Aina hii ya Kilimo hutumika hasa maeneo yenye muinuko mkali(milima) kupunguza mmonyoko wa udongo, upotevu wa maji na virutubisho vya udongo. Pia ukiingia google Kuna maelezo mazuri na picha kuhusu contour farming.
Wana JF habari,
Hivi kuna anayepitia changamoto kama ninazopitia? Dah kuna muda natamani nipige kelele kwa ninayopitia labda nitapunguza machungu. Kazini changamoto, nikirudi nyumbani nako changamoto, mahusiano changamoto. Nahisi kichwa kizito jamani, sijui hata niwaelezaje labda mtanielewa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.