Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 12,705
- 21,296
Ndio maana wanywaji wengi wanafanikiwa na hawapungukiwi.
Yaani utakuta Mtu yuko chakali kila siku na sio kwamba ana michongo mikali sana wala nini.
Ni kupitia kanuni ile ile kwamb Wanywaji hawapungikiwi. Hata kama hana kitu bado ana matumaini ya kupata.
Ukinywa Pombe hakuna usumbufu unajisikia raha tu muda wote hata kama una shida.
Hunaga shida na mtu hata Mama watoto au Mpenzi wako akichepuka we huna habari. Ni mambo mbwelele na hujali.
Pombe inafuta makosa mengi. Inakufanya una concentrate na Mision zako tu. Maana huna shida na mtu.
Kama we ni tajiri au maskini Mnywa pombe hayamhusu. Siku zote ana imani atapata.
Tunyweni bia aisee. Hata zile ngonjera za kataa ndoa zitaisha
Yaani utakuta Mtu yuko chakali kila siku na sio kwamba ana michongo mikali sana wala nini.
Ni kupitia kanuni ile ile kwamb Wanywaji hawapungikiwi. Hata kama hana kitu bado ana matumaini ya kupata.
Ukinywa Pombe hakuna usumbufu unajisikia raha tu muda wote hata kama una shida.
Hunaga shida na mtu hata Mama watoto au Mpenzi wako akichepuka we huna habari. Ni mambo mbwelele na hujali.
Pombe inafuta makosa mengi. Inakufanya una concentrate na Mision zako tu. Maana huna shida na mtu.
Kama we ni tajiri au maskini Mnywa pombe hayamhusu. Siku zote ana imani atapata.
Tunyweni bia aisee. Hata zile ngonjera za kataa ndoa zitaisha