Kunywa maji mengi sna kiasi kwamba hata ukimuweka chura tumboni anaweza kuishi. Mimi niliwahi kuwa na tatizo kama hilo ila nilipona kwa dozi ya vidonge vya mwezi 1 na unywaji wa maji mengi hadi vyura wakawa wakiniona wananishangalia njiani.
Mkenge ipo katikati ya kijiji cha mwavi na fukayosi njia kuu ya kutoka bagamoyo kwenda msata.
Wastani wa kilometa 35 kutoka bagamoyo mjini hadi hapo kwenye njia panda ya kwenda mkenge. Na panaumbali wa kilometa 10 kutoka main road hadi kijijini mkenge.
Kwahiyo wape watu taarifa kamili ili mtu...
Sio kweli, wapo wafundi wanabahatisha na wapo wafundi wanakupa gerentii kwa aina flani ya ufundi. Kwasababu hapa issue ni overhaul sasa inawezekana yeye hajakutana na mafundi wazuri hajapata spare genuine ndio maana kaja na conclusion hiyo, sasa kama una idea tofauti tuletee na sio kutunanga ...
Kwani mkuu unaona howo ni nini kwani hadi unajimilikisha wewe hayo ma howo? Mtu ametoa hoja mpe fundi afanye overhaul apate gerentii..kwanini unaogopa na umesema zinakaa muda mrefu baada ya overhaul??
Hii mimi ninanitokea sana hata nikikaa muda mrefu bila ya kukutana na shemeji yenu. Itokee bahati niote nimwage ama nijuchukulie sheria mkononi. Ila inatokea tu pindi upwiru ukiwa katika kiwango cha juu. Ila sijawahi kupata maumivu yoyote.
Mashabiki wa yanga wapumbavu, hakuna hata mechi moja mliojaza uwanja kwa pesa zenu. Hata yanga day hamjazi wanja...hadi muweke viingilio bure alafu leo mnakuja kuponda udhamini na bado mnata timu ichukue makombe yote. Ovyo sana nyie
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.