakaa muda gani toka aombe ubunge. Kila siku unaona anaambatana na vijana wale wale waumini wake kuzunguka mtaani na jogging. Mambo yamegoma amehamia kwenye mashindano ya rede huku akiacha shangingi na kutembelea bajaji za kukodi.

Hizi siasa zilipaswa kufanywa majimbo ambayo hakuna wasomi. Leo Kawe yenye wasomi wengi vile unapelekaje mashindano ya rede? Watu wanawaza wanaongezaje mitaji yao wewe unapeleka mashindano ya rede?

Wabunge kama hawa wanatakiwa waajiri wataalam wa kuwasaidia kuandika miradi na kuisimamia . Watu wa kawe siyo jobless ni watu wanahitaji miundombinu bora na huduma bora za kijamii.

Its like Mungu amemgeuzia kibao.
Huyo Chidi anachojua ni ngonozembe tu
 
Ndg hata Hawa akina Mdee awakujua hata maana ya ubunge

Uwakikishi wao wanaamua kutafuta Yale wanayoyapenda ndio wanayafanya

Majimbo ya Kawe( Kata za Mbopo, madale, mabwepande na majimbo ya Ubungo, kibamba ni Muda mrefu yamekosa madiwani sahihi na Wabunge sahihi

Laazima tukubaliane viongozi Bora wengi wanaichukia Siasa kwa maana Siasa ni maigizo tu
 
Ndg hata Hawa akina Mdee awakujua hata maana ya ubunge

Uwakikishi wao wanaamua kutafuta Yale wanayoyapenda ndio wanayafanya

Majimbo ya Kawe( Kata za Mbopo, madale, mabwepande na majimbo ya Ubungo, kibamba ni Muda mrefu yamekosa madiwani sahihi na Wabunge sahihi

Laazima tukubaliane viongozi Bora wengi wanaichukia Siasa kwa maana Siasa ni maigizo tu
Ni kitu gani gani hasa unamaanisha? Tatizo la Bongo ni kuwa wengi hawajui kazi za mbunge. Kuna tofauti kubwa sana kati ya mipango ya serikali na utekelezaji wake na kazi za mbunge. Simtetei Gwajima kwani hata yeye (kulingana na ahadi zake wakati wa kampeni) inaonekana hajui kazi za mbunge, lakini ukiona jimbo halina maendeleo wa kulaumiwa ni serikali iliyotawala miaka yote hii. Wabunge mimi huwa nawalaumu kwenye mambo yenye maslahi kwa taifa kama bandari kupewa mwarabu, katiba mpya n.k.
 
Gwajima kanisani sijui anakaa muda gani toka aombe ubunge. Kila siku unaona anaambatana na vijana wale wale waumini wake kuzunguka mtaani na jogging. Mambo yamegoma amehamia kwenye mashindano ya rede huku akiacha shangingi na kutembelea bajaji za kukodi.

Hizi siasa zilipaswa kufanywa majimbo ambayo hakuna wasomi. Leo Kawe yenye wasomi wengi vile unapelekaje mashindano ya rede? Watu wanawaza wanaongezaje mitaji yao wewe unapeleka mashindano ya rede?

Wabunge kama hawa wanatakiwa waajiri wataalam wa kuwasaidia kuandika miradi na kuisimamia . Watu wa kawe siyo jobless ni watu wanahitaji miundombinu bora na huduma bora za kijamii.

Its like Mungu amemgeuzia kibao.
Ubunge wakupora una laana zake
 
Gwajima kanisani sijui anakaa muda gani toka aombe ubunge. Kila siku unaona anaambatana na vijana wale wale waumini wake kuzunguka mtaani na jogging. Mambo yamegoma amehamia kwenye mashindano ya rede huku akiacha shangingi na kutembelea bajaji za kukodi.

Hizi siasa zilipaswa kufanywa majimbo ambayo hakuna wasomi. Leo Kawe yenye wasomi wengi vile unapelekaje mashindano ya rede? Watu wanawaza wanaongezaje mitaji yao wewe unapeleka mashindano ya rede?

