Wanyonge wanyongeni ila haki yao wapewe , Sababu ni miingiliano ya tamthilia za nje ya nchi kama Uturuki ,ufilipino na kwingineko zimefanya Tamthilia za Bongo zichuje hata Movie za Kinaijeria siku hizi zimekosa.mvuto sababu ni kuzidiwa na nchi zingine
SHETANI RUDISHA AKILI ZETU
MTINZI: SINGANOJR
SEHEMU YA 45
ILIPOISHIA
“Yulia ninachomaanisha usije ukaruhusu mawazo yako yakaenda mbali , nipo ndani ya kampuni ya Dosam kwa ajili ya kutengeneza pesa kama watu wa kawaida , mimi sio mtu ambae umekutana nae miaka saba iliopita”
“Kama huo ndio...
SHETANI RUDISHA AKILI ZETU.
MTUNZI: SINGANOJR.
SEHEMU YA 43.
Hamza aliwahi kutoka kazini kuliko kawaida ili kuwahi miadi na Prisila , mrembo huyo alikuwa ameshamtaarifu ni wapi amkute hivyo alisogea mpaka Mlimani City na ndani ya dakika tano tu kupita Prisila alitokea , siku hio alikuwa...
Biashara ni Vita mkuu , mfano;unadhani alieifungia Huawei Marekani ni wanasiasa pekee na watu wa usalama ? pale kulikuwa na mkono wa matajiri wakubwa , Huawei ilikuwa kampuni inayokuwa kwa kasi ya upepo wa kisulisuli na kuwa tishio kwa kampuni za Kimarekani na kilichofanyika ni kuikata miguu...
Approach ya Vita miaka 50 na sasa hivi ni tofauti sana , ,teknolojia imepiga hatua , Vita za Enzi hizo zimekuwa historia katika vitabu na sio kwenye uwanja wa Vita
Sasa hivi China kuwa na teknolonia kubwa kwenye Siraha imekuwa ni kama Uvumi tu kwasababu hatujaziona zikiwa zinafanya kazi, Ni...
Maeneo ambayo Mchina kaachwa mbali :
1.Semiconductor.
2.Software development
3.Biotechnology and Pharmaceutical: Mfano tu maswala ya Corona.
4.Aerospace : Hapa China anakuja kuja nyuma ya Mrusi, baba yake USA yuko mbele .
Hivyo ni vipengele vichache tu upande wa Tech , twende kwenye...
Upo kishabiki sana mkuu impact ya hio Belt Road and initiatives ni ipi haswa , USA inalazimika kuziwekea baadhi ya kampuni za China kutokana na Sera za taifa ,China kampuni inaweza kuwa na nguvu lakini bado mambo yake mengi yanakuwa influenced na Serikali ,unadhani communist party ikiamua kutaka...
Mkuu unadhani mtu wa Low income wa leo ataendelea kuwa wa Low income miaka ijayo , ukimuona mtu kanunua kitu cha bei rahisi sio kwasababu anakipenda ila ni kwamba hela hana , siku akiwa nazo jua huyo sio mteja wako.
Hio Mass production unayozungumzia ni kwa hapa Africa tu , ndio soko ambalo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.