Tungekuwa na Mawaziri wote kama huyu mama kuja hapa jukwaani na kujibu kero tungekuwa mbali sana. Mfano Baba Eunice(Nape), kamwe hawezi kuibuka na kujibu hoja ama malalamiko yanayohusu mitandao ya simu. Mungu akuongoze. Mimi nina kaswali kadogo sana Daktari, kama huyu tapeli aliyesema analala na...
Hivi ni nani alitaka kuleta ndege nzima ys mashoga waje kutalii? Ni nani anakashafa eti anawasaga wenzake? Kibaraka yeye kasema kweli hiyo ni faragha lakini cha ajabu faragha ya kuwasaga wanawake wenzake imevuja.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.