Wabunge kama hawa wanatakiwa waajiri wataalam wa kuwasaidia kuandika miradi na kuisimamia . Watu wa kawe siyo jobless ni watu wanahitaji miundombinu bora na huduma bora za kijamii.

Its like Mungu amemgeuzia kibao.
Amelaaniwa amtegemeaye mwanadamu!! Askofu alishindwa kuiishi hii kauli aliyoifundisha miaka na miaka kanisani kwake. Kifo cha Kuhani mkuu JIWE kimevuruga future za wengi sana nchi hii.
 
Gwajima kanisani sijui anakaa muda gani toka aombe ubunge. Kila siku unaona anaambatana na vijana wale wale waumini wake kuzunguka mtaani na jogging. Mambo yamegoma amehamia kwenye mashindano ya rede huku akiacha shangingi na kutembelea bajaji za kukodi.

Hizi siasa zilipaswa kufanywa majimbo ambayo hakuna wasomi. Leo Kawe yenye wasomi wengi vile unapelekaje mashindano ya rede? Watu wanawaza wanaongezaje mitaji yao wewe unapeleka mashindano ya rede?

Wabunge kama hawa wanatakiwa waajiri wataalam wa kuwasaidia kuandika miradi na kuisimamia . Watu wa kawe siyo jobless ni watu wanahitaji miundombinu bora na huduma bora za kijamii.

Its like Mungu amemgeuzia kibao.
Hata clip hamna
 
Gwajima kanisani sijui anakaa muda gani toka aombe ubunge. Kila siku unaona anaambatana na vijana wale wale waumini wake kuzunguka mtaani na jogging. Mambo yamegoma amehamia kwenye mashindano ya rede huku akiacha shangingi na kutembelea bajaji za kukodi.

Hizi siasa zilipaswa kufanywa majimbo ambayo hakuna wasomi. Leo Kawe yenye wasomi wengi vile unapelekaje mashindano ya rede? Watu wanawaza wanaongezaje mitaji yao wewe unapeleka mashindano ya rede?

Wabunge kama hawa wanatakiwa waajiri wataalam wa kuwasaidia kuandika miradi na kuisimamia . Watu wa kawe siyo jobless ni watu wanahitaji miundombinu bora na huduma bora za kijamii.

Its like Mungu amemgeuzia kibao.

Nimesoma content yako mpaka mwisho ikanichekesha sana , chukua kiti uketi nikupe shule kidogo alf uje na hoja ya msingi , mimi sio shabiki wa nani na nani na wala sio mnafki , na wala sina wivu , penye sifa panasifiwa palipokaa vibaya panasemwa ili kujenga


Ukiongelea jimbo la Kawe unaongelea kati ya majimbo yanayoingizia serekali hela kwa kiasi kikubwa kwasababu ya vitega uchumi vinvyozunguka jimbo hilo, wakazi wa jimbo hilo ni watu wa rika tofauti tofauti na wenye uwezo tofauti tofauti ni ukweli usiopingika kuwa watu wenye kipato cha juu wanakaa kwenye jimbo hilo , nadhan wewe ndo umewaangalia sana watu hao na ukatoa majibu yako ambayo nadhani sio sahihi , Kipofu anamuitaji mtu wa kumshika mkono na kumvukisha barabara lakini mwenye macho anajitosheleza mwenyewe kuvuka barabara maana ana macho

Kwa mfano huu Gwajima ndio mtu anaemvusha kipofu barabara ( watu wenye vipato vya chini) ukisema kwamb ameanzisha michezo ya rede ni kama anapoteza muda ni kwasababu wewe umewaangalia watu wenye kipato tu na kuwaacha wenye vipato vya chini na kwa hilo hujatoahukumi sahihi ya jambo hilo

Kama ingekuwa watu wote wa jimbo hilo wana vipato vya juu basi watu wasingejitokeza kushiriki michuano hiyo kwasababu mwisho wa siku mkono unaenda kinywan na watu wanapata vipato basi wenye hali za kati na chini wamejitokeza ili wapate fursa ambacho ni jambo zuri na apigiwe makofi kwa ubunifu wale , ni kwenye mwanzo mdogo au mambo madogo ndipo unapata mambo makubwa ja kwa wenye kiwango kidogo cha elimu au akili ni ngumu sana kumuelewa kwasababu ya upeo wenu wa kuona na kufanya maamuz ya mwisho ya mambo

Hivyo basi mambo anayofanya Gwajima kwasasa yanaweza yasieleweke kwanza na sio lazima aeleweke lakini mwisho wake utakuwa mzuri naamini maana mwisho wa siku ni hela ndo zinatafutwa ili mkono uende kinywan , unasema vibaya kwasababu hujaweza kufumbua kitu chochote toka uje dunian kwahiyo sikushangai ni wivu na ujinga ndio unakusumbua

Tuseme tu ukweli Gwajima kaweza sanaa kuwafikia watu hasa wa vipato vya chini na hao ndo wengi na ndo wapiga kura wenyewe, mimi nakushauri rudi shule kwanza uongeze akili au acha wivu wa kijinga , tujenge taifa letu kwa umoja , Gwajima anapiga kazi na apongezwe

Mwisho wa nukuu
 
Hata clip hamna
Kila jambo lina wakati wake Mungu huwainua watu kufanya mambo kulingana na wakati unahitaji watu wa aina gani Mh Gwajima amekuwa mbunge hii haimuondoi kuwa Askofu kazi ya Mungu anafanya na kazi ya kijamii pia anafanya nikupe mfano wa kiroho "Daniel 5 :29 Daniel alikuwa mtu wa tatu katika ufalme. "

Hii haikumufanya ashindwe kufanya kazi ya Mungu na kufanya shughuri za kijamii, Kila mtu yupo mahali fulani Kwa makusudi maalum kwahyo some time unapoleta hoja njoo na sababu zilizo nyooka vizuri acha watu wafanye kazi miundo mbinu ipi unaitaka ambayo haijafanyika Jimbo la kawe ? barabara amejenga, vituo vya afya amejenga kipi hajafanya?

Itakuwa ngumu kuelewa kama utawaza afanye Kila kitu Kwa miaka mitano tu serikali yetu haiangalii tu Jimbo la kawe Kuna majimbo mengine pia wanajenga miundo mbinu kwa muda aliokaa bungeni na vitu alivyofanya inatosha kabisa kueleza ukweli kuwa analipigania Jimbo la kawe vyakutosha tuwe na subira, Tumpe mda atafanya mengi zaidi ya tunavyoona usiwapotoshe wananchi wa jimbo la kawe kwa ufinyu wa kufikilia na kutazama mambo .
 
Gwajima kanisani sijui anakaa muda gani toka aombe ubunge. Kila siku unaona anaambatana na vijana wale wale waumini wake kuzunguka mtaani na jogging. Mambo yamegoma amehamia kwenye mashindano ya rede huku akiacha shangingi na kutembelea bajaji za kukodi.

Hizi siasa zilipaswa kufanywa majimbo ambayo hakuna wasomi. Leo Kawe yenye wasomi wengi vile unapelekaje mashindano ya rede? Watu wanawaza wanaongezaje mitaji yao wewe unapeleka mashindano ya rede?

Wabunge kama hawa wanatakiwa waajiri wataalam wa kuwasaidia kuandika miradi na kuisimamia . Watu wa kawe siyo jobless ni watu wanahitaji miundombinu bora na huduma bora za kijamii.

Its like Mungu amemgeuzia kibao.
Hoja yako inaonyesha uchanga ulio nao katika kung'amua mambo, mtu mzima yeyote mwenye akili timamu suala la kugawanya muda kwenye majukumu yake siyo ishu ya kuzungumzia, Gwajima amefaulu sana kwenye hili kama huamini fauatilia taarifa zake za kichungaji na Kanisa lake zinaendeleaje ili siku nyingine ujifunze kutoa hoja huku ukiwa na evidence.

Kuhusu suala la rede, hahahaa nimependa ulivyo ligusia maana pia kimoyomoyo umetambua jinsi jamaa anavyoupiga mwingi na aliwaza mbali, ngoja nikufungue akili.

Michezo popote inapofanyika huleta mambo yafuatayo;
1. Kutengeneza ajira/kipato
2. Kudumisha upendo ,umoja, furaha
3. Kutengeneza marafiki
4. Michezo hujenga na kuimarisha afya
5. Michezo ni chanzo cha kufahamiana na kuongeza circle ya watu wako n.k

Kama unaona kuconect watu waje pamoja jimbo zima ni swala rahisi hebu jaribu uone.
 
Nimesoma content yako mpaka mwisho ikanichekesha sana , chukua kiti uketi nikupe shule kidogo alf uje na hoja ya msingi , mimi sio shabiki wa nani na nani na wala sio mnafki , na wala sina wivu , penye sifa panasifiwa palipokaa vibaya panasemwa ili kujenga


Ukiongelea jimbo la Kawe unaongelea kati ya majimbo yanayoingizia serekali hela kwa kiasi kikubwa kwasababu ya vitega uchumi vinvyozunguka jimbo hilo, wakazi wa jimbo hilo ni watu wa rika tofauti tofauti na wenye uwezo tofauti tofauti ni ukweli usiopingika kuwa watu wenye kipato cha juu wanakaa kwenye jimbo hilo , nadhan wewe ndo umewaangalia sana watu hao na ukatoa majibu yako ambayo nadhani sio sahihi , Kipofu anamuitaji mtu wa kumshika mkono na kumvukisha barabara lakini mwenye macho anajitosheleza mwenyewe kuvuka barabara maana ana macho

Kwa mfano huu Gwajima ndio mtu anaemvusha kipofu barabara ( watu wenye vipato vya chini) ukisema kwamb ameanzisha michezo ya rede ni kama anapoteza muda ni kwasababu wewe umewaangalia watu wenye kipato tu na kuwaacha wenye vipato vya chini na kwa hilo hujatoahukumi sahihi ya jambo hilo

Kama ingekuwa watu wote wa jimbo hilo wana vipato vya juu basi watu wasingejitokeza kushiriki michuano hiyo kwasababu mwisho wa siku mkono unaenda kinywan na watu wanapata vipato basi wenye hali za kati na chini wamejitokeza ili wapate fursa ambacho ni jambo zuri na apigiwe makofi kwa ubunifu wale , ni kwenye mwanzo mdogo au mambo madogo ndipo unapata mambo makubwa ja kwa wenye kiwango kidogo cha elimu au akili ni ngumu sana kumuelewa kwasababu ya upeo wenu wa kuona na kufanya maamuz ya mwisho ya mambo

Hivyo basi mambo anayofanya Gwajima kwasasa yanaweza yasieleweke kwanza na sio lazima aeleweke lakini mwisho wake utakuwa mzuri naamini maana mwisho wa siku ni hela ndo zinatafutwa ili mkono uende kinywan , unasema vibaya kwasababu hujaweza kufumbua kitu chochote toka uje dunian kwahiyo sikushangai ni wivu na ujinga ndio unakusumbua

Tuseme tu ukweli Gwajima kaweza sanaa kuwafikia watu hasa wa vipato vya chini na hao ndo wengi na ndo wapiga kura wenyewe, mimi nakushauri rudi shule kwanza uongeze akili au acha wivu wa kijinga , tujenge taifa letu kwa umoja , Gwajima anapiga kazi na apongezwe

Mwisho wa nukuu
Naunga mkono
 
Gwajima kanisani sijui anakaa muda gani toka aombe ubunge. Kila siku unaona anaambatana na vijana wale wale waumini wake kuzunguka mtaani na jogging. Mambo yamegoma amehamia kwenye mashindano ya rede huku akiacha shangingi na kutembelea bajaji za kukodi.

Hizi siasa zilipaswa kufanywa majimbo ambayo hakuna wasomi. Leo Kawe yenye wasomi wengi vile unapelekaje mashindano ya rede? Watu wanawaza wanaongezaje mitaji yao wewe unapeleka mashindano ya rede?

Wabunge kama hawa wanatakiwa waajiri wataalam wa kuwasaidia kuandika miradi na kuisimamia . Watu wa kawe siyo jobless ni watu wanahitaji miundombinu bora na huduma bora za kijamii.

Its like Mungu amemgeuzia kibao.
MAENDELEO HAYAWEZI KULETWA NA MBUNGE

Sent from my SM-A145R using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